Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Sipingi Mungu ambaye hayupo.
Kwahiyo unapinga mungu ambaye yupo???!!, thats nonsense.
Katika huo mfano wako, Kumbuka pia kuna madaktari vilaza wasiojua taaluma yao na kujifanya wanajua huku upeo wa ufahamu wao umefikia mwisho.
Kumbuka sio kila kitu mtu anaweza kujua kwa akili yake binafsi bila kufundishwa na ndio maana kuna taaluma mbalimbali ikiwemo taaluma ya kumjua Mungu.
Jifunze kumjua mungu kwa watu wanaomjua na pia muombe huyo mungu kwa unyenyekevu ajidhihirishe kwako weka kiburi na majivuno yako kando kwani Mungu ni the Most supreme being, asiyehitaji chochote kutoka kwa yeyote na ni yeye aliyekupa hiyo akili kiduchu unayojivunia kumkufurisha.