Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Mimi mwenyewe ni muunguja kwahiyo ni ushahidi tosha...au wewe una ushahidi kuwa hawajawahi kusema hivyo waunguja wote duniani?
Ulishakaa na waunguja wote?
Ulishasikiliza kila neno wasemalo?
Unaweza kuwa muunguja jina, ila sidhani kama kuna waunguja wakana mungu aisee.

Tunaishi nao, hawaongei kiswahili cha sampuli, wala hakuna lahaja ya kiswahili isemayo mwenye usafi, sasa usiulize maswali yasiyo na faida unazidi kupoteza muda, unachotakiwa ufanye hapa utupe ushahidi.
 
Sasa twende sambamba

Umedai kua hakuna uthibitisho ambao mimi nimeuweka, na kwasababu huwezi kusema kitu flani hakipo bila uthibitisho

Thibitisha hakuna uthibitisho niliouweka hapa kuonesha mungu hayupo ili kuyafanya madai yako yawe kweli
Unapoteza kumbukumbu sana. Kauli yako ya kusema "Kisichopo hakithibitishiki" ushawahi kuumwa ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ?

Naona huelewi kabisa.
 
Tuache siasa sasa
sidhani kama kuna waunguja wakana mungu aisee.
thibitisha hili
Tunaishi nao, hawaongei kiswahili cha sampuli,
thibitisha hili..umekaa nao wote? Umeshasikia kila neno walilowahi kulisema tangu wazaliwe?
wala hakuna lahaja ya kiswahili isemayo mwenye usafi,
Twende kitaalamu zaidi yaani nielezee kwa kuonesha kivumishi na kiwakilishi, kisarufi wapi hapo nimekosea
Na uoneshe tofauti ya mwenye upendo na wenye usafi kisarufi
 
Tuache siasa sasathibitisha hilithibitisha hili..umekaa nao wote? Umeshasikia kila neno walilowahi kulisema tangu wazaliwe?
Twende kitaalamu zaidi yaani nielezee kwa kuonesha kivumishi na kiwakilishi, kisarufi wapi hapo nimekosea
Na uoneshe tofauti ya mwenye upendo na wenye usafi kisarufi
Kati ya sarufi ya Kiswahili na Kiswahili kipi kilianza kuwepo ? Naposema mswahili haongei hivyo unatakiwa urejee kwa waswahili, ndio maana nilikutaka wewe ushahidi wa hili.
 
NB: Sipendagi kukata kata thread huwa nachoka mtu kureply marefu
Post ya 713 inasubiri majibu Jojina
 
Kati ya sarufi ya Kiswahili na Kiswahili kipi kilianza kuwepo ? Naposema mswahili haongei hivyo unatakiwa urejee kwa waswahili, ndio maana nilikutaka wewe ushahidi wa hili.
Sarufi ya kiswahili ndiyo kiswahili chenyewe and yes kilikuwepo before waswahili

Halafu athuman muuza karafuu sio mtu wa kurejea kwenye mijadala ya kisomi acha utoto
 
Sarufi ya kiswahili ndiyo kiswahili chenyewe and yes kilikuwepo before waswahili
Nikajua unajua kumbe hujui, nimekuuliza hivi kati ya Sarufi ya Kiswahili na Kiswahili kipi kimetangulia unajibu Sarufi. Acha utoto. Kiswahili sanifu tu kimepitishwa karne ya 20, niambie sarufi ilianza kuandikwa lini na Waswahili wapo tangu limi, kama swali ukiwa hujaliewa bora uulize.
Halafu athuman muuza karafuu sio mtu wa kurejea kwenye mijadala ya kisomi acha utoto
Huyo ndio mswahili sasa, ndio maana husemwa hivi "Kiswahili kina wenyewe".
 
Halafu umenichanganya na id nyingine...mimi sio mkana mungu yakhe!
Umeingia humu kwa kile ulichokuwa unakiandika, kwahiyo ukitaka utoke humu batilisja yale ya nyuma yote.
 
