Nani anaweza kuukosoa Ubepari wa Tanzania kama ulivyokosolewa Ujamaa?

Labda niwaulize wakuu wangu katika kuelezea kile ambacho nakiita ni "asili ya Ubepari" - the essence of Capitalism. Hivi ni kwanini makampuni ya kibepari ya Marekani na hata Uingereza na Ujerumaini yanajenga viwanda vya kuzalishia mazao yao kwenye nchi kama China, Mexico na nchi zinazoendelea? Ni kwa sababu wanataka kuzisaidia nchi hizo kuinua kiwango cha hali ya maisha ya watu wake? Au ni kitu gani hasa kinafanya makampuni hayo badala ya kujenga viwanda vingi nchini mwao ambako kuna tatizo la ajira wanaenda kujenga nje ya nchi zao?

Idea ya Free Market economy especially ktk micro level ni KuMaximize the Wealth of the Shareholders. Profits ndiyo goals. Makampuni ya Marekani kuinvest ktk hizo nchi ni kufuata profit kubwa kwa sababu hizo nchi ndizo zitakuwa na future market also kuna cheap labor.

Idea ya Ujamaa ni Equality? Distribution of wealth?

Pamoja na kwamba kuna matatizo ktk market economy kama vile greedy nk, lakini lazima ujue "FREE MARKET ECONOMY IS THE PATH TO PROSPERITY."
 
Angalieni basi hilo kwenye picha...hybrid electric bus (clean air), na yanamilikiwa na state... sio sisi hata usafiri wa mjini kila mtu kivyake, na mabasi yenyewe yanameza galoni mia saba Temeke- Posta!
 
Sasa na hizo nchi nyingine kama China zitakapoanza kuingia kwenye kulinda wafanyakazi na mazingira na kuanza kupitisha sheria ngumu za usalama kazini n.k wao watafanya nini hawa mabepari wetu?
They will go to the next best thing...!!! its all about supply and demand na kama nchi zote zingekuwa a level playing field wangetafuta competitive advantage..; kuona ni vipi wanaweza wakapata better product kushinda counterparts wao at a better price. Na sio sheria kali tu hata culture ya watu na uchapaji kazi na kama pote pangekuwa sawa basi wangeweka kiwanda karibia na soko sababu hii itapunguza transport and shipment costs...
 
Mkuu nadhani kisa cha MKJJ kuanzisha thread hii ni matatizo kama haya.Wewe unauelezea ubepari badala ya kuuchambua.Huwezi kuuchambua ubepari kwa kutumia maelezo ambayo yana ujustify.Tafakari tena.

Mkuu hakuna mtu anaweza aka-predict the future na theory is one thing practical is another..., hivyo basi kuelezea kitu vizuri lazima uweke historical contexts ya what has happened not what is being said should happen (in the books...)

Hivyo basi kuweka records straight hapa naweka mambo sawa ya kutokulaumu kilichotokea kwamba kimesababishwa na Ubepari this is diagnosing a problem in the wrong place...., mtu akikohoa usikimbilie kusema ni ukimwi...!!! angalia huenda amepaliwa tu...

Na lazima ujue kwamba hata hao mnaowalaumu kwamba wana free market (minor state restrictions..) huenda ndio wakawa na intervention kuliko hata sisi at current times, minimum wage acts, anti monopoly, government stimulis packages..., Natonal Healthy System (in UK), Welfare packages, job seekers allowances, n.k.

Hivyo basi mpaka sasa hakuna kitu kama Ubepari 100% (kwahiyo hatuwezi kulaumu kwamba Hayet na his free market ame-fail..) nchi zote from USA to China wana-practice a different derivative of Ubepari.., Kwahiyo mkuu wewe kama una shamba lako na tractor ukilima mvua isiponyesha ukakosa mazao huwezi kusema tractor halifanyi kazi........ Its just now this is a global village na kama huwezi ku-compete effectively kwenye production you will be found wanting.... the value must come from somewhere
 
Mwanakijiji umeandia mengi sana, lakini hayo yanayotokea leo, yaandikwa na thinker wa zamani sana, niliwahii isona andiko la karl max juu ya capitalist economy, alieleza kuwa wanapenda kuwa na hela wakati wote, japo hawana huwezo huo, watakoapa sana, na itafika mahali madeni yao hayatalipika, na serikali itatoa fedha na hapo tutarudi kuwa wajamaa...ni mwaka 1867. Leo tunaona makampuni makubwa ya serikali yanarudishwa tena serikalini, hivyo hivyo suala la dowans na tanesco, ni serikali itakayolipa wala sio tanesco
 
Haya ndio makosa. Ubepari haufanyi vikao wala haupati faida. Soko halipati hasara hata siku moja. Unavyozungumzia "market" ni kana kwamba ina macho fulani hivi. Market inaendeshwa na binadamu na tumeona matokeo yake. Soko haliwezi kuamua nani alipwe vipi na kwa kiasi gani kama kwa kufanya hivyo huyo mtu atakuwa sawa zaidi kimaisha na wamiliki! Ubepari ni mfumo wa kutenga kati ya waliofanikiwa (walionacho) na wale wanaotaka kufanikiwa. HIvyo kwa asili uweka vikwazo mbalimbali ili watu waliofika wasifikiwe na wengine. Ndio maana baada ya sheria mbalimbali za quality, mazingira, na usalama kazini kuwekwa hasa kwenye nchi kama Marekani kinachotokea ni kuwa mabepari wanakimbilia mahali ambapo hakuna strict regulations za namna hiyo.
Mkuu demand and supply inaamua value ya kitu, kiwe bei gani au mtu alipwe mshahara kiasi gani..., Bongo miaka si mingi nyumba kupata muhuri wa mwanasheria tu ilikuwa pesa ya maana lakini sasa wanasheria wa kumwaga hata buku 5 au less unafanyiwa kazi..., wewe mkuu kama kuna magazeti kumi yanakutaka unaweza uka-bargain ulipwe kiasi gani wakati kama hakuna anaekutaka hata ukifanya freelance unaweza ukatoa kazi zako bure tu ili zichapishwe

Pia tukumbuke kwamba Marekani walishajaribu price ceiling kwenye petrol, lakini outcomes zilikuwa mbaya sana black market, ques za kufa mtu na mwisho wa siku watu kununua mafuta kuliko hata bei iliyopangwa.., russia pia issue kama hii ilifanya product zikapotea kwenye supermarkets na watu kuuzia kwenye black market.


