Mkapa alistahili(RIP)
Aliuwa wazanzibari sana na kuwafunga wengi
Alizalisha wakimbizi shimoni, wa zanzibar
Hakuwa na utawala bora, alitumia Dola sana
Mkapa alistahili(RIP)
1. Nakufata katibaDaktari John Pombe Magufuli.
Mama Samia Suluhu Hassan 100%
Ally Hassan Mwinyi
Tatizo alikuwa ni mwizi wa kura,huu ni uchaguzi mkuu wa mwaka 1995😁😁😁Nobel hutolewa kwa mtu aliye hai tu. Leo hii Nyerere ana vigezo vya kuipata lakini anakosa sifa kwa vile hayuko hai. Mawazo ya Nyerere ya wakati huo yalikuwa hayakubaili nchi za Magharabi; lakini leo hii yanakubalika wakati yeye mwenyewe hayupo kuyazungumzia. Hasa hili swala la uhuru na kujitegemea!
Mkuu umenikumbusha mbali, enzi zetu hizo za matriculation, hujaufaulu hata kama umefaulu NECTA hujadahiliwa kuingia chuo kikuu, kilikuwa kigezo cha kuwakamata wale walioiba mitihani ya NECTA. Enzi hizo zikirudi leo sijui itakuwaje.Mie ningeigawa katikati kwa Mkapa na Kikwete! Namkubali Nyerere lakini utawala wake sikuushuhudia sana! Mkapa na Kikwete kila mmoja ana mengi mazuri ya kukumbukwa kwa wananchi, Sera nzuri za kiuchumi za Mzee wa Lupaso zilifanya tufutiwe madeni yaliyokuwa mzigo mkubwa na kikwazo cha maendeleo yetu, Mkapa pia alifungua milango mingi ya ajira na kuleta nafuu ya maisha! Kikwete aliboresha sana maisha ya wananchi, Alisaidia sana kuondoa vikwazo vingi vilivyokuwepo kwa wananchi kupata elimu ya juu, ambapo mambo ya urasimu kupitia multriculation yaliondolewa vyuoni, vyuo vya elimu ya juu vingi vilianzishwa! Alitoa mikopo mpaka kwa wanafunzi hewa! Aliajiri kila mwaka na kuna makundi waliingia ajirani moja kwa moja toka vyuoni, adha za kusota vijiweni bila ajira walizipata wachache mno! Alipandisha madaraja na mishahara kila mwaka na zaidi alilipa hadi watumishi hewa, na bado mtaani fedha ilicheza vizuri! Kwa hakika hawa wawili natoa 50/50 ! Mh. Samia Suluhu sio rais mstaafu hivyo hatuwezi kumjaji kwa pamoja na hawa wastaafu, yeye tutamjaji baada ya kumaliza muda wake!
Duh! hii mpya kabisa!Baada ya Amin kunyakua madaraka nchini Uganda mwaka 1971, kulikuwa kukitokea "frequent border incursions" kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda zikifanywa na majeshi ya Obote yaliyokimbilia Tanzania mara tu baada ya Obote kupinduliwa na Amin, majeshi hayo ya Obote yalikuwa pale Tabora.
Hili lilikuwa likifanyika kwa siri sana na hata mwaka 1978 kabla ya vita pia hayo majeshi ya Obote yalifanya tena uvamizi nchini Uganda na kisha kukimbia na kurejea tena Tanzania. Kimsingi, Amin alikuwa sahihi kwani yeye alichokuwa anafanya ilikuwa ni kujaribu kukomesha uvamizi wa mara kwa mara ktk ardhi yake.
Huu ndio ukweli ambao umekuwa ukifichwa sana na tawala mbalimbali za Tanzania japo ndio chimbuko la vita vyenyewe
una maana tuzo ama tozo ?Tuwe wavumilivu, mama atapewa hiyo tuzo.
Labda atapewa hiyo Tuzo kwa sababu ya macho yake,na si kingine, ndo maana Rais wa Marekani aligoma kabisa kuongea naye, huyo ni mrithi wa Dikteta ,naye Dikteta pia....Tuwe wavumilivu, mama atapewa hiyo tuzo.