Unapoteza kumbukumbu sana. Kauli yako ya kusema "Kisichopo hakithibitishiki" ushawahi kuumwa ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ?

Naona huelewi kabisa.
Nikuambie mara ngapi kua kauli hiyo nilikua naitumia zamani?

Mbona kauli yangu ya saizi nayosema uthibitisho ninao huisemi?

Mimi hapa nilitakiwa hata nisihangaike kwasababu ulishakiri kua umethibitishiwa lakini sikuoni hapa ukiutangazia umma kua scars alishanithibitishia hilo swali

Pia wewe umesema uthibitisho huo humu haupo, nataka unithibitishie madai yako
 
Sababu sisi huwa tunajua tunachokiandika, soma post #642.

Na wewe tuwekee namba ya post uliyo thinitisha ya kuwa Mola hayupo, ukiweka hiyo namba ya post, naomba kwa "mods" huu uzi waufute au waifute hii "Id"yangu.
Jibu lilijificha sana umeaema hujui

Sasa hiyo miungu yote imenadiwa katika dini zao kua ni waumbaji wa ulimwengu, je unakubaliana na hoja hiyo?
 
Nikajua unajua kumbe hujui, nimekuuliza hivi kati ya Sarufi ya Kiswahili na Kiswahili kipi kimetangulia unajibu Sarufi. Acha utoto.
Wapi nimesema sarufi imeanza?
Kiswahili sanifu tu kimepitishwa karne ya 20,
kabla ya sarufi kuanza kuandikwa au kutambulika kimaandishi ilikuwepo au haikuwepo???Au waliivumbua na kuitunga hiyo karneya 20??
niambie sarufi ilianza kuandikwa lini na Waswahili wapo tangu limi, kama swali ukiwa hujaliewa bora uulize.
Haya, hawa waswahili unaotaka nikawaulize sasaivi walikuwepo hiyo karne ya 20 kipindi sarufi inaandikwa?

Huyo ndio mswahili sasa, ndio maana husemwa hivi "Kiswahili kina wenyewe".
ukiwa serious nistue
 
Jibu lilijificha sana umeaema hujui

Sasa hiyo miungu yote imenadiwa katika dini zao kua ni waumbaji wa ulimwengu, je unakubaliana na hoja hiyo?
Jibu lilikuwa wazi sana tatizo unaruka ruka sana, nakurukia ubishani na kupoteza muda.

Tuwekee namba ya post uliyo thibitisha kutokuwepo kwa Mola.
 
Nikuambie mara ngapi kua kauli hiyo nilikua naitumia zamani?

Mbona kauli yangu ya saizi nayosema uthibitisho ninao huisemi?

Mimi hapa nilitakiwa hata nisihangaike kwasababu ulishakiri kua umethibitishiwa lakini sikuoni hapa ukiutangazia umma kua scars alishanithibitishia hilo swali

Pia wewe umesema uthibitisho huo humu haupo, nataka unithibitishie madai yako
Huna kauli mpya kijana. Kwahiyo unakubali kwamba hukuwahi kuthibitisja hilo, na leo umepata maarifa mapya ambayo mpaka sasa hivi hujayaweka. Hatulei ujinga sisi.
 
Jibu lilikuwa wazi sana tatizo unaruka ruka sana, nakurukia ubishani na kupoteza muda.

Tuwekee namba ya post uliyo thibitisha kutokuwepo kwa Mola.
Nishakuwekea umeiona?

Halafu swali langu hili hujalijibu

Sasa hiyo miungu yote imenadiwa katika dini zao kua ni waumbaji wa ulimwengu, je unakubaliana na hoja hiyo?
 
Huna kauli mpya kijana. Kwahiyo unakubali kwamba hukuwahi kuthibitisja hilo, na leo umepata maarifa mapya ambayo mpaka sasa hivi hujayaweka. Hatulei ujinga sisi.
Sijayaweka?, we umejuaje hayapo?
 
Mungu yeye hakuumbwa,alikuwepo,yupo,ataendelea kuwepo.Kwa kifupi yeye hana mwanzo wala mwisho.
 
Back
Top Bottom