eti ni nani kati ya hawa wafuatao wanaongoza kuharibu noti zetu na kuonekana kuwahi kuchakaa
1. Wauza mkaa
2. Wauza maji
3. Akina mama kuziweka kwenye matiti yao. Ongeza na wengine. Nashut down
deadly wrong you are.
Makonda wanastahili kupewa tuzo ya heshima na BoT kwa kutunza noti vizuri. Nadhani ni pro's wa pili kwa kutunza fedha vizuri baada ya bankers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.