Hapa ndipo amapo kuna the inherent weakness of capitalism as a social and economic system. Ni hapa ambapo katika kudai "quality" na biashara a capitalist is willing to do anything to those whom he considers to be slackers. Human dignity haina maana nyingi zaidi ya hiyo. Unafikiri bepari akiambiwa achague kati ya kulipa pensheni, social security au kuchangia healthcare ya mfanyakazi wake atachangia? Hivi wakati wa Utumwa au Ukoloni hao wakubwa walikuwa wanatupa huduma nzuri ya afya na pensheni nzuri?
Mkuu kuna kitu kinaitwa Good Publicity kama wewe na kampuni nyingine nyote mpo sawa utatafuta kitu cha kukufanya wewe uonekane bora.., kwahiyo kuna kampuni ili kupata wateja zinajionesha kwamba zinajali wafanyakazi wake.. (tuliona zamani Japan kampuni zinahimiza wafanyakazi wachukue shares ili waone kwamba kampuni ni ya kwao) UK kuna kitengo kilianza kutoa certificates kwa makampuni cha (investors in people) kwa kampuni zinazojali wafanyakazi wake kwahiyo wewe kuwa na hii certificate ni added advantage..., tumeona pia kulikuwa na movement ya kuwafanya watu waache kununua diamonds ambazo zimetokana na vita (blood diamond) na hata Bongo baada ya voda kuendelea na tamasha la miss Tanzania siku ya maombolezo kidogo kuwe na backlash kitu ambacho kitawafanya wawe carefully next time au kuogeza juhudi za kupeleka madawati mashuleni ili waonekane wanafaa zaidi..., tunaona Banks nyingi hapa zinatoa mikopo ya magari kwa wafanyakazi wao ili zionekane kwamba ni matawi ya juu.... Kwahio mkuu tukirudi kwenye Ubepari utaona kwamba kwa hizi kampuni kutaka kuonekana ni nzuri kwenye macho ya watu basi na wafanyakazi wanafaidika.. "Muuza nyama sio kwamba anapenda sana afya yako na ya watoto wako bali yeye anajali pesa unazompa in so doing na wewe unapata shibe"


Well kwanini tuhofie greedy then kama market can take care of everytying? Kama soko ndiyo nguvu isiyoonekana ambayo ni suluhisho lote kwanini tusijenge hoja kuwa soko linaweza kuamua kama greedy inakuwa punished au rewarded. As a matter of fact we can even question whats wrong with being greedy? Umesema "worry about abnormal profit" kuna tatizo gani kwa mtu kutengeneza faida kupita kiasi siyo ndio ubepari wenyewe huo?
Kila sehemu lazima kuwe na laws and regulations bila hivyo itakuwa chaos..., kwahiyo mkuu kunakuwa na minor interventions na kinachotokea na kilichotokea all over the years sababu za kisiasa serikali imekuwa ikiingilia kati kwa upangaji wa bei, pia mkuu ubepari unafaa pale tu ambapo kuna competition ndio maana kuna laws against monopoly, sababu kama hakuna competition basi you are doomed, hivyo basi the only way forward ni kuakikisha kuna competition ambayo inaleta supply ya kutosha.

Ni maneno mazuri sana; lakini yote yanajaribu kuahidi kisichowezekana. Leo hii Marekani, Ugiriki na nchi nyingi za kibepari zina miundo mbinu, zina mifumo mbalimbali, sheria, na regulations za kila namna guess what? they are all in trouble. Wamepitisha sheria za kila namna over the years lakini ubepari inaonekana hauwezi kuokolewa jinsi ulivyo and as a matter of fact hakuna nchi ambayo sasa hiiv inafuata ubepari wa "soko huru". None.

Mkuu hapa nadhani tunalaumu ubepari bure.., hizi western countries they are now doomed na sio sababu ya Ubepari lakini ni kwamba their expensive lifestyles na their inability of competing with Asians countries the production power has shifted to the Asian countries, kwahiyo mkuu hakuna system itakayoweza kuwanusuru labda kwa marekani wafute NAFTA na kufunga mipaka yao yote, the same to other western countries na kuanza kutoza kodi kubwa kwa bidhaa za nje ili bidhaa zao za ndani ziweze kuuzika au kuwashauri watu wao wawe patriotic kwa kununua bidhaa za ndani as you know watu wao wana purchasing power.... Lakini in short hakuna mtu anaweza ku-predict the future haya mambo only time can tell through experimenting
 
Nilidhani mjadala umefutwa kumbe bado upo,

Jamani kabla hatujaanza kuzungumza mjadala wa Ubepari na Ukoministi au Ujamaa lazima tufahamu huu ni mfumo wa uzalishaji na utumiaji wa mapato wa jamii husika. Hatuwezi kudai Communist ni nzuri au Capitalism ni nzuri wakati jamii yetu haijawa tayari. Labda tuwe wawazi tunayo system in place ya kukabiliana na Ubepari na Ujamaa. Labda nifafanue kwa uwazi kupitia Tanzania.

