Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,268
- 12,645
Mimi sijauliza hayo maneno yamesemwa lini...mimi nimeuliza hayo maneno yametufikia lini,ni kabla au baada ya Muhammad?Kabla ya Muhammad kwanza kabla hujakurupuka kuuliza maswali nenda kasome hapo nilipo quote ndipo utakapo juwa haya maneno yanasemwa hapo ilikuwa kabla ya muhammad au baada. hiyo ndio desturi ya mtu mwenye elimu baadae unajenga hoja mie huwa naepukana nahoja za vilabuni kama unataka kujenga hoja kwanza ukitambue kile unachojengea hoja pia uepukane na ukasuku.