Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Nilikuwa nazungumza na mzalendo mmoja mwishoni mwa juma na akaniuliza maswali fulani yakitu ambacho labda hatukukiangalia kilipotokea.
a. Rais akitangazwa kuwa Rais anaapishwa na Jaji Mkuu - Mkuu wa Mhimili
b. Jaji Mkuu akiteuliwa anaapishwa na Rais - Mkuu wa Mhimili
c. Spika akitangazwa kuwa Spika anaapishwa na Katibu wa Bunge - mtumishi wa Umma (Civil servant).
Katika mazungumzo yangu na mkulu huyo mmoja jingine likajitokeza:
a) Wabunge wanakuwa Wabunge wakati gani? - Wanapotangazwa na RO kuwa wameshinda na hasa inaposemwa "Namtangaza X,Y kuwa ni Mbunge halali wa Jimbo la M" au
b) Anapokuja Bungeni na kula kiapo cha Ubunge?
Kama jawabu ni (a) kwanini Mbunge huyo asiapishwa hapo hapo kuwa Mbunge na anasubiri kuja Bungeni kuapishwa wakati tayari ametangazwa kuwa ni Mbunge?
Kama jawabu ni (b) kwanini RO anamtangaza mtu kuwa Mbunge badala ya kumtangaza tu kuwa ameshinda kura za Ubunge na anakuwa "Mbunge Mteule" hadi pale atakapoapishwa?
Tulipoliangalia hilo tukajikuta tunaingia kwenye tatizo jingine:
Wabunge "wateule" wanapopiga kura kumchagua Spika wanapata wapi hizo nguvu hizo wakati hawajaapa kuilinda na kuitetea Katiba? Aidha ni wabunge au siyo kama ni wabunge kwanini wakishamchagua Spika huyo Spika ndio anawaapisha wao kuwa wabunge?
Well.. I'm confused enough.. and talk about "no need for a new constitution"...
a. Rais akitangazwa kuwa Rais anaapishwa na Jaji Mkuu - Mkuu wa Mhimili
b. Jaji Mkuu akiteuliwa anaapishwa na Rais - Mkuu wa Mhimili
c. Spika akitangazwa kuwa Spika anaapishwa na Katibu wa Bunge - mtumishi wa Umma (Civil servant).
Katika mazungumzo yangu na mkulu huyo mmoja jingine likajitokeza:
a) Wabunge wanakuwa Wabunge wakati gani? - Wanapotangazwa na RO kuwa wameshinda na hasa inaposemwa "Namtangaza X,Y kuwa ni Mbunge halali wa Jimbo la M" au
b) Anapokuja Bungeni na kula kiapo cha Ubunge?
Kama jawabu ni (a) kwanini Mbunge huyo asiapishwa hapo hapo kuwa Mbunge na anasubiri kuja Bungeni kuapishwa wakati tayari ametangazwa kuwa ni Mbunge?
Kama jawabu ni (b) kwanini RO anamtangaza mtu kuwa Mbunge badala ya kumtangaza tu kuwa ameshinda kura za Ubunge na anakuwa "Mbunge Mteule" hadi pale atakapoapishwa?
Tulipoliangalia hilo tukajikuta tunaingia kwenye tatizo jingine:
Wabunge "wateule" wanapopiga kura kumchagua Spika wanapata wapi hizo nguvu hizo wakati hawajaapa kuilinda na kuitetea Katiba? Aidha ni wabunge au siyo kama ni wabunge kwanini wakishamchagua Spika huyo Spika ndio anawaapisha wao kuwa wabunge?
Well.. I'm confused enough.. and talk about "no need for a new constitution"...