Tanzania ilianza na itikadi ya Ujamaa baada ya kupitishwa kwa azimio la arusha. Matokeo yake ni kwamba tulikwama katika uzalishaji kwasababu emphasis ilikuwa sio kuzalisha kwa ufanisi bali kukidhi mahitaji. Mifano kuanzia mashamba ya karafuu hadi ya katani.

Kuanzia Viwanda vya kilimo hadi viwanda vya kusindika vyakula. Viwanda vya Tanzania vilikuwa vinazalisha sio kwa faida bali kufuata mashauri na maamuzi ya serikali. We focused on quantity and meeting goals badala ya quality and competition. Matokeo yake Viwanda vyetu vimekufa, hali ya maisha ikawa ngumu (nakumbuka niliwahi kula unga wa njano na sukari guru miaka 1970s and beginning of 1980s). Why ilikuwa hivi :-

a. Gharama za kuendesha serikali zilipanda kulinganisha kipato chake na matokeo serikali yetu ilielemewa na kuzidiwa. Serikali ilikuwa ikilipia kuanzia mashamba mpaka main stream offices. Hivyo gharama za uendeshaji serikali zikawa kubwa kuliko mapato yetu serikali ikazidiwa. Ndipo ilipoadopt ERP I and II.

b. Communism operates on the duty of secrecy and utopian. Viongozi wa serikali ya kikomunisti wanapenda sana siri na kujifanya miungu watu. Matokeo yake ni kwamba kukatokea kundi la wateule serikalini wakawa wakitafuna keki ya serikali huku wakitishia watu kuwa watashughulikiwa ikiwa siri itatoka. Let us be honest we are not equal and because of that some of the government leaders wakawa wanajiona wao miungu watu na wakitafuna hela za nchi huku wakilindwa nadola.

Na mifano ipo kuna viongozi now ndio inajulikana walikuwa wakiiba but kipindi cha miaka 1970s and 1980s and 1967-1969 ilikuwa mwiko kuyasema. Impact yake ni kwamba kukatokea matabaka ya wateule ambao walikuwa wakiibia serikali na hela zikawa zinapelekwa nje ya nchi au zikitumika nchi za jirani ili kuepuka mkono wa sheria Tanzania. Mnatoleo mfano China as an example of communism. China themselves break some of the rules of communism kama equality.

In China viongozi wa serikalini ambao ni stikin rich wakimiliki mahekalu Uingereza, US, France na KWengineko. Kuna study moja ilifanyika na BBC ikagundulika 1 in 3 houses in London are owned by foreign national from China. Sasa jiulize kinawashinda nini kuwekeza kwao wakanunua property China?

Nimeshawahi kukutana na wachina wanaosoma nchi za nje wengi wao baba zao wako serikalini na wanaambiwa wasome wasirudi China mmejiuliza kwanini? Inakisiwa kuna karibia watu Billion 1 china wanaishi kwa dola moja kwa siku or below hawa wanaomiliki nyumba, mabiashara ulaya, marekani wanapata wapi pesa hizo? Hivyo sio kweli China kuna equality bali kuna utopian system ambapo viongozi wanapretend and preach things they do not practice.

c. Communism in Tanzania pia imeharibu confidence of Watanzania. Watanzania wengi ni waoga, wanafiki na wanaogopa kuspeak for their rights. Hilo linatokana na utopian system niliozungumza hapo juu. Kama nilivyosema mwanzo Communism operate in secrecy and utopian na if you question kuhusu mwenendo wa kiongozi wa nchi unaweza kuwawa au kupotezwa usionekane kabisa na familia yako. Hilo sina haja ya kulifafanua zaidi nafikiri jamii yetu tunaifahamu na matokeo yake CCM imetawala hadi leo kwa faida ya communism iliyokuwapo tangia hapo.

Mnaosema Capitalism is bad and operate in greedy naomba mrudi mbali kidogo kabla ya Adam Smith and Karl Max. Asili ya ubepari haikuanzia kwa kina Adam Smith bali ilianza tangu enzi za Warumi, ila foundation hasa za Ubepari ziliweka katika Karne ya 12 ilipoandikwa The Greater Charter of Liberties of England (Sometimes Known as Magna Carta). King John of England stated that it lay down the foundation of liberty and foundation to abide by the law. Magna Carta ikapelekea kuanzishwa Bill of Rights, UK Constitution and US Constitution. Hivyo sio kweli capitalism is free kama watu wanavyotaka kuaminishwa bali capitalism operates in terms of liberty, freedom but within the legal framework and restrictions.

Capitalism inaruhusu freedom and transparency. Transparency will not come without restrictions and rules and within that framework we have rights and responsibility. Communism you have utopian and secrecy. Within that utopian you have rules and restriction which favors the ruling elite (example China you have Chairman Mao Tse Tung and if you criticise Mao it is considered as blasphemy na unaweza kuwawa, Tanzania you have nyerere of whom to some consider him as a Saint and they are ready to defend him to their last breath but forgot he is still a human being full of flaws). Mfumo upi unafaa nawaachia mjaze wenyewe.

Ila narudia tena Tanzania haitaweza kuwa mfumo wowote mzuri wa uchumi kama kwanza hatujaweka mfumo wa kutusimamia sisi wenyewe watanzania. Tanzania bado haijawa na mfumo imara wa kumsimamia Rais, Bunge, Raia na wengineo na matokeo yake ni division within the society. Rais wetu ana madaraka mengi, Bunge halina meno, Conflict of interest between ruling party and government. Kuna jamii ya waislamu inalalamika kuwa wakristo wanapendelewa kuliko waislamu. Yote haya ni matatizo ya kutatuliwa ili kuondoa nepotism, racism, sexism, favoritism etc.

