Nani amelitendea haki Jukwaa la Michezo kwa mwaka 2021?

Shadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady

Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo

ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo

Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
Hahaha
 
Daaaa idadi ni ndefu Sana Aisee ila wadau wanatuangushia list hapa
Shukrani Sana wanafamilia japo Mimi ni Mzee wa kuchungulia tu ila unazi wangu Kwa Simba sports club ndio umenifanya nikuone huu Uzi maana akuaga Sina mood ya kuzama humu sports Arena!
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
XII Tz -mkuu endelea kuwasha moto kwenye jukwaa letu ila wimbo wa rose Muhando ni muhimu sana kwa timu yetu ya simba msimu huu

Che mittoga - Jukwaa linakutegemea sana kwa michango yako na Unazi wako uliotukuka ila Ila nyimbo ya Rose Muhando lazima ihusike sana

Extrovert -Huyu mkuu yaani haoni shida kutoa like kwa kila comment anayosoma ktk jukwaa hili, Mungu aendelee kumuweka duniani

Familia ni kubwa sana, naendelea kutoa shout out kwa kadri ya uwezo wangu
 
XII Tz -mkuu endelea kuwasha moto kwenye jukwaa letu ila wimbo wa rose Muhando ni muhimu sana kwa timu yetu ya simba msimu huu

Che mittoga - Jukwaa linakutegemea sana kwa michango yako na Unazi wako uliotukuka ila Ila nyimbo ya Rose Muhando lazima ihusike sana

Extrovert -Huyu mkuu yaani haoni shida kutoa like kwa kila comment anayosoma ktk jukwaa hili, Mungu aendelee kumuweka duniani

Familia ni kubwa sana, naendelea kutoa shout out kwa kadri ya uwezo wangu
Wabeja sana mukulu!
 
Gide MK -Jukwaa linafurahia sana michango yako mkuu na hongera sana kwa timu yako ya wananchi kwa kuendelea kucheza mpira mzuri na kuachana na nyimbo ya Rose Muhando ili ushindi upatikane
 
Ahmad Abdurahman -Jukwaa linafurahia uwepo wako humu ndani na tukiachana na unazi wako kwa Dar es Salaam Young Africans ila ni mtu unayependa kuongea ukweli wa jambo bila kumeza maneno hasa kwenye matukio ya kimpira, tumeshakuwa familia moja
 
Shukran Mkuu panapo majaliwa next year jukwaa letu litazidi kuwa moto.
Shadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady

Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo

ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo

Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom