Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Jamani kila mtu ana mjanja wake,au kila pori lina mwenyewe...naomba kuuliza kwa wote hapa WANAMAPENZI,Preta,Birigita na wengine wote,je wewe kaka au Dada nani alikutoa UTEPE?I mean mjanja wako wa kwanza kukupeleka kunako mapotevu ni nani?..kwangu nakumbuka ni mdada mmoja alikuwa mkubwa kwangu kama 6years than me wakati huo ndo kichwa cha pili kimepatikana Aiseeeeeeeeeeee nilisikia hell ya ajabu kunako maachio,natamani niirudie tena..Je,wewe ilitolewaje?