Naibu Spika ashauri Serikali kudhibiti makato ya Mabenki na Kampuni za Simu kwa wateja

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,372
8,108
Baada ya Serikali kutangaza kufuta baadhi ya Tozo za miamala ya Kieletroniki, Naibu Spika Mussa Zungu amesema Serikali iangalie namna ya kupunguza makato yanayokatwa na Mabenki na Kampuni za Simu kwasababu yanazidi Tozo zinazochukuliwa na Serikali.

Zungu amesema wananchi wengi hawatazami mapato yanayokatwa na Benki na Kampuni za Simu lakini wanailaumu Serikali inayojenga Vituo vya Afya na Madarasa na hivyo itafutwe namna ya kudhibiti mapato ya taasisi hizo na kupunguza gharama za makato.
 
Baada ya Serikali kutangaza kufuta baadhi ya Tozo za miamala ya Kieletroniki, Naibu Spika Mussa Zungu amesema Serikali iangalie namna ya kupunguza makato yanayokatwa na Mabenki na Kampuni za Simu kwasababu yanazidi Tozo zinazochukuliwa na Serikali.

Zungu amesema wananchi wengi hawatazami mapato yanayokatwa na Benki na Kampuni za Simu lakini wanailaumu Serikali inayojenga Vituo vya Afya na Madarasa na hivyo itafutwe namna ya kudhibiti mapato ya taasisi hizo na kupunguza gharama za makato.
Anther stupid coment from a stupid politician. Mabenki na Mitandao ya simu wameinvest kwenye hizo infrastucture wana haki ya kucharge gharama hizo kupe na mshenzi hapa ni Serikali ambayo hamna ilichowekeza ila inataka pasu kwa pasu tena saa ingine makato ya serikali ni makubwa kuliko ya benki au kampuni ya simu.
 
Sitaki kuamini huyu ni NAIBU SPIKA..

Haya makato yalipanda enzi za mwendazake, wananchi wakalalamika kweli lakini hakuna mwanasiasa alinyanyua kinywa chake kusimama na hawa wananchi.

Leo hii eti na yeye analalamika kwamba mabenki yanapata zaidi ya serikali?😂😂😂
 
Joni magufuli alisema yafuatayo ,nataka Bunge lote liwe la chama kimoja ili tupate maendeleo 🚮🚮🚮yaani watanzania mlichokuwa mnataka ndio hicho tunakatiba iliyopitwa na wakati yaani kuwa mbunge ujue kusoma na kuandika ,Leo inapelekwa miswaada Kwa lugha ya kiingereza ,wenyeviti wa kamati ni form two ,yaani nchi imejaaa uhuni na uwendawazimu wale chawa wanashangilia
 
Joni magufuli alisema yafuatayo ,nataka Bunge lote liwe la chama kimoja ili tupate maendeleo 🚮🚮🚮yaani watanzania mlichokuwa mnataka ndio hicho tunakatiba iliyopitwa na wakati yaani kuwa mbunge ujue kusoma na kuandika ,Leo inapelekwa miswaada Kwa lugha ya kiingereza ,wenyeviti wa kamati ni form two ,yaani nchi imejaaa uhuni na uwendawazimu wale chawa wanashangilia
Unamlaumu Joni au Zungu?

Hebu eleweka bwashee
 
Back
Top Bottom