Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Lina maana gani
Ibada kilugha ni maombi,na kuabudu ni kuomba kwa kufata utaratibu wa kiimani husika na maombi hayo yanafungamana na imani na kutarajia kupewa kile unachokiomba, sio uombe peni, sababu hili hata mwanadu mwenzako ukimuomba anakupa, ushawahi kumuomba Messi uhai akakupa au rizki akakupa ? Sasa acheni utoto.
 
Kwani nani amesema msela wako ni mungu, mbona unajihami mzee ?

Thibitisha hilo, isiwe kisa ni jina geni kwako ukajiamulia tu kupayuka. Huna kipimo cha kujua lipi baya hapo na lipi zuri.

Rekebisha kwanza sentensi hii, hakuna kiswahili cha sampuli hii. Unasema "mwenye usafi" hiki nini kijana ?
Mwenye usafi = msafi
Mwenye upendo = anapenda
 
Kwanza sio kila dini inaamini Mungu wengi wanaamini miungu mingi.

Nithibitishe kwamba hiyo yote ni miungu ili ndio niweze kuchagua.
Uthibitisho uko hapo hapo, uthibitisho utaupata baada ya kuona jina la mungu ambaye wewe unamuabudu ndio utagundua kua hata hiyo mingine iliyobaki ni kundi moja na wako

Kama wewe unasema hiyo sio miungu basi tuthibitishie hapa kwamba hiyo sio miungu na utuwekee yako ambayo wewe uaniamini

Chagua wako hiyo mingine iache watakuja wenye nayo kuichagua na kuitolea maana
 
Nimeshakujibu hilo swali kwa quote nyingine ya aya zako mbili za juu, bila kujumuisha hiyo list.

Ongeza umakini kijana, au husomi naxhokiandika nini, nimeshakujibu hili swali kwamba wengi siwajui humo.
Umelijibu vipi?
 
Ibada kilugha ni maombi,na kuabudu ni kuomba kwa kufata utaratibu wa kiimani husika na maombi hayo yanafungamana na imani na kutarajia kupewa kile unachokiomba, sio uombe peni, sababu hili hata mwanadu mwenzako ukimuomba anakupa, ushawahi kumuomba Messi uhai akakupa au rizki akakupa ? Sasa acheni utoto.
Mwalimu,sidhani kama kuabudu ni kuomba kwa kufata utaratibubwa kiimani labda kama hiyo ni maana yako personal
IMG_20200529_002517_510.jpeg
kwa maana hizo,mimi humuabudu messi
 
Ushawahi kumsikia mswahili akiongea hivi ulivyo andika ?




Mwenemye upendo hili halina shida, sababu tumewasikia na tunawasikia waswahili wakisema hivi kila siku.
Unahakika gani kama uliyemkoti siyo mswahili?
 
Unanirudisha nyuma kijana, ambako tukirudi nitazidi kupoteza muda zaidi, nilifunika kombe mwanaharamu apite, yaani kwa lugha nyingine nilijifanya mjinga ili ujibu hoja yangu, lakini kwa ulivyo mjinga ukadai nimekiri wakati unajua kabisa Jurjani/Zurri siwezi kukiri ujinga huo.

Naona umeishiwa cha kuandika maana hata hoja huna.
Hiyo habari ya kufunika kombe inafanya kazi kwa opponent uliyefinga naye utani

Cha msingi watu wanatakiwa wajue kua kauli hiyo uliitoa sasa hizi ngonjera za vikombe si mahali pake hapa
 
Uthibitisho uko hapo hapo, uthibitisho utaupata baada ya kuona jina la mungu ambaye wewe unamuabudu ndio utagundua kua hata hiyo mingine iliyobaki ni kundi moja na wako

Kama wewe unasema hiyo sio miungu basi tuthibitishie hapa kwamba hiyo sio miungu na utuwekee yako ambayo wewe uaniamini

Chagua wako hiyo mingine iache watakuja wenye nayo kuichagua na kuitolea maana
Unaweza kuweka jina la kiume katika list ya majina ya kike ila haifanyi kuwa hilo jina la kiume kuwa la kike au hayo majina ya kike kuwa ya kiume, umeweka list ya majina na kusema yote ni miungu hivyo nachotaka mie uthibitishe kuwa hiyo list ni miungu.
 
Back
Top Bottom