Nani aliyemuumba Mungu?

Nani aliyemuumba Mungu?

Kila mtu ana maana yake ya kumuita mungu...mimi messi namuita mungu kwasababu hamna anaemzidi mpira ila haimaanishi kila mtu anayejua mpira ni mungu...so swali lako liwe specufic mungu gani unataka nikuambie kwanini aliitwa mungu.

Chagua yeyote kwenye list aliyotuma Scars
Kwanini usimwite mwizi au chizi kwa sababu hakuna anayemzidi mpira? Bado hujaeleza ni kwanini umwite Mungu na si vinginevyo?
 
Ushahidi uko hapa.

1. Dunia na vilivyomo vimejiumba vyenyewe au
2. Vimetokans pasi na chochote ?

Kujibu maswali haya na kutokuyajibu kote kunwonyesha ya kuwa Mola yupo aliye umba ulimwengu na vilivyomo, mwenye ujuzi na malengo pia.
Jibu lolote hapo katika maswali hayo halithibitishi mungu yupo
 
Kwanini usimwite mwizi au chizi kwa sababu hakuna anayemzidi mpira? Bado hujaeleza ni kwanini umwite Mungu na si vinginevyo?
Kwasababu kwangu mimi mungu ni mtu ambaye hamna kiumbe kingine kinamzidi mpira.
Kila mungu anasababu yake ya kuitwa mungu kwahyo be specidic
Haya sasa Mimi nshakupa sababu ya kumuita messi mungu
 
Kila dini inashikilia usemi huo kua kuna mungu mmoja, mungu unayemuabudu wewe naye hujumuishwa kwenye kundi la miungu katika dini nyingine.

Kwaiyo hii mbinu yako ya kukwepa swali kusema miungu haitakusaidia.

Katika hiyo list mungu wako unayedau ni mmoja hapo hayupo?
Kwanza sio kila dini inaamini Mungu wengi wanaamini miungu mingi.

Nithibitishe kwamba hiyo yote ni miungu ili ndio niweze kuchagua.
 
Hivi inakuwaje unapoteza muda kwa jambo ambalo nimeshalifafanua zaidi ya mara mbili, ndio maana nasema hivi wewe hapa upo kwa kujifurahisha na kupotezea watu.
Nishakuambia usijifanye we ndo uko serious sana kujali muda. Wote tuko humu kwa ajili ya kupoteza muda kama unashuhuli zako zima data huyu mungu unayemtetea humu hawezi kukuletea tembele nyumbani

Wewe ulishakubali kua nimekuthibitishia mungu hayupo halafu unaanzisha mada nyingune unakuja kupiga poyoyo uthibitishiwe tena. Huoni kwamba huko ndio kujifurahisha?
 
Umesoma nilichokiandika ? Razaq ni tofauti na "ar-Razaq".Pia wapo wanaoitwa "Karim" ila jina la Mola wetu ni "al-Karim". Kwahiyo kuna utofauti hapo, huwezi kukuta mtu anaitwa "ar-Razaq" au "al-Karim".

Haya mambo yanataka mtu usome, ndio maana huwa nawaona mnapoteza muda sana kwa kumjadili msie mjua, halafu hapo hapo unataka uulizwe kuhusu mungu na miungu, aisee huu ujinga huwa nauona humu humu jf.
Nimesema tu msela wangu anaitwa razaq Sijasema msela wangu ni mungu.

NB:Lakini naona jina la razaq ni zuri kuliko ar razaq
Hivi kati ya Usafi na mwenye usafi nani msafi??
Sidhani kama kuna mtu anaweza kuwa na usafi kuuzidi usafi wenyewe
 
Kwasababu kwangu mimi mungu ni mtu ambaye hamna kiumbe kingine kinamzidi mpira.
Kila mungu anasababu yake ya kuitwa mungu kwahyo be specidic
Haya sasa Mimi nshakupa sababu ya kumuita messi mungu
Hili neno lingekuwa la kwako hapo sawa tungekuzingatia,lakini umelikuta na lina maana yake, wewe tuna kuita muharibifu na unajidanganya mwenyewe, sawa sawa leo hii utuambie simu kwa mawazo yako ni meza, aisee tutakuona chizi na tuna kupuuza, kama hivi.
 
Hili neno lingekuwa la kwako hapo sawa tungekuzingatia,lakini umelikuta na lina maana yake, wewe tuna kuita muharibifu na unajidanganya mwenyewe, sawa sawa leo hii utuambie simu kwa mawazo yako ni meza, aisee tutakuona chizi na tuna kupuuza, kama hivi.
Aise kumbe nimepotoka mimi.
Mungu ni nini basi wewe ujuaye?
 
Wewe ulishakubali kua nimekuthibitishia mungu hayupo halafu unaanzisha mada nyingune unakuja kupiga poyoyo uthibitishiwe tena. Huoni kwamba huko ndio kujifurahisha?
Unanirudisha nyuma kijana, ambako tukirudi nitazidi kupoteza muda zaidi, nilifunika kombe mwanaharamu apite, yaani kwa lugha nyingine nilijifanya mjinga ili ujibu hoja yangu, lakini kwa ulivyo mjinga ukadai nimekiri wakati unajua kabisa Jurjani/Zurri siwezi kukiri ujinga huo.

