chai_nazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 388
- 374
Hapa ndio kuna somo tosha! wanajua lkn hawataki kuelewa, washavishwa ile roho ya chuki, wachache wanaokuja kugundua ndio wanakuja kuukubali na kuhamia kabisa!!!Mwenyezi Mungu akusamehe kwa kuwa kwako Jahir, ila vuta taaswira ya Matukio yasiyo ya Amani Duniani kaanza kuyafanya nani na kwa jamii gani ndipo uongezee Ujahir wako huu. Over.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app