Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
- Thread starter
- #61
Napenda sana lile jarida la TPDF.Wakati wa Nyerere inaonekana tulikuwa pia na intelijensia nzuri sana sisi Tanzania..
Do you think tunao watu sahihi kwenye idara zetu za ujasusu kwa kuangalia mambo yanavyoenda humu nchini na tunavyoshirikiana na nchi za jirani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ufahamu wangu wa kupitia machapisho mbalimbali ni kwamba Tz ni 2nd katika Afrika na 25th duniani, hizi ni rankings za Jumuiya za Kimataifa za miaka 5 iliyopita.
Lakini uimara wa vikosi hauko kwenye kumiliki zana wala idadi ya maafisa bali ni maarifa ya kutumia zana na maarifa ya medani.