Naona umeishiwa cha kuandika maana hata hoja huna.
 
Kwani nani amesema msela wako ni mungu, mbona unajihami mzee ?
NB:Lakini naona jina la razaq ni zuri kuliko ar razaq
Thibitisha hilo, isiwe kisa ni jina geni kwako ukajiamulia tu kupayuka. Huna kipimo cha kujua lipi baya hapo na lipi zuri.
Hivi kati ya Usafi na mwenye usafi nani msafi??
Rekebisha kwanza sentensi hii, hakuna kiswahili cha sampuli hii. Unasema "mwenye usafi" hiki nini kijana ?
 
Sidhani kama kuna mtu anaweza kuwa na usafi kuuzidi usafi wenyewe
Vijana muache kuandika maneno bila kuzingatia usahihi na mpangilio wake. Nikikuuliza dhati ya Usafi ikoje au marejeo ya usafi ni wapi ?
 
Kwasababu kwangu mimi mungu ni mtu ambaye hamna kiumbe kingine kinamzidi mpira.
Kila mungu anasababu yake ya kuitwa mungu kwahyo be specidic
Haya sasa Mimi nshakupa sababu ya kumuita messi mungu
Hapo nimekupata, ila sasa mie nilikuwa nazungumzia Mungu kwa maana ya hili neno "Mungu" na si matumizi binafsi ya mtu kwa hilo neno.
 
Kumbe nilikuwa sijakosea..huwa namuabudu messi
Unajua maana ya kuabudu ? Maana nimeona una tatizo kubwa sana la kutumia maneno kimakosa hasa kimaana hata hili pia umekosea kulitumia.
 
Safi kabisa, post namba ngapi ? Ukiweka namba ya post naacha kutumia huu mtandao wa "jf" au nawaomba "mods" waufute huu uzi. Sisi tuko "serious" wewe unaleta maigizo,mzaha na utoto mwingi.
Ona sasa unaniuliza kuhusu post namba wakati nimekutajia huko juu mapema

sioni mantiki ya kuendelea kujibu swali ambalo nimelijibu mara kadhaa huko nyuma

Unakubali kama hii "kisichopo hakithibitishiki" ni kauli yako ?
It used to be mine, lakini tangu nimepata maarifa mapya it is no longer mine.

Unakubali ulishakiri kua nimekuthibitishia mungu hayupo?

Hii sheria mbona huifanyii kazi kijana? Maana iko dhidi yako na hili liko wazi kabisa. Au huko humu kwa ajili ya kujifurahisha nini ?
Kwaiyo unakubali uthibitisho niliosema nimeuweka humu upo?

Kama unakataa thibitisha haupo halafu utuambie umetumia criteria gani kupata majibu yako

Miongoni mwa njia hizo ni kukuhoji na wewe ukakiri.
Wapi nimekiri?

Hiyo njia haiwezi kua sahihi kwasababu inakasoro nyingi ambazo ukiitumia haitakupa jibu la kuhitimisha kua kitu fulani hakipo. Kitu kinaweza kikawepo halafu opponent akawa hatoi maelezo ya kutosha we ukahitimisha kua hakipo kwasababu ya uhojiji wako, hautakua sahihi katika majibu yako.


Nimemaliza, nimekuonyesha ya kuwa niliacha kukujinu sababu nilio huna hoja na huna kipya zaidi ya kurudia rudia maneno.

hata kuanza bado hujaanza, hujathibitisha kua hakuna uthibitisho humu niliokuwekea sa utasemaje umemaliza?
 
Ona sasa unaniuliza kuhusu post namba wakati nimekutajia huko juu mapema

sioni mantiki ya kuendelea kujibu swali ambalo nimelijibu mara kadhaa huko nyuma


It used to be mine, lakini tangu nimepata maarifa mapya it is no longer mine.

Unakubali ulishakiri kua nimekuthibitishia mungu hayupo?


Kwaiyo unakubali uthibitisho niliosema nimeuweka humu upo?

Kama unakataa thibitisha haupo halafu utuambie umetumia criteria gani kupata majibu yako


Wapi nimekiri?

Hiyo njia haiwezi kua sahihi kwasababu inakasoro nyingi ambazo ukiitumia haitakupa jibu la kuhitimisha kua kitu fulani hakipo. Kitu kinaweza kikawepo halafu opponent akawa hatoi maelezo ya kutosha we ukahitimisha kua hakipo kwasababu ya uhojiji wako, hautakua sahihi katika majibu yako.




hata kuanza bado hujaanza, hujathibitisha kua hakuna uthibitisho humu niliokuwekea sa utasemaje umemaliza?
Kaka mimi kazi yangu nimeshamaliza aisee, kuendelea kujadiliana na wewe ni kupoteza muda. Huna hoja, unarudia rudis maswali uliyo jibiwa sasa naona unataka wote tuwe na akili za kitoto kama zako.

Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom