stevhinoz
JF-Expert Member
- Jun 15, 2021
- 221
- 486
- Thread starter
- #61
Asante nimeelewa vizuri sana.Kwenye comments huko wameelezea kila kitu.
Mimi si mwandishi mzuri ila ukiweza wakati wa sala sali na zaburi ya 51.
Usisikize maoni ya kejeli toka kwa wasioamini, Mungu anajibu kwa uaminifu sana mimi ni shahidi Amini katika maombi unayo omba na unaweza yaandika pembeni ili usiyasahau.
Muda mzuri wa sala ni 8 au 9 alfajiri na ukiweza kufunga kwa walau masaa 10 au 12 itakua nzuri zaidi.
Unaweza kusali muda mwingine wowote ila inapofika mabye saa 8 au 9 hakikisha unasali na kusema shida yako kubwa inayokusumbua