Hapana sii hivyo mkuu wangu ni hadithi ya Utajiri na mifumo yake. Ya kwanza wakati wa Ujamaa wetu, umeona jinsi tulivvyobakia na rasilimali kibao tukashindwa hata kuzichimba wala muda wa kujifunza kuzichima tukilinda kila siku.. Haya Mabepari nao unawaona jinsi wanavyokimbizana kutafuta mananasi dunia nzima wasialikane isipokuwa kuwekeana mikwara kina Barrick, na Myahudi yeye katika Ubepari wake atakupa asilimia ndogo ya pato zima maadam hutanung'unika lakini utajiri mzima kauchukua yeye na mara zote mjanja yeye kuliko wote waliotangulia.. Hii ndio siri ya mafanikio yao.
Hii adithi bwana! Huyo jirani wa Myahudi aliyefanyiwa hivyo na Myahudi ni nani? Na amini si Mpalestina.