Hivyo kwanza tuyaandae mazingira ya kuwepo usimamizi mzuri wa sheria ndipo tuhamie katika mifumo ya uchumi. Nilikuwa sitaki kusema kwani nilipendelea watu wafikiri wenyewe ila solution ya hili ni KATIBA KWANZA.

Nilikuwapo.
 
Idea ya Free Market economy especially ktk micro level ni KuMaximize the Wealth of the Shareholders. Profits ndiyo goals. Makampuni ya Marekani kuinvest ktk hizo nchi ni kufuata profit kubwa kwa sababu hizo nchi ndizo zitakuwa na future market also kuna cheap labor.

Idea ya Ujamaa ni Equality? Distribution of wealth?

Pamoja na kwamba kuna matatizo ktk market economy kama vile greedy nk, lakini lazima ujue "FREE MARKET ECONOMY IS THE PATH TO PROSPERITY."
Mkuu wangu hapa sintakubaliana na wewe kabisa kwa sababu hujaeleza kwa ufasaha Freemarket economy na kuhusisha mazingira yetu...

Ebu fikiria hivi, Mtu anaanzisha kampuni US au UK ambayo haina mali husika, isipokuwa mali hiyo inapatikana Tanzania na wenye hisa na mali hiyo ni wazungu waliowekeza ktk kampuni hiyo sii wanunuzi wa mali yetu bali ni wenye mali...wakigawana pato la madini yaliyochimbwa Tanzania. Sisi wenye madini hatuna share isipokuwa tunakatiwa ruzuku...Wewe huoni kama Freemarket economy inawafaidisha hao wasiokuwa na mali tukigawia pato la Taifa letu on a silver spoon!. Kama leo hii tumeshindwa kugawana pato la Taifa sisi wenyewe nchini kuna faida gani wao wagawane pato la Taifa letu mkaita freemarket economy wakati hawana mali isipokuwa yetu..

Kama hawa jamaa wanataka kucheza fair game, kampuni iwe na makao makuu Dar na ipelekwe soko lolote nje iwe London, NewYork au Toronto na mauzo yaingie ktk shirika hilo hapa nchini na walipie kodi ndani ( mauzo) sio kama Barrick ambao ofisi yao hapa Toronto wafanyakazi wake wanapokea mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wote wa machimboni Tanzania pamoja na ruzuku yetu, hujazungumzia wenye hisa wanaondoka na ngapi!.

Kesho utakuja sikia shares za Hongda zimepanda, hiyo asilimia 80 wanayochukua inazaa wenye mali yetu na wenye sauti kubwa ktk machimbo yetu kabla hata mali kuuzwa na sisi ndio tutahenyeka kuhakikisha mali inapatikana na kuwapa faida wenye hisa huko Australia watu ambao hawajui Tanzania iko wapi wala hayo madini yetu yanafanana vipi. Yes, yawezekana Freemarket economy ina mazuri yake lakini siyaoni kwetu sisi maskini kwa sababu hata kama tumepewa nafasi ya kununua share ni kiasi gani tutaweza kununua hali sisi ni maskini?..Kwa hiyo freemarket economy kama alivyosema Mwalimu haina roho, haina huruma kumjali maskini isipokuwa ni mchezo wa kamari kwa matajiri ambao wewe na mimi hatuwezi kuingia Las Vegas Upanga kucheza kamari wakati nyumbani hakuna mboga.. Hiyo Las vegas imejengwa kuwalenga watu fulani fulani na sii wewe na mimi ingawa tunaruhusiwa kuingia.
 
Freemarket economy ina mazuri yake lakini siyaoni kwetu sisi maskini kwa sababu hata kama tumepewa nafasi ya kununua share ni kiasi gani tutaweza kununua hali sisi ni maskini..Kwa hiyo freemarket economy kama alivyosema Mwalimu haina roho, haina huruma kumjali maskini isipokuwa ni mchezo wa kamari kwa matajiri ambao wewe na mimi hatuwezi kuingia Las Vegas Upanga kucheza kamari wakati nyumbani hakuna mboga..

Yeah Ubepari kwa nchi yetu yenye maliasili ya kutosha its not the answer (we dont need to create wealth we are wealthy already with a lot of raw materials..) tunahitaji usimamizi wa hali ya juu wa mali zetu.., if anything we need social democracy ambapo serikali itasimamia hata hizi private companies zinazofanya biashara... (na hapa am not including madini, as I believe hizi should remain is states power..) na kuwapiga kodi ya nguvu na serikali kupata pesa ya kuweza kutoa elimu, afya bure na kuwaangalia wazee wetu na wasio na kazi (ili kuhakikisha kila mtu anafaidi kuwa na madini ya almasi, dhahabu na vitu kama serengeti na mlima kilimanjaro..)
 
Mkuu wangu hapa sintakubaliana na wewe kabisa kwa sababu hujaeleza kwa ufasaha Freemarket economy na kuhusisha mazingira yetu...

Ebu fikiria hivi, Mtu anaanzisha kampuni US au UK ambayo haina mali husika, isipokuwa mali hiyo inapatikana Tanzania na wenye hisa na mali hiyo ni wazungu waliowekeza ktk kampuni hiyo sii wanunuzi wa mali yetu bali ni wenye mali...wakigawana pato la madini yaliyochimbwa Tanzania. Sisi wenye madini hatuna share isipokuwa tunakatiwa ruzuku...Wewe huoni kama Freemarket economy inawafaidisha hao wasiokuwa na mali tukigawia pato la Taifa letu on a silver spoon!. Kama leo hii tumeshindwa kugawana pato la Taifa sisi wenyewe nchini kuna faida gani wao wagawane pato la Taifa letu mkaita freemarket economy wakati hawana mali isipokuwa yetu..

