Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Waungwana salaam!
Kama mjuavyo kuwa nchini Tanzania bado mahakama ya kadhi haijaruhusiwa. Mfumo wetu uliopo wa kimahakama hauaccomodate mahakama ya kadhi.
Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo habari kwamba mkoani Singida kuna mahakama ya kadhi kama inavyoonekana hapa pichani. Mahakama hii si jengo tu bali inafanya kazi. Cha kustaajabisha zaidi inasemekana ujenzi wake umedhaminiwa na mfanyabiashara mmoja maarufu na mkubwa sana nchini.
Kama hivi ndivyo nani ameruhusu swala hili? Taasisi hii ambayo haitambuliki inawezaje kufanya kazi katika mfumo wa sasa wa kimahakama pasipo kuwekewa utaratibu maalumu.
Nashauri viongozi Singida na taifa kwa ujumla kushughulikia huu mtanziko haraka iwezekanavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mjuavyo kuwa nchini Tanzania bado mahakama ya kadhi haijaruhusiwa. Mfumo wetu uliopo wa kimahakama hauaccomodate mahakama ya kadhi.
Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo habari kwamba mkoani Singida kuna mahakama ya kadhi kama inavyoonekana hapa pichani. Mahakama hii si jengo tu bali inafanya kazi. Cha kustaajabisha zaidi inasemekana ujenzi wake umedhaminiwa na mfanyabiashara mmoja maarufu na mkubwa sana nchini.
Kama hivi ndivyo nani ameruhusu swala hili? Taasisi hii ambayo haitambuliki inawezaje kufanya kazi katika mfumo wa sasa wa kimahakama pasipo kuwekewa utaratibu maalumu.
Nashauri viongozi Singida na taifa kwa ujumla kushughulikia huu mtanziko haraka iwezekanavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app