- Thread starter
- #121
AhaMchakato upi TUMAINEL, Si wameshasema litachapishwa Jina moja tu???
AhaMchakato upi TUMAINEL, Si wameshasema litachapishwa Jina moja tu???
Kwa mujibu wa taratibu wa CCM, Samia ndie mgombea pekee wa urais wa JMT uchaguzi wa 2025, na precedence ya chaguzi za Tanzania, mgombea urais wa CCM ndiye rais.Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.
Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
😭😭😭😭😭 God we will not sleep well till we see your hand again. Sleep well Father.🙏🙏🙏
Hatuto lala Hata Mungu atakapo jibu maombi yetu wa Tanzania. Magufuli ameondoka na pengo lake halitoweza zibika milele ila hakuondoka kama kibudu. Hivyo is up to you na wazo yako. Kindly usituvuruge na usinivuruge hili Taifa lina mambo mazito sana kutekeleza na hatupaswi kuongea juu ya ukabila, udini au jinsia ktk ongoza hili Taifa ni mtu mjinga ndio anaweza ongea mambo hayo kama Taifa tunahitaji mtu atakaye weza tuvusha hapa pasipo kujali dini,kabila au jinsia yake so elewa swali sio siasa hii?Kwa mujibu wa taratibu wa CCM, Samia ndie mgombea pekee wa urais wa JMT uchaguzi wa 2025, na precedence ya chaguzi za Tanzania, mgombea urais wa CCM ndiye rais.
Hivyo wale wote wanasema Samia ni rais 2025 they are very right unless sauti hii ni kweli Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
P
Hili ni jepesi sana kueleweka hata kwa mtoto wa darasa la kwanza, lakini sijui kwa nini wengi hawataki au wanajilazimisha kutokulielewa! Tuko awamu ya 5 term ya 2 ambayo Rais aliyechaguliwa alifariki na hivyo Makamu wake aka-take over. So, kama akigombea 2025, hiyo ndo itakuwa awamu yake ya kwanza halafu 2030 atagombea tena awamu ya pili (kama wajumbe wakiridhia lakini).Awamu ya kwanza ya nini? Inahesabika hivyo na nani? Hii ni ngwe ya pili ya awamu ya tano ambayo mchakato ulifanyika 2015 makada wakachujwa akapatikana JPM na midway (kama ulivyoita wewe) kwa maana ya 2020 mchakato haukufanyika. Unless otherwise ccm wanataka machafuko hiyo 2025 kwa kuwalazimishia wananchi mtawala wasiyemtaka
Well said Sir.Hatuto lala Hata Mungu atakapo jibu maombi yetu wa Tanzania. Magufuli ameondoka na pengo lake halitoweza zibika milele ila hakuondoka kama kibudu. Hivyo is up to you na wazo yako. Kindly usituvuruge na usinivuruge hili Taifa lina mambo mazito sana kutekeleza na hatupaswi kuongea juu ya ukabila, udini au jinsia ktk ongoza hili Taifa ni mtu mjinga ndio anaweza ongea mambo hayo kama Taifa tunahitaji mtu atakaye weza tuvusha hapa pasipo kujali dini,kabila au jinsia yake so elewa swali sio siasa hii?
Napia nakuhusia uwe na hofu na Mungu sidhani kama kila kitu kina hitaji comment after all either nikwa nia njema au mbaya unaweza ukawa unaharibu.
Amen😭😭😭😭😭 God we will not sleep well till we see your hand again. Sleep well Father.🙏🙏🙏
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.
Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Hao unaowasema kama mfano hawajawahi kuwa Marais,Samia ni Rais tayari.Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.
Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Natamani iwe hivyo hallo maana hiki ni kichefuchefu kabisa tuliyenayeHii michezo michafu ndani ya ccm huenda ikasaidia tupate mabadiliko ya kweli.
Who tord you my fellow chawa je hamukumbuki Maneno ya Hayati Baba wa Taifa ktk moja ya secret meeting zidini kuupiga mwingi.Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.
Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.