Kama hawa jamaa wanataka kucheza fair game, kampuni iwe na makao makuu Dar na ipelekwe soko lolote nje iwe London, NewYork au Toronto na mauzo yaingie ktk shirika hilo hapa nchini na walipie kodi ndani ( mauzo) sio kama Barrick ambao ofisi yao hapa Toronto wafanyakazi wake wanapokea mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wote wa machimboni Tanzania pamoja na ruzuku yetu, hujazungumzia wenye hisa wanaondoka na ngapi!.

Kesho utakuja sikia shares za Hongda zimepanda, hiyo asilimia 80 wanayochukua inazaa wenye mali yetu na wenye sauti kubwa ktk machimbo yetu kabla hata mali kuuzwa na sisi ndio tutahenyeka kuhakikisha mali inapatikana na kuwapa faida wenye hisa huko Australia watu ambao hawajui Tanzania iko wapi wala hayo madini yetu yanafanana vipi. Yes, yawezekana Freemarket economy ina mazuri yake lakini siyaoni kwetu sisi maskini kwa sababu hata kama tumepewa nafasi ya kununua share ni kiasi gani tutaweza kununua hali sisi ni maskini?..Kwa hiyo freemarket economy kama alivyosema Mwalimu haina roho, haina huruma kumjali maskini isipokuwa ni mchezo wa kamari kwa matajiri ambao wewe na mimi hatuwezi kuingia Las Vegas Upanga kucheza kamari wakati nyumbani hakuna mboga.. Hiyo Las vegas imejengwa kuwalenga watu fulani fulani na sii wewe na mimi ingawa tunaruhusiwa kuingia.

Free Market haina fair game. Free Market economy haiamini distribution of wealth. Idea ya free market economy ni Kumaximaze the wealth of the shareholders- profit is a goal.

Unapozungumzia hizo kampuni TZ, lazima uelewe TZ bado hatuna strong stakeholders ambao wanaweza kuthreat (boycott) hizi kampuni-kuanzia serikali mpaka wananchi wenyewe.

Angalia haya makampuni (corporations) yanavyoiendesha nchi kubwa kama Marekani, ambapo rais wao hana nguvu yoyote mbele ya hawa jamaa.

TZ ipo ktk njia panda haijui mfumo gani ndiyo mzuri kwa WTZ. TZ imejaribu Ujamaa, ambao ulifeli vibaya, sasa hivi TZ inajaribu kutafuta mainvestors ili kuokoa matatizo yaliyotokea wakati wa Ujamaa.

Free Market inafanya vizuri iwapo nchi inakuwa na nyenzo muhimu ktk business transactions.

Tunahitaji tuwe na energy 24/7, also, Information Sytem ambayo itaweza kutract all the business transactions without bureaucratic.
 
Sasa na hizo nchi nyingine kama China zitakapoanza kuingia kwenye kulinda wafanyakazi na mazingira na kuanza kupitisha sheria ngumu za usalama kazini n.k wao watafanya nini hawa mabepari wetu?

In fact China wameanza hilo tayari. kama ukisikia siku hizi wanasema wana relocate viwanda vyao kwenda western China ambako watu ni masikini zaidi na gharama za uzalishaji ni chini sana kuliko Eastern na Southern, au wanakwenda kwenye nchi kama Indonesia, India na philipines. Na siku hizi pia ukiangalia unaweza kuona nchi nyingi za Ulaya zinapeleka viwanda Turkey ambako ni karibu sana na sheria za safe labour and envorinmental practices si kali.
 
Free Market haina fair game. Free Market economy haiamini distribution of wealth. Idea ya free market economy ni Kumaximaze the wealth of the shareholders- profit is a goal.

Unapozungumzia hizo kampuni TZ, lazima uelewe TZ bado hatuna strong stakeholders ambao wanaweza kuthreat (boycott) hizi kampuni-kuanzia serikali mpaka wananchi wenyewe.

Angalia haya makampuni (corporations) yanavyoiendesha nchi kubwa kama Marekani, ambapo rais wao hana nguvu yoyote mbele ya hawa jamaa.

TZ ipo ktk njia panda haijui mfumo gani ndiyo mzuri kwa WTZ. TZ imejaribu Ujamaa, ambao ulifeli vibaya, sasa hivi TZ inajaribu kutafuta mainvestors ili kuokoa matatizo yaliyotokea wakati wa Ujamaa.

Free Market inafanya vizuri iwapo nchi inakuwa na nyenzo muhimu ktk business transactions.

Tunahitaji tuwe na energy 24/7, also, Information Sytem ambayo itaweza kutract all the business transactions without bureaucratic.


Umesahau kuwa Tanzania kuna element ya uswahili ambayo ni incompatible na capitalism na socialism. As long as itaendelea kuwepo, system yoyote tutakayofuata haitabadilisha maisha yetu kuwa mazuri.
 
[h=1]The storming of Brooklyn Bridge: Wall Street protesters march up New York landmark and force police to close it[/h] By Daily Mail Reporter

Last updated at 3:08 AM on 2nd October 2011



The Brooklyn Bridge has been shut down and up to 400 people arrested after protesters camping out near Wall Street spilled on to the roadway, illegally blocking traffic from one direction.

In a tense showdown on Saturday evening, police took swift action after the protesters went from the walkway on to the road.

