namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 611
Habari wanajamvi wenzake!
naomba kwa yeyote anayefahamu sumu ya kuua PAKA anijuze,kuna Paka wa mtaani wasio na makazi rasmi wananisumbua sana nyumbani kwangu kwani ni wezi wa mboga na wanaleta viroboto ndani,nimejaribu kuwategea sumu mbalimbali lakini hawafi
naombeni anauejua sumu yao inayopatikana kirahisi
naomba kwa yeyote anayefahamu sumu ya kuua PAKA anijuze,kuna Paka wa mtaani wasio na makazi rasmi wananisumbua sana nyumbani kwangu kwani ni wezi wa mboga na wanaleta viroboto ndani,nimejaribu kuwategea sumu mbalimbali lakini hawafi
naombeni anauejua sumu yao inayopatikana kirahisi