Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Sijapita kwenye uzi wa Scoosers kwa muda mrefu ila kuna jamaa anaitwa Mosdef,jamaa anajua sanaNaona uzi umetawaliwa na wanaofuatilia zaidi soka la bongo kuliko la ulaya. Salute kweny wote.
Captain Marvelous Ladder 49 Mmetuwakilisha vyema katika Special Thread ya Liverpool FC.