Demonstrators are rallying against corporate greed, global warming and social inequality, among other grievances.

article-2044267-0E2DDDA400000578-492_634x403.jpg
Demonstrators: Around 1,500 protesters march over the Brooklyn Bridge during an Occupy Wall Street protest today



article-2044267-0E2DE13700000578-574_634x401.jpg
Held: A police officer leans over to talk to a protester after hundreds were arrested during the march across the famous landmark today



article-2044267-0E2DCF8B00000578-469_634x383.jpg
Trap: Protesters are blaming police for tricking them and trapping them on the bridge leading them to believe it was acceptable to occupy the roadway

A large group of marchers broke off from others on the bridge's pedestrian walkway and headed across the Brooklyn-bound lanes, organizers and police said.
Head police spokesman Paul J. Browne told the New York Times: 'Protesters who used the Brooklyn Bridge walkway were not arrested.Those who took over the Brooklyn-bound roadway, and impeded vehicle traffic, were arrested.'
Things came to a head when the march - which was going from Zuccotti Park to Lower Manhattan - reached the bridge.



[h=4]More...[/h]

Most of the 1,500 demonstrators stayed on the walkway but it was when a number went for the roadway that the police surrounded them with orange net and captured them

Officers cut the marchers off and plunged into the crowd and began making arrests as marchers chanted, 'Shame! Shame!'

'The protesters were supposed to stay on the pedestrian walkway and some took the roadway and we're now ... making arrests on the Brooklyn Bridge,' a police spokesman said.
Witnesses described a chaotic scene on the famous suspension bridge as a sea of police officers surrounded the protesters and tied their hands with plastic restraints.


article-2044267-0E2DD64200000578-408_306x423.jpg

article-2044267-0E2DB82800000578-766_306x423.jpg


The Brooklyn highway is not intended for pedestrians and the marchers were arrested when they attempted to cross the bridge on the highway


article-2044267-0E2DD0AF00000578-824_634x420.jpg
Defiance: Police bound the protesters' hands with plastic-like cuffs while they waited for buses and vans from Rikers Prison come and take them away



article-2044267-0E2E01B400000578-761_634x402.jpg
Stand off: A police officer with a bullhorn addresses a large group of protesters on the Brooklyn Bridge after they shut the roadway down



article-2044267-0E2DE22800000578-260_634x400.jpg
Restrain: Police officers reach into a crowd of protesters to make an arrest during the Occupy Wall Street march

Some protesters tried to get away as officers started handcuffing marchers. Dozens of protesters were seen handcuffed and sitting on the bridge as three buses were called in to take them away.
The group has been camped near the Financial District for two weeks and clashed with police on earlier occasions. A Friday march to police headquarters was peaceful.

Earlier on Saturday, two other marches went over the bridge without problems. One was from Brooklyn to Manhattan by a group opposed to genetically modified food.

Another in the opposite direction marched against poverty.


article-2044267-0E2DDBC900000578-356_634x421.jpg
We shall not be moved: Protesters link arms as they try to sit and avoid arrest on the Brooklyn Bridge during an Occupy Wall Street march today



article-2044267-0E2DE3DD00000578-367_634x382.jpg
Support: A protester shouts her name to people up on the Brooklyn Bridge footbridge after she was arrested among 400 other people today



Christopher T. Dunn of the New York Civil Liberties Union told the Times that he was he was concerned that those in the back of the march who might not have heard the warnings 'would have had no idea that it was not okay to walk on the roadway of the bridge'.

Some of the marchers have claimed that the police tricked and trapped them, allowing them on to the bridge and even escorting them across, leading them to believe their actions were accepted.
But Mr Browne assured this was not the case. He said: 'This was not a trap, they were warned not to proceed.'
 
TZ ipo ktk njia panda haijui mfumo gani ndiyo mzuri kwa WTZ. TZ imejaribu Ujamaa, ambao ulifeli vibaya, sasa hivi TZ inajaribu kutafuta mainvestors ili kuokoa matatizo yaliyotokea wakati wa Ujamaa
Labda unisaidie kidogo, Je, katika nchi zinazotuzunguka ni ipi iliyokuwa na mfumo tofauti na ujamaa iliyofanikiwa!
 
Labda unisaidie kidogo, Je, katika nchi zinazotuzunguka ni ipi iliyokuwa na mfumo tofauti na ujamaa iliyofanikiwa!

Kenya wamejaribu ubepari miaka yote hii; na utaona kuwa ni ubepari ule ule kama wa Kimarekani. Swali limebakia mara zote nani anayemiliki hizo mali huko Kenya? Nani anamiliki ardhi? Lakini pia watu wanaamini kabisa kuwa Kenya iko mbali sana na Tanzania kimaendeleo! Utakuta kumbe wanapozungumzia Maendeleo wao wanazungumzia Nairobi! Ndio ubepari wa TZ; ni kweli watu wamepiga hatua kubwa na kuna mabadiliko lakini ukiuliza wanazungumzia zaidi Dar!
 
Kenya wamejaribu ubepari miaka yote hii; na utaona kuwa ni ubepari ule ule kama wa Kimarekani. Swali limebakia mara zote nani anayemiliki hizo mali huko Kenya? Nani anamiliki ardhi? Lakini pia watu wanaamini kabisa kuwa Kenya iko mbali sana na Tanzania kimaendeleo! Utakuta kumbe wanapozungumzia Maendeleo wao wanazungumzia Nairobi! Ndio ubepari wa TZ; ni kweli watu wamepiga hatua kubwa na kuna mabadiliko lakini ukiuliza wanazungumzia zaidi Dar!
MM, 10% inamiliki 90% ya ardhi. Wamiliki wa mali ni wageni kama Waingereza.

Kutoka Mombasa hadi Kisumu, Naivasha hadi Turkana ni umasikini wa 'kutukuka'. Ah! Nairobi ni Westland na Karen club siyo Kibera, Islii au Githurei.Kamuzu Banda je! Mobutu naye! walikuwa wajamaa pia!

