Nani anamkumbuka mtoto wa Bob Marley, Arusha?

nzalendo

JF-Expert Member
May 26, 2009
10,696
9,881
Kulikuwa na mama mmoja Arusha aliyezaa na Bob Marley.....Mara kwa mara alionekana ofisi za ESAMI .....sijui kama bado yupo chuga au aliondoka mara ya mwisho tulikuwa nae hapo ESAMI katika sikukuu za Christmas mwaka 1983. Kama wafahamu tujuze tafadhali.
 
Kulikuwa na mama mmoja Arusha aliye zaa na Bob Marley.....Mara kwa mara alionekana ofisi za ESAMI .....sijui kama bado yupo chuga au aliondoka mara ya mwisho tulikuwa nae hapo ESAMI katika sikukuu za Christmas mwaka 1983......kama wafahamu tujuze tafadh'ali.
Late Gypsy the madam? Au yupi unamuelezea?

Imekuwaje unaleta story hii bila facts zozote? Au ni vikorombwezo vya kututoa nje ya mstari wa kuipinga DP World?
 
Kulikuwa na mama mmoja Arusha aliye zaa na Bob Marley.....Mara kwa mara alionekana ofisi za ESAMI .....sijui kama bado yupo chuga au aliondoka mara ya mwisho tulikuwa nae hapo ESAMI katika sikukuu za Christmas mwaka 1983......kama wafahamu tujuze tafadh'ali.
Ni kweli alukuwepo na Mwanae yupo USA kwasasa

Alikuwa akiishi barabara ya kuelekea Kijenge kutokea Philips au Impala sio ESAMI

Kijana ni Mtu mzima hasa kwasasa...ametuzidi sana
 
Ni kweli alukuwepo na Mwanae yupo USA kwasasa

Alikuwa akiishi barabara ya kuelekea Kijenge kutokea Philips au Impala sio ESAMI

Kijana ni Mtu mzima hasa kwasasa...ametuzidi sana
ESAMI ndipo nilipomuona kulikuwa na sikukuu ya Christmas 1983....si kwamba aliishi hapo.
 
Back
Top Bottom