Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Lugha sio jua kuwa halibadiliki,lugha hukua...unahisi akifufuliwa babu wa miaka ya 1800 atatulewa kwa ufasaha sasaivi?
Katika ukuaji wake muundo haubadiliki kijana.
 
Ndo na Mimi nikasema kila mtu/ kundi la watu/jamii fulani lina sababu zake maalum za kumuita mungu huyo wamuitaye mungu.
Wewe ungeniambia labda specifically mungu yupi unataka nikuambie kwanini huitwa mungu
Mathalani nimeshakuambia kwanini messi ni mungu

Nadhani unataka definition ya 'mungu' ifit kwa mungu unayemuamini wewe..ndomaana nkasema mtaje labda tutatoa definition yake usiogope
Kumbe hatujaelewana nilishasema kuwa hili neno Mungu ni neno la kiswahili na lina maana yake, sasa ikiwa kila mtu awe anaamua neno fulani kwa tafsiri zake mwenyewe basi tusingekuwa tunaongea lugha na kuelewana, maana utamwambia mtu naomba uniletee kiti ye anakuletea meza ukiomba kisu unapewa jiwe.
 
Nishakuwekea umeiona?

Halafu swali langu hili hujalijibu

Sasa hiyo miungu yote imenadiwa katika dini zao kua ni waumbaji wa ulimwengu, je unakubaliana na hoja hiyo?
Weka namba ya post, nacheka sana halafu unajinadi kwamba umepata maarifa mapya,ndiyo maama nasema upo hapa kupoteza muda.

Sijaona namba ya post nachojua mimi bado unaishi kwenue kauli yako ya "kisichopo hakithibitishiki". Unacheza mdumange kijana.
 
Kumbe hatujaelewana nilishasema kuwa hili neno Mungu ni neno la kiswahili na lina maana yake, sasa ikiwa kila mtu awe anaamua neno fulani kwa tafsiri zake mwenyewe basi tusingekuwa tunaongea lugha na kuelewana, maana utamwambia mtu naomba uniletee kiti ye anakuletea meza ukiomba kisu unapewa jiwe.
Ni sawa na neno kufulia..unaweza ukaniambia kufulia ni nini na ni kiasi gani cha hela mtu akiwa nacho ndo tuseme amefulia?
Mwingine akiwa na buku ndo amefulia mwngine amefulia ila ana million mia benki

Kuna vitu vingine subjective mzee
Wewe unaweza ukamuambia mhadzabe nipeleke kwa mungu akakupeleka kwenye kichuguu.

Kuavoid misconfusion,,wewe unataka definition ya mungu yupi?
 
Katika ukuaji wake muundo haubadiliki kijana.
Nani kakuambia?Muundo una vitu vingi.
Example shada katka muundo

Maneno mengi ya Kiswahili, hasa yale yenye asili ya Kibantu hutia mkazo katika silabi ya pili kutoka mwisho.

Kwa mfano:ma'ma, sandu'ku, kita'bu, tulikoto'ka, buruda'ni, baraba'ra (njia)

Baadhi ya maneno yenye asili ya kigeni,mapya huwa na shada katika silabi nyingine.

Kwa mfano:bara'bara (sawa sawa), mukhta'sari, intelije'nsia
Hivyo muundo wa shada hubadilika ,lugha inapozidi kukua na kuongeza misamiati.

Tukirudi kwenye point, unaweza ukaniambia kosa la kimuundo kwenye sentensi "mwenye usafi?"
Uniambie utofauti wake kimuundo na "mwenye upendo"
 
Tukirudi kwenye point, unaweza ukaniambia kosa la kimuundo kwenye sentensi "mwenye usafi?"
Uniambie utofauti wake kimuundo na "mwenye upendo"
Muundo haubadiliki, ndiyo maana katika kupatia kwa lugha huwa tunarudi kwa wenye lugha kuangalia wanayatumiajae maneno hayo, ndio maana tunasema hivi Kiswahili kilianza kuwepo kabla ya kuwepo Sarufi. Sarufi imekuja kuyaelezea yaliyopo kwenye lugha baada ya kuyaangalia kwa kina.

Kwahoyo kosa la kimuundo hapo linabainika kwa kuwaangalia Waswahili wanalitumiaje hilo neno, hasa likinasibishwa na kurudi kwa mwenye kumilikishwa kwalo.

Kwahiyo kauli hiyi inakataa muundo huo kwa Waswahili kimatumizi na kimaana.
 
Maneno mengi ya Kiswahili, hasa yale yenye asili ya Kibantu hutia mkazo katika silabi ya pili kutoka mwisho.

Kwa mfano:ma'ma, sandu'ku, kita'bu, tulikoto'ka, buruda'ni, baraba'ra (njia)

Baadhi ya maneno yenye asili ya kigeni,mapya huwa na shada katika silabi nyingine.

Kwa mfano:bara'bara (sawa sawa), mukhta'sari, intelije'nsia
Hivyo muundo wa shada hubadilika ,lugha inapozidi kukua na kuongeza misamiati.
Haya uliyo yaandika hayana maana,na sijui kwanini umeyaandika mnapenda sana kupoteza muda.
 