Kama ujamaa ni sumu, je, bail out inayofanyika marekani na uropa ni kitu gani. Kwanini free economy isiachwe ikafanya kazi yake. Kwanini Ujerumani na Uholanzi wananchi wake wabebe mzigo wa Italy na Greece.

Endapo bail out kwa mabenki na makampuni ni muhimu, inakuwaje sumu tunapotaka ku bail out masikini.
Kwanini wote wasiachwe ili natural selection inayotokana na free market economy ifanye kazi yake.

Na kama free market economy ni fair game iweje marekani amlalamikie mkomunist Mchina kuhusu biashara na kutafuta njia za kumkwamisha.

Hu Jintao alimwambia David Cameron alipokuwa London kuwa ' tatizo la Greece China inaweza kulikabili ikishirikishwa'.
Wachunguzi wa mambo ya uchumi wanasema China ina 3 Trillion US $ nje ya nchi.
Imefika mahali reserve Currency ya dunia inatiliwa mashaka na inatakiwa ijadiliwe.
Sasa hapa Mkomunist na bepari wapo katika viwango gani kwa kulinganisha.

Endapo ujamaa ulijali quantity na si quality ya viwanda na kupelekea serikali kushindwa kuhudumia, ni nchi gani duniani imepata maendeleo bila ya kuwa na viwanda vyake vya ndani. Na kama ujamaa ndilo tatizo la kufa viwanda vipi vilivyokuwepo kabla yake.

Ni kwanini Tazara, TRC, ATC, TTCL zilizokuwa na monopoly zimekufa baada ya azimio la Zanzibar! Je, mashirika hayo yameuawa na quantity licha ya monopoly yaliyokuwa nayo.

Tunapoongelea ujamaa wa Tanzania na matatizo yaliyojitokeza tunapaswa tuondoe factors nyingine zilizochangia matatizo hayo ili tubaki na ujamaa wenyewe tuutolee hukumu ya haki. Baadhi ya matatizo hayo ni mkoloni kutowekeza Tanzania baada ya Uhuru na sisi kuanza from the scratch, kufa kwa EAC, Vita vya Kagera, Kuanguka kwa dola ya mashariki n.k Tukiweza kuziondoa 'rule out' hizo factor ndipo tuanze na Azimio la Arusha na ujamaa na 'kushindwa' kwake.

Wakubwa wakitoa pesa kusaidia GM, Well Fargo, Fein n.k hiyo inaitwa bail out. Obama anaposaini bill ku extend social benefit hiyo inaitwa ' middle class assistance', Tunaposema bei ya sukari na mafuta iangaliwe kumsaidia masikini wa Tanzania tunaambiwa huo ni ujamaa na unakinzana na free market economy ile ile inayofumba macho New York, Luisiana, Georgia, Detroit, Bristol, Madrid na Portugal.
 
[h=1]Thousands march on Wall Street in the
biggest protest yet as Herman Cain tells them: 'If you're not rich it's YOUR OWN fault'[/h] By Daily Mail Reporter

Last updated at 12:45 AM on 6th October 2011



A huge mass of protesters descended on Wall Street this evening in Occupy Wall Street’s largest protest yet, as Presidential hopeful Herman Cain told them: 'If you're not rich, it's your own fault'.

The group of 2,000, largely made up of union members and students, banged drums and chanted, adding their voices to those of the demonstrators camped out for almost three weeks.
About 1,000 students held up signs denouncing the dismal state of the economy as they marched to Foley Square in Manhattan, New York.
Scroll down for video

article-2045805-0E3FA1EC00000578-4_634x417.jpg
Massive movement: The protests have gathered momentum and gained participants in recent days after news of mass arrests and a coordinated media campaign by the protesters

article-2045805-0E3F969600000578-493_634x437.jpg
Passionate: Protesters shout slogans as they demonstrate in Foley Square in New York City


At least another 1,000 people were already at Foley Square, mixing with young people who had been camped out in Zuccotti Park for the past couple of weeks.
The Occupy Wall Street protest started on September 17. The protesters have varied causes but have reserved most of their criticism for Wall Street.

They have spoken out about unemployment and economic inequality, saying ‘we are the 99 per cent’ - in contrast to the wealthiest one per cent of Americans.


[h=4]More...[/h]

Meanwhile, as the group descended on the financial centre, GOP presidential candidate Herman Cain risked their wrath by fuming that they are only holding demostrations to distract from President Obama's failed policies.
The businessman addressed protesters in a Wall Street Journal interview, saying: 'Don't blame Wall Street, don't blame the big banks, if you don't have a job and you're not rich, blame yourself.'
article-2045664-0E3511A400000578-645_634x402.jpg

Herman Cain: 'Don't blame Wall Street, don't blame the big banks, if you don't have a job and you're not rich, blame yourself. It is not someone's fault if they succeeded'



article-2045664-0E3F28D500000578-196_306x423.jpg

article-2045664-0E3F61A000000578-697_306x423.jpg


Varying faces: Lincoln Hallgren, left, joins his father during a demonstration in Chicago and Tobias Calzarette, right, with a face guard, joins others with Occupy Wall Street as they leave Zuccotti Park on Wednesday


article-2045664-0E3F604E00000578-825_634x423.jpg
Gathering momentum: Occupy Wall Street protesters march to join a rally in New York on Wednesday

Around $35,000 has now been sent to the protesters who have been camped out in Manhattan, New York, for almost three weeks now - angry at the state of U.S. politics and economics
'I don't have facts to back this up, but I happen to believe that these demonstrations are planned and orchestrated to distract from the failed policies of the Obama administration,' Mr Cain, 65, added.

