Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Tukikubaliana na anayosema Companero.. yawezekana kumbe Spika Sitta alikuwa anajipa nguvu ambazo hana (nadhani niliwahi kuliandika hili huko nyuma) kwa kujaribu kujiweka at par na Jaji Mkuu, na Rais? kwa kujiona yeye ni kiongozi wa Mhimili wa Serikali? Yawezekana sasa Spika Makinda atarudisha kwenye kuwa mratibu wa vikao na siyo mkuu wa mhimili na hivyo kuwa chini ya Rais. Kwa sababu ni kweli kuna matatizo ya mtiririko wa Mantiki:
a. Kuna mhimili mitatu ya Serikali - Utendaji (Rais), Mahakama (Jaji Mkuu) na Bunge (???)
b. Bunge lina sehemu mbili ambayo moja ni Rais na pili ni Wabunge.
c. Kama (b) ni kweli Spika hawezi kuwa Mkuu wa Mhimili wa Bunge kwani atakuwa ni Mkuu wa Rais (ambaye ni sehemu ya Bunge) vile vile kwani Rais ni Mkuu wa Mhimili mwingine na tunaambiwa mihimili hii haiingiliani (iko huru).
d. Kama a-c yote ni kweli kwa kiwango chake ina maana kuwa Bunge liko chini ya Rais na hapa ndiyo sababu kuna watu waliona kuwa kwa wabunge wa Chadema kutoka Bungeni wamemdhalilisha Mkuu wa Bunge ambaye ni Rais ...
well.. me so confused!
a. Kuna mhimili mitatu ya Serikali - Utendaji (Rais), Mahakama (Jaji Mkuu) na Bunge (???)
b. Bunge lina sehemu mbili ambayo moja ni Rais na pili ni Wabunge.
c. Kama (b) ni kweli Spika hawezi kuwa Mkuu wa Mhimili wa Bunge kwani atakuwa ni Mkuu wa Rais (ambaye ni sehemu ya Bunge) vile vile kwani Rais ni Mkuu wa Mhimili mwingine na tunaambiwa mihimili hii haiingiliani (iko huru).
d. Kama a-c yote ni kweli kwa kiwango chake ina maana kuwa Bunge liko chini ya Rais na hapa ndiyo sababu kuna watu waliona kuwa kwa wabunge wa Chadema kutoka Bungeni wamemdhalilisha Mkuu wa Bunge ambaye ni Rais ...
well.. me so confused!