Haikuwepo.
Duh,kazi kwelikweli
Kwahyo unataka useme kabla wajuba hawajakaa chini kuichora sarufi haikuwepo?

Kwahyo Kulikuwa hakuna
1.Vipashio vya lugha(sauti,mofimu)

2.Aina za maneno(nomino,kitenzi,kivumishi)

3.Muundo wa maneno (silabi,viambishi,shada,matamshi)

4.Upatanisho wa maneno(ngeli,umoja na wingi,nyakati,tense)

5.Sentensi(virai,vishazi,uafikishaji,aina za sentensi,uchanganuzi wa sentensi)

Bila sarufi kuna lugha kweli ndugu?
 
Muundo haubadiliki, ndiyo maana katika kupatia kwa lugha huwa tunarudi kwa wenye lugha kuangalia wanayatumiajae maneno hayo, ndio maana tunasema hivi Kiswahili kilianza kuwepo kabla ya kuwepo Sarufi. Sarufi imekuja kuyaelezea yaliyopo kwenye lugha baada ya kuyaangalia kwa kina.

Kwahoyo kosa la kimuundo hapo linabainika kwa kuwaangalia Waswahili wanalitumiaje hilo neno, hasa likinasibishwa na kurudi kwa mwenye kumilikishwa kwalo.

Kwahiyo kauli hiyi inakataa muundo huo kwa Waswahili kimatumizi na kimaana.
Kwahyo hakuna rejea ya maandishi?mpaka tumfate athuman muuza kahawa pale kisiwani?
Nimeona hata uvivu kukujibu hii...it goes to show how ignorant you are
 
Kwahyo hakuna rejea ya maandishi?mpaka tumfate athuman muuza kahawa pale kisiwani?
Nimeona hata uvivu kukujibu hii...it goes to show how ignorant you are
Haswaa, rejea kwa Waswahili huko bdio kuna hukumu, ndio maana jana ulishindwa kutoa uthibitisho wa kuonyesha mswahili gani anaongea hivyo, ukaishia kuniuliza maswali ya ya kitoto, mara ooh kwani umeishi na waunguja wote na mfano wa hayo.

Ahsante.
 
Haswaa, rejea kwa Waswahili huko bdio kuna hukumu, ndio maana jana ulishindwa kutoa uthibitisho wa kuonyesha mswahili gani anaongea hivyo, ukaishia kuniuliza maswali ya ya kitoto, mara ooh kwani umeishi na waunguja wote na mfano wa hayo.

Ahsante.
Hayo maswali siyo ya kitoto.
Kama ya kitoto ungeyajibu
ila ni ya kiutu uzima na yamekuzidi kimo
Na ushahidi nilitoa kwasbabu mimi mwenyewe ni muunguja na ndo nimesema hivyo.
 
Hayo maswali siyo ya kitoto.
Kama ya kitoto ungeyajibu
ila ni ya kiutu uzima na yamekuzidi kimo
Na ushahidi nilitoa kwasbabu mimi mwenyewe ni muunguja na ndo nimesema hivyo.
Poa.
 
Labda nikuulize wewe binafsi unaelewa nini kuhusu sifa za muumbaji? Kwa lugha nyingine ili kitu kiwe kimeumbwa au kuumba kinatakiwa kiwe na sifa zipi?
 
Weka namba ya post, nacheka sana halafu unajinadi kwamba umepata maarifa mapya,ndiyo maama nasema upo hapa kupoteza muda.

Sijaona namba ya post nachojua mimi bado unaishi kwenue kauli yako ya "kisichopo hakithibitishiki". Unacheza mdumange kijana.
Umedai kua huijui hiyo miungu

Sasa hiyo miungu yote imenadiwa katika dini zao kua ni waumbaji wa ulimwengu, je unakubaliana na hoja hiyo?
 
Tuonyeshe. Fanya kama nilivyofanya kijana, nimekuwekea namba kama hujui nba ni nini sema uekelezwe.
Nikuoneshe ili iweje?

Mimi kazi yangu ni kukuthibitishia kisichopo so usinipe task isiyonihusu

Unaweza kuthibitisha madai yako kua hakuna uthibitisho humu?
 
Ni sawa na neno kufulia..unaweza ukaniambia kufulia ni nini na ni kiasi gani cha hela mtu akiwa nacho ndo tuseme amefulia?
Mwingine akiwa na buku ndo amefulia mwngine amefulia ila ana million mia benki

Kuna vitu vingine subjective mzee
Wewe unaweza ukamuambia mhadzabe nipeleke kwa mungu akakupeleka kwenye kichuguu.

Kuavoid misconfusion,,wewe unataka definition ya mungu yupi?
Twende taratibu tu mkuu.

Hoja yangu ni kwamba ikiwa kila mtu ataamua kujichagulia tafsiri zake za maneno unafikiri hata mie na tungeakuwa tunaelewana hapa?

Hebu nijibu kwanza.
 
Twende taratibu tu mkuu.

Hoja yangu ni kwamba ikiwa kila mtu ataamua kujichagulia tafsiri zake za maneno unafikiri hata mie na tungeakuwa tunaelewana hapa?

Hebu nijibu kwanza.
Tungeelewana kwa kuangalia muktadha
 
Back
Top Bottom