Among the protesters were a diverse group of powerful unions, lending focus, credibility and potentially hundreds of participants to a group that started out as just a few college students camping out in lower Manhattan.
Planning to join the clamour are members of the Chinatown Tenants Union and the Transit Workers Union, the liberal group MoveOn.org and community organizations such as the Working Families Party and United NY.

article-2045805-0E3FA34100000578-345_634x451.jpg
Order! Occupy Wall Street protesters join a labour union rally on the courthouse steps and in Foley Square in New York

article-2045805-0E3FA29D00000578-338_634x420.jpg
Students are revolting: Banners fly high above the protesters on Wall Street



article-2045805-0E3F833800000578-55_634x401.jpg
Mass: Thousands have marched on Wall Street and the protest is continuing to grow

At several colleges across the nation, meanwhile, students participated from afar by heeding organizers' calls to walk out of classes.
In New York, protesters were gathering at Foley Square, an area encircled by courthouses and named for ‘Big Tom’ Foley, a former blacksmith's helper who became a prominent state Democratic leader.

From there they were to march to Zuccotti Park, the unofficial headquarters where protesters have been camped out in sleeping bags.
It's unclear how many people will be joining the march, but some organisers said thousands could show up. About 1,000 people were in Foley Square shortly before the march was to begin.
Some union members were driving in from other states. Roxanne Pauline, a coordinator for the Northeastern Pennsylvania Area Labor Federation, said some of her union's members plan to stay in Zuccotti Park over the weekend.

article-2045805-0E3F6C6200000578-508_634x444.jpg
Cut off: The group are disenchanted because of the wage divide between bankers and the ordinary man



article-2045805-0E3F793500000578-386_634x374.jpg
Defiant: Banners demonstrated the strength of feeling felt by those marching

‘They'll teach the younger people what unions are - that they're not thugs or mobsters, but working people,’ she said.
Police said that United NY had sought a permit for the rally and that about 2,000 people were expected. They were planning to use microphones at the square, but not at the park.
‘I think they're capturing a feel of disempowerment, feeling like nobody is listening to them,’ said Camille Rivera, executive director of United NY.

‘What do you do when no one is listening to you? You speak up, you take action.’
Other groups have periodically gathered and protested in spots throughout the country. In Boston, about 200 Northeastern University students gathered on campus Wednesday to condemn what they called corporate control of government and the spiralling costs of their education.
‘We're letting inequality build in this country and there's not enough resistance,’ said senior international affairs major Andrea Gordillo, of Sarasota, Florida.

article-2045805-0E3F6B6200000578-348_634x408.jpg
Furious: Occupy Wall Street demonstrators march to join unions in the financial district



article-2045805-0E3F6AFE00000578-257_634x427.jpg
Voices: The protesters banged drums and chanted: 'We are the 99 per cent (and so are you)'

‘There are real bread-and-butter issues in this country - like the future of Social Security and our parents' retirement - that aren't being taken care of now, and we're the ones who are going to be called on to fix that,’ she said of her generation.
Hundreds of college students at New York's sprawling public university system walked out of classes Wednesday afternoon, some in a show of solidarity for the Wall Street movement but many more concerned with worries closer to home.

Protests were scheduled at State University of New York campuses including Albany, Buffalo, Binghamton, New Paltz and Purchase.
Danielle Kingsbury, a 21-year-old senior from New Paltz, said she walked out of an American literature class to show support for some of her professors who she said have had their workloads increased because of budget cuts.
‘The state of education in our country is ridiculous,’ said Kingsbury, who plans to teach. ‘The state doesn't care about it and we need to fight back about that.’
article-2045805-0E3F950900000578-587_634x419.jpg
Flags: Members of trade unions join Occupy Wall Street protesters as they march to Foley Square


article-2045805-0E3F79A500000578-533_634x420.jpg
Cordoned off: The mass was held back by police and metal barriers





article-2045805-0E3F964B00000578-987_634x428.jpg
Angry: The demonstrators are protesting bank bailouts, foreclosures and high unemployment from their encampment in the financial district

No one needs a permit to protest in New York City, where picket lines and marches go on nearly every day. But a permit allows demonstrators to do things that would normally be illegal - like filling an entire street.
During the U.N. General Assembly, thousands of protesters took to the streets, but police were aware and facilitated and planned for traffic disruptions. But during one day of the assembly, six demonstrators attempted to block traffic and were arrested.
‘That was more in the tradition of civil disobedience,’ said Paul Browne, spokesman for the NYPD. ‘It seemed their aim was to get arrested.’
About 700 members of the Wall Street group were arrested and given disorderly conduct summonses for spilling into the roadway of the Brooklyn Bridge on Saturday despite warnings from police.
It's not clear whether the protesters meant it as civil disobedience; some say they were tricked by police into entering the road and were wrongly arrested. Police video shows officers with bullhorns telling them to keep off the road.

article-2045805-0E3F6AA600000578-73_634x391.jpg
Up in arms: Many of the protesters held aloft banners they had made for the occasion


article-2045805-0E3F836800000578-837_634x447.jpg
Chase: One of the many banners displayed as the crowd descended on Wall Street

Browne said that the department was prepared for a large group march Wednesday, and that officers were anticipating spill over onto the streets.
‘Officers will be in the lane next to the sidewalk, and we will try to keep people on the sidewalk, but we realise they may need to walk on the street if it's crowded,’ he said.
That type of activity that could result in arrest would be if members of the group, say, purposefully try to stop traffic on Broadway, Browne said.
MoveOn.org is planning a ‘virtual march’ on its website by encouraging people to post photos of themselves with the caption: ‘I'm the 99 per cent.’

The group's executive director, Justin Ruben, called the protesters ‘brave young people’ who have successfully inspired others to join them.
‘From our perspective, we're protesting kind of the greed that led to the collapse of our economy,’ Ruben said. ‘The fact that these banks aren't paying their fair share.’
 
Back
Top Bottom