Canivor
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 108
- 102
Hahaha hawajielewi hao raia wenzetu pumzika mzee. Hebu nikumbushe ile ibada iliyofaradhishwa kabla yetu tumebakiwa na siku ngapi tuianze mzee?Serikali haitoiweza struggle ya mahakama za kadhi maana eventually zitakuwepo tu kwa sababu hoja za waislamu zina mashiko, serikali inachoweza kukifanya ni kuzicontain tu kupitia BAKWATA, otherwise hii demand itakuwepo siku zote na hii steam ya mahitaji ya hizi mahakama isipopatiwa safe escape itasumbua!!
Mahakama ya Kadhi haiwezekani ikawa sahihi kuwepo Zanzibar lakini ikawa Haramu Bara wakati nchi ni ileile moja!. Ni contradiction hiyo!!