Nani alijenga Mapyramid ya Misiri ya kale?

Nani alijenga Mapyramid ya Misiri ya kale?

Siwezi amini kabisa kuwa hekari tatu ni sawa na Viwanja vitatu vya Mpira. Sijajua mpira upi, ? Lakini kama ni mpira wa Miguu, viwanja kumi ni eneo kubwa kuliko Hekari tatu. Labda Hekta.
 
MAAJABU YA PYRAMIDS ZA MISRI

Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Nchini Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo lenye ghorofa 48.Lina uzito wa tani million 14.5,limechukua eneo la mraba hekari 13 sawa na viwanja kumi vya mpira wa miguu.Inaaminika kua lilