Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Tumezoea kuona ama kusikia noti bandia lakini si sarafu bandia.. Kwa sehemu kubwa sana noti bandia zimedhibitiwa japo ni biashara inayoenda na kurejea kila wakati
Sasa naona hawa wenye hii biashara yao wamepunguza kwenye noti na kuhamia kwenye sarafu..Pengine kutokana na sababu kadhaa
1. Noti banda ni rahisi sana kutambulika hata kwa mtu asiye mzoefu sana lakini sarafu ni ngumu mpaka inapoanza kuchakaa
2. Ufuatuliaji was noti bandia ni mkubwa kuliko sarafu bandia
3. Alama za usalama kwenye noti ni nyingi kuliko kwenye sarafu
4. Mzunguko wa noti sio mkubwa kama wa sarafu ambazo unaweza kuzizungusha mpaka mtaani uswahilini kabisa..
Kuna hawa wauza chenchi ni vema biashara hii ikafuatiliwa kwakuwa inawezekana nyuma ya pazia wanaweza wakawa wanatumika kusambaza sarafu bandia
Kuna hawa wachezesha kamari za kamari za sarafu ambao kwa maramoja unaweza kuwakuta mpaka na sarafu za shilingi milion 3 ama zaidi.. Hawa huwa na nyaraka za bank kuu wanakoenda kuchukua chenchi lakini je haiwezekani wakawa wanazichanganya na za kwao bandia?
Hawa hata uwakute na mzigo mkubwa wa chenchi huwezi kuwachukulia hatua kwakuwa wana vibali na nyaraka toka mamlaka husika.. Lakini je ni nani anahakiki walizonazo ndio kiwango walichopewa bank kuu?
Kuna uwezekano mkubwa huko kwenye kamari za sarafu ndii mlango wa kupitishia sarafu bandia na kuziingiza kwenye mzunguko.... Hili lifanyiwe kazi
Nawakilisha! 2023
Sasa naona hawa wenye hii biashara yao wamepunguza kwenye noti na kuhamia kwenye sarafu..Pengine kutokana na sababu kadhaa
1. Noti banda ni rahisi sana kutambulika hata kwa mtu asiye mzoefu sana lakini sarafu ni ngumu mpaka inapoanza kuchakaa
2. Ufuatuliaji was noti bandia ni mkubwa kuliko sarafu bandia
3. Alama za usalama kwenye noti ni nyingi kuliko kwenye sarafu
4. Mzunguko wa noti sio mkubwa kama wa sarafu ambazo unaweza kuzizungusha mpaka mtaani uswahilini kabisa..
Kuna hawa wauza chenchi ni vema biashara hii ikafuatiliwa kwakuwa inawezekana nyuma ya pazia wanaweza wakawa wanatumika kusambaza sarafu bandia
Kuna hawa wachezesha kamari za kamari za sarafu ambao kwa maramoja unaweza kuwakuta mpaka na sarafu za shilingi milion 3 ama zaidi.. Hawa huwa na nyaraka za bank kuu wanakoenda kuchukua chenchi lakini je haiwezekani wakawa wanazichanganya na za kwao bandia?
Hawa hata uwakute na mzigo mkubwa wa chenchi huwezi kuwachukulia hatua kwakuwa wana vibali na nyaraka toka mamlaka husika.. Lakini je ni nani anahakiki walizonazo ndio kiwango walichopewa bank kuu?
Kuna uwezekano mkubwa huko kwenye kamari za sarafu ndii mlango wa kupitishia sarafu bandia na kuziingiza kwenye mzunguko.... Hili lifanyiwe kazi
Nawakilisha! 2023