Duh....? Nikuite jina gani wewe Boya? Tuzo ya MO hupewa ma Dikteta? muuaji Magufuli apewe Tuzo ya MO kwa sababu ya kujenga AIRPORT Chato?kwa sababu ya kununua ndege?kwa sababu ya kuagiza Tundu Lissu auawe na kumpoteza Ben Saanane? Kwa sababu ya kukandamiza Demokrasia Tanzania? mpumbavu sana wewe jamaa....Kikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Wewe ni pimbi tu asiyejua mambo ya dunia ndiyo maana unakimbilia kusema Magufuli diktetea ilihali dunia yote inajua kuwa alichaguliwa na wanachi kwa mujibu wa katiba kama wewe pimbi hukukubali matokeo hayo. Unaonekana huna busara kabisa ndiyo maana huwezi kukaa kwenye panel kama ya MO foundation. Tuzo ile hupewa rais aliyestaafu kwa mujibu wa katiba na katika kipindi cha utawala wake alikuwa na impact katika kuendeleza ustawi wa maisha ya watu wa nchi yake kwa kuimarisha fursa za maendeleo kiuchumi kwa watu wake, pamoja na kupunguza rushwa na matumizi mabaya ya raslimali za nchi. Magufuli aliyaweza sana hayo. Piga kelele, rukia darini (kama nyumba unayolala ina dari) au kimbilia chooni, ukweli huo huwezi kuufuta. Ni kweli upinzani wote haukufurahia utawala wake kwa vile aliwanyima talking points, na wale wote waliokuwa wakiishia kwa kufuja mali za umma aliwabana sana lakini sasa hivi tuongee tangible things siyo hadithi za alinacha zitokanazo na hasira binafsi.Duh....? Nikuite jina gani wewe Boya? Tuzo ya MO hupewa ma Dikteta? muuaji Magufuli apewe Tuzo ya MO kwa sababu ya kujenga AIRPORT Chato?kwa sababu ya kununua ndege?kwa sababu ya kuagiza Tundu Lissu auawe na kumpoteza Ben Saanane? Kwa sababu ya kukandamiza Demokrasia Tanzania? mpumbavu sana wewe jamaa....
Tuwe wavumilivu, mama atapewa hiyo tuzo.
Kuna kiumbe mmoja alijifanya kuiga kichwa kichwa akaishia kuwa kama story ya chura ile ya zamani. In fact don't hunt something you can't kill.Nobel hutolewa kwa mtu aliye hai tu. Leo hii Nyerere ana vigezo vya kuipata lakini anakosa sifa kwa vile hayuko hai. Mawazo ya Nyerere ya wakati huo yalikuwa hayakubaili nchi za Magharabi; lakini leo hii yanakubalika wakati yeye mwenyewe hayupo kuyazungumzia. Hasa hili swala la uhuru na kujitegemea!
Umenikera, jiwe mtu asiye na maarifa na muuaji/mtesi /katili/Sadist apewe hizo tuzo?Kikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Kuna tuzo alinyakua raisi wa ghana magufuli alikuwepo kwenye ligiKikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Vigezo unavyotumia wewe na jinsi unavyovitafsisri siyo ambavyo MO inavyotumia. Magufuli asingewza kuwemo kwenye Nobel kwa vile hakuwa na impact pana zaidi ya nyumbani ingawa aliongelewa sana kimataifa. Impact ya Nyerere ilisikika Afrika yote; Kikwete yeye alikuwa mla nchi tu, hakuwa na impact yoyote popote pale. Hakuna nchi yoyote duniani utakakokuta watu wanamuongelea Kikwete au kitu chochote cha kumbukumbu ya Kikwete. Nyerere anakumbukuwa sehemu nyingi sana Afrika, hata sehemu usizoaomini kama Mali wana mtaa unaitwa Nyerere, na Magufuli anajulikana dunia nzima.Umenikera, jiwe mtu asiye na maarifa na muuaji/mtesi /katili/Sadist apewe hizo tuzo?
HakuniTuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.
Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?
Kwa sababu zipi?
Kwanini imeshindikana?
Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"
Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?
Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.