Nani anastahili tuzo ya Nobel katika marais 6 tuliowahi kuwa nao Tanzania?

Wakati wa Nyerere inaonekana tulikuwa pia na intelijensia nzuri sana sisi Tanzania..

Do you think tunao watu sahihi kwenye idara zetu za ujasusu kwa kuangalia mambo yanavyoenda humu nchini na tunavyoshirikiana na nchi za jirani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda sana lile jarida la TPDF.

Kwa ufahamu wangu wa kupitia machapisho mbalimbali ni kwamba Tz ni 2nd katika Afrika na 25th duniani, hizi ni rankings za Jumuiya za Kimataifa za miaka 5 iliyopita.

Lakini uimara wa vikosi hauko kwenye kumiliki zana wala idadi ya maafisa bali ni maarifa ya kutumia zana na maarifa ya medani.
 
Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.

Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?

Kwa sababu zipi?

Kwanini imeshindikana?

Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"

Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?

Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Maarifa ya atakayetoa matusi ndio hayo matusi.....
 
Ila pia, sina hakika kama Tuzo hii ni ya nchi za Magharibi au ya jumuiya za kimataifa, Alfred B. Nobel ni Mswedish ambayo ni nchi iliyokuwa rafiki wa Tz wakati huo wa mawazo hayo ya Mwl Nyerere yaliyopingwa na Magharibi yalipokuwa yakitoka.

“Having come into contact with a civilization which has over-emphasized the freedom of the inpidual, we are in fact faced with one of the big problems of Africa in the modern world. Our problem is just this: how to get the benefits of European society – benefits that have been brought about by an organization based upon the inpidual — and yet retain African’s own structure of society in which the inpidual is a member of a kind of fellowship.”

Julius Kambarage Nyerere as quoted in the New York Times Magazine on 27 March 1960. -
Mawazo ya Nyerere uliyokwoti, hayamo hayamo katika zile category sita za nobel: yaani Chemistry, Physics, Medicine, Literaturre, Economic Sciences na Peace. Kwa dunia ya leo Nyerere anaweza kushinda kwenye Peace lakini hana sifa kwa vile ni mfu.
 
Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.

Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?

Kwa sababu zipi?

Kwanini imeshindikana?

Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"

Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?

Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Nyerere alistahili lakini kwa sasa labda JK hakuna mwingine,Samia atakuwa na nafasi kubwa kupata tuzo ya Mo Ibrahim.
 
Unawaonea marais waliomfuata Nyerere kuwalinganisha nwa mwalimu. Mwalimu kazi na heshima yake ni very far reaching. Ni zaidi ya waziri mkuu wa kwanza, rais wa Tanganyika na rais wa Muungano.

Katika Marais wetu watano my favorite ni Président Ben Mkapa. He is the greatest of them all without Norbel. Hata ikitokea akafufuka na kugombea, ana kura yangu na kampeni nampigia!
 
Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.

Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?

Kwa sababu zipi?

Kwanini imeshindikana?

Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"

Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?

Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Tuzo ya Nobel kwa Tz anapaswa kupewa Julius Kambarage Nyerere kwa sababu
1. Mwaminifu ambaye hakujitajirisha kwa pesa za masikini wavujajasho
2. Aliimarisha uchumi kwa kujenga viwanda vingi na kuongeza ajira
3. Hakuwa na upendeleo kwa familia yake, Kabila lake, Ukanda wake wala marafiki zake
4Alizikomboa nchi nyingi za Afrika zilizokuwa chini ya ukoloni.
5. Alituwezesha kuwa na dira ya maendeleo ya jamii kuwa ni ujamaa na kujitegemea. Leo haijulikani kama ni wajamaa au mabepari
6.Alikuwa na huruma kwa watanzania wote

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania hakuna kiongozi anayefaa kutunukiwa tuzo ya Nobel kwani wana mengi ya kusontewa kidole kuliko kuenziwa.

Nyerere ndiye aliyeweka msingi mbovu ambao ndio umesababisha hii nchi kuwa masikini hadi leo kwa kuleta mfumo mbovu wa ujamaa akiifanya Tanzania kuwa maabara ya kujaribishia itikadi za kigeni.

Alifuta mfumo wa vyama vingi na kuleta mfumo wa udikteta wa chama kimoja na kuweka sheria ya kuweka watu kizuizini bila ya kuwafikisha mahakamani. Akatuingiza kwenye vita vya kijinga na Uganda kwa ajili ya rafiki yake Obote.

Nimechoka kwa sasa, nitawachambua hao wengine baadaye.
 
Sawa, ni kweli kabisa kwa sababu baada ya Azimio la Arusha kuondoka hatukuwa na dira yoyote (so far nchi imekuwa na dira 3: Uhuru, Azimio la Arusha na hii ya Big Ben ya 2025), lakini Pendael24: baada ya 2025 taifa litahitaji dira nyingine isukwe, achilia zile za Jumuiya za Kimataifa. What if akija kiongozi ambaye atatupa dira kali zaidi ya hii ya Big Ben?
Nadhani hakuna wakieleza kutupatia dira nyingine, kwanza kuna kufeli kwingi kwa dira hii kwa sababu karibu kila aliekuwa kwenye awamu alienda kivyake , na nadhani wanatamani hata hio 2025 isifike, na kwa vile hakuna wa kuwawajibisha kwa kuto kufikia malengo basi ndio hivyo itakua imetoka.

Pamoja na nia njema juu ya taifa hili aliyo nayo kiongozi wetu sidhani kama hata wapo tayari kuundwa dira mpya, sababu zipo nyingi.
kwanza kutengeneza pale palipo haribiwa, pakipona 2025 hoi hapa.

Pili hata ukiwasikiliza mazungumzo yao ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2025, wakati muda huu ndio ulikua wa kufanya tathmini wapi walipofikia kuekelea 2025 hitimisho la dira waliokua wakitembea nayo kwa miaka 25.

Tatu wanapambana wenyewe kwa wenyewe dhidi ya mifumo na kupambana na wengine ambao wanaona wanaenda kinyume nao, hili nalo linawachelesha sana kuja kushtuka jioni hii hapa na jua limekwisha zama.

Watu kama mwalimu nyerere, watu kama ben mkapa tunapewa mara chache mno katika jamii zetu .

Wakaliwe nuru ya milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.

Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?

Kwa sababu zipi?

Kwanini imeshindikana?

Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"

Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?

Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
mh. benjamini willium mkapa
 
Umetufaa kwa viwango vilivyotukuka. Umepanua uelewa wetu, umeonyesha njia na namna ya kutanua mjadala. Ni kweli tuzo haijasitirika kwa wanasiasa pekee ila hao ndiyo wako kwenye global spotlight kwamba hadi sasa labda hatuna mwanasayansi aliyefanya ugunduzi wa kunyanyua nyusi za dunia.
Bwana Douglas tutarajie mapambio na hongera nyingi sana kutoka kwa politicians kwa hili hapa...kama yuko nje watajipanga airport kumpokea (unafik na ubinafsi) hata kama hawakumjua wala kusoma kazi zake kabla....I said we should not focus on a political arena katika Nobel Price....

Viva Tanzania Hongera sana kwake.

Katuheshimisha kuliko.

Screenshot_20211007-201721_BBC%20News.jpg


Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom