Nani anamwelewa Naibu Spika Zungu? Ufafanuzi tafadhali

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,891
35,901
Kwa heshima na taadhima ninalazimika kuuliza:



Ni miye peke yangu nisiyemwelewa huyu ndugu ambaye anafahamika kama mwasisi kindaki ndaki wa tozo?

"Gateway ya internet kuwa nje maana yake nini?" Nani aliipeleka huko? Inarudishwa vipi hiyo nchini?

Au kwa nini anaumia mno makqmpuni ya simu yanapofanya biashara kiasi cha yeye kuona ni heri badala yake serikali ingekuwa ikivuna tozo humo?

Zungu aibua mapya suala la tozo?

"Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Hassan Zungu amesema kuna utamaduni unaojengwa wa kuipiga dongo Serikali kuhusu tozo za miamala ya kieletroniki wakati kuna watu wanachukua fedha nyingi kuliko Serikali."

Kwani kwanini yeye anatamani mno serikali kuvuna hata isipopanda?

Kwa nini yeye hapendekezi wabunge (akiwamo yeye na wote wengine) kulipa kodi stahiki tu?

Mwongozo wenu tafadhali.
 
Marehemu Mtikila aliwahi kuwapa jina la Watanzania wenye asili ya Asia kuwa ni Magabachori. Pengine matendo yake na kauli zake hizi ndiyo yanawatambulishwa kupitia katika jina hilo.

Endapo jamii hii ingekuwa ikiishi kwa kujichanganya huko Uswazi kwenye vipimo vya nusu na robo, endapi tu kama jamii hii ingekuwa ikichanganya damu zao na kuoa ama kuolewa na Waswahili, basi tungekuwa sote tukizungumza lugha moja.

Lakini kwa kuwa kuna machotara wachache mno basi hapi ujue hana "any feel of touch" katika kile kinachogusa maskini wengi wa nchi hii. Yeye anajua tabaka analotoka lina uwezo wa kukidhi mahitaji ya kifedha.
 
Ngumu Sana Kumwelewa Saa Hizi Huyo Anakula Wali Kitoga Nazi Kumi
 
Marehemu Mtikila aliwahi kuwapa jina la Watanzania wenye asili ya Asia kuwa ni Magabachori. Pengine matendo yake na kauli zake hizi ndiyo yanawatambulishwa kupitia katika jina hilo.

Endapo jamii hii ingekuwa ikiishi kwa kujichanganya huko Uswazi kwenye vipimo vya nusu na robo, endapi tu kama jamii hii ingekuwa ikichanganya damu zao na kuoa ama kuolewa na Waswahili, basi tungekuwa sote tukizungumza lugha moja.

Lakini kwa kuwa kuna machotara wachache mno basi hapi ujue hana "any feel of touch" katika kile kinachogusa maskini wengi wa nchi hii. Yeye anajua tabaka analotoka lina uwezo wa kukidhi mahitaji ya kifedha.

Habari hii imfikie kokote aliko. Hatuwakilishi sisi kwa kauli na hata kiuhalisia. Ni heri akanyamaza kwa kuwa hatumwelewi.
 
Back
Top Bottom