Wanatangaza kama formality lakini simesha uzwa siku nyingi hizo na wajanja wamesha nyaka
picha zinaitajika
Sote tunatambua kuwa maisha ni nyumba. Nilipo sikia na kuona NHC wanajenga nyumba za kuuza nikafurahi. Sasa furaha yangu imepotea baada ya kupata tetesi kuwa wanauza 99M VAT EXCLUSIVE!
Nyumba gani hizo miln 40?
Inflation inazidi kuongezeka..cost of living inakuwa juu..40m ni bei ya kiwanja..
Fani yangu ni ujenzi..najenga sana na nawajengea watu nyumba zao..
Nyumba haijengwi tu kwa mabati na matofali.. Kupandisha nyumba tu siyo kazi kubwa sana..complications zipo kwenye finishing
Wacha kudanganya watu. Uongo utakusaidia nini? ulikwenda ukakuta zimekwisha uzwa? sema huna fedha za arbuni.
wewe unaonesha hujawahi kujenga kumbe..
mwenzio leo nimenunua mabati 70 na bati moja nimenunua 13,000=
piga mahesabu hapi
tofali moja sh 800 na nyumba ya vyumba vitatu wastani matofali 1500
piga mahesabu hapo...hata milioni kumi hap hatufiki...
mwenzio najenga as we speak....wait and see