UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,491
- 8,790
Kwanini usimwite mwizi au chizi kwa sababu hakuna anayemzidi mpira? Bado hujaeleza ni kwanini umwite Mungu na si vinginevyo?Kila mtu ana maana yake ya kumuita mungu...mimi messi namuita mungu kwasababu hamna anaemzidi mpira ila haimaanishi kila mtu anayejua mpira ni mungu...so swali lako liwe specufic mungu gani unataka nikuambie kwanini aliitwa mungu.
Chagua yeyote kwenye list aliyotuma Scars