Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,188
- 123,365
Kwasababu gani?Hawezi kuwa mungu.
Kwasababu gani?Hawezi kuwa mungu.
Rejea utaona, usiwe mvivu, fanya kuitafuta kama mimi nilivyo itafuta quote yako kwangu ambayo niliipuza ila nikaipata na kuijibu. Komaa.Umelijibu vipi?
Ndo na Mimi nikasema kila mtu/ kundi la watu/jamii fulani lina sababu zake maalum za kumuita mungu huyo wamuitaye mungu.Hicho ndio kitu nilichotaka ueleze ulipoweka list ya majina nakusema ni miungu.
UngujaUnajua kama kuna Kiswahili fasaha yaani sanifu kilichokubaliwa na wataalamu wa Kiswahili kitumike kama marajeo ? Unajua ni Kiswahili cha wapi ?
Hii ishu ya ufasaha wa lugha hapa sio sekata yake, hii ishu ilitakiwa ijadilowe jukwaa la lugha huko.Unajua kama kuna Kiswahili fasaha yaani sanifu kilichokubaliwa na wataalamu wa Kiswahili kitumike kama marajeo ? Unajua ni Kiswahili cha wapi ?
Nakufundisha sasa, maama ziko sahihi ila kuna upenyo wameacha kuuziba, tamko ibada ni tamko lenye asili ya kiarabu, lenye kufata mtiririko wa ibada, kuabudu, na huwa lina maana ya sala na sala kilugha ni "Dua" yaani kuomba. Asili huwa inakidhi haja na kutoa maana sahihi kuliko wale wanao tohoa kwani hukengeusha baadhi ya maana.Mwalimu,sidhani kama kuabudu ni kuomba kwa kufata utaratibubwa kiimani labda kama hiyo ni maana yako personalView attachment 1461955kwa maana hizo,mimi humuabudu messi
Anauliza kuhusu mswahili wakati hata wewe unaweza kua mswahili. Hivi nfivyo anavyopenda yani akutoe kwenye mlolongo wa maswali magumu ambayo umemuulizaNdiyo
Safi kabisa, sasa waulize waunguja je kuna sentensi isomekayo "mwenye usafi" ,yaani mswahili anae ongea au ukamkuta anasema "mwenye usafi".Unguja
Hatolewi mtu kwenye mlolongo, nachunga adabuza mjadala, subiri uone.Anauliza kuhusu mswahili wakati hata wewe unaweza kua mswahili. Hivi nfivyo anavyopenda yani akutoe kwenye mlolongo wa maswali magumu ambayo umemuuliza
Unaweza kunipa ushahidi wa hilo ?Ndiyo
Nimetafuta sijaona, so eidha uweke kumbukumbu namba ya hiyo post au lah ujibu tenaTafuta majibu niliyokujibu baada ya ku quote hizo nukta mbili juu kabla ya list ya majina ya hao miungu.
Kwani mimi ni mswahili au muarabu?? Hapa tunajadiliana kwa kiswahili au kiarabu?Nakufundisha sasa, maama ziko sahihi ila kuna upenyo wameacha kuuziba, tamko ibada ni tamko lenye asili ya kiarabu, lenye kufata mtiririko wa ibada, kuabudu, na huwa lina maana ya sala na sala kilugha ni "Dua" yaani kuomba. Asili huwa inakidhi haja na kutoa maana sahihi kuliko wale wanao tohoa kwani hukengeusha baadhi ya maana.
Hao wameweka maana ya kusujudu wakaibabatiza kwenye ibada, na kama ni msomaji wa kamusi za Kiswahili hasa katika maneno ya kigeni huwa wanakengeusha sana maana za asili.
Hujui lolote katika adabu za mijadala, lugha uhukumu, ndio maana hata mkubwa wenu miongoni mwa wa kubwa wa falsafa ya kale ya magharibi, Aristoto alijishughulisha na lugha sana na kujenga hoja kwa lugha, hasa "Kiima/Subject/Mubtadaa" na "Kiarifu/Predicate/Khabari" rejes zile "Ten Categories/Ashara Maaqulaat" uone alivyo mili katika lugha. Nyinyi vifaranga wa leo hamuoni umuhimu wa lugha katika mijadala ndio maana mnakosea kosea sana.Hii ishu ya ufasaha wa lugha hapa sio sekata yake, hii ishu ilitakiwa ijadilowe jukwaa la lugha huko.
Hapa tunataka tujue katika hiyo list niliyokupa unawajua hao miungu?
Mimi mwenyewe muungujaSafi kabisa, sasa waulize waunguja je kuna sentensi isomekayo "mwenye usafi" ,yaani mswahili anae ongea au ukamkuta anasema "mwenye usafi".
Pole pole,mzoee tu kaka. tutafikaAnauliza kuhusu mswahili wakati hata wewe unaweza kua mswahili. Hivi nfivyo anavyopenda yani akutoe kwenye mlolongo wa maswali magumu ambayo umemuuliza
Sasa twende sambambaHatolewi mtu kwenye mlolongo, nachunga adabuza mjadala, subiri uone.
Mimi mwenyewe ni muunguja kwahiyo ni ushahidi tosha...au wewe una ushahidi kuwa hawajawahi kusema hivyo waunguja wote duniani?Unaweza kunipa ushahidi wa hilo ?
Sababu sisi huwa tunajua tunachokiandika, soma post #642.Nimetafuta sijaona, so eidha uweke kumbukumbu namba ya hiyo post au lah ujibu tena
Mungu yupi anamuona?Muogope Mungu, acha kujifanya hujui jibu la swali hii, Mungu anakuona.