mod ukitoa michango ya watu jaribu kuwaeleza makosa yao itasadia sana siku nyingine tujirekebishe makosa yetu.....sijajua sababu ya kutoa michango yetu katika hii thread kwani hatukumtukana mtu yoyote....au kueleza ukweli juu ya uozo wa baadhi ya wanaume wanopenda kusema watu wakiteuliwa wanaliwa na wazee ni kosa?
umenishangaza sana. ila una uvumilivu wa thread za kuwatukana wanawake ref thread zilizomhusu sofia simba...
hata kama wewe ni mwanaume ninaamini umezaliwa na mwanamke na kulelewa na mwanamke hata kama leo hii kwa baadhi yenu WANAWAKE wanaonekana ni wapuuzi .....
mix with yours
umenishangaza sana. ila una uvumilivu wa thread za kuwatukana wanawake ref thread zilizomhusu sofia simba...
hata kama wewe ni mwanaume ninaamini umezaliwa na mwanamke na kulelewa na mwanamke hata kama leo hii kwa baadhi yenu WANAWAKE wanaonekana ni wapuuzi .....
mix with yours