Kitakua igumbilokama sijakose hawa wanapaitaka maneo ya huko afrika magaribi nimsahau nimsahau kidogo jina la kijiji wanachotoka
Umeona haahhaNa hilo pozi
Na hili kabila linafanya hivyo hivyo wakiwa msituni katika sherehe maalumu ya jando kwa muda wa miezi sita...Hiyo ya unywaji damu ilochanganywa na maziwa mtindi umenikumbusha kipindi nilipata jando nilikunywa sana huo mchanganyiko
Kuoga huko ni uchafu, huko hutakiwi kuoga.Hivi huwa wanaoga hawa?
mkuu jina lako linanipeleka kwetu kulitawaKuoga huko ni uchafu, huko hutakiwi kuoga.
Elo nangu ninnangowo, teh mwana wa Kinahonyo nangu.mkuu jina lako linanipeleka kwetu kulitawa
haya nangu ndo nzee mwene lipanda uve kwachi wakoElo nangu ninnangowo, teh mwana wa Kinahonyo nangu.
haya nangu ndo nzee mwene lipanda uve kwachi wako
Inaonekana hawajui shida wala hawana stress kwa muonekano wao
Kudasalamahaya nangu ndo nzee mwene lipanda uve kwachi wako
Mbona kama wote wanavibamiaKaribu wote wana matumbo makubwa;alafu sijaona hata ke mmoja
Na hili kabila linafanya hivyo hivyo wakiwa msituni katika sherehe maalumu ya jando kwa muda wa miezi sita...
Watakuwa na malnutrition hawa..! Afu mbona ujaweka na ile jinsia pendwa tujionea kitumbua bhana aghaaarrMwonekano wao kwa baadhi ya watu ni kama huu hapa chini
View attachment 874238View attachment 874236View attachment 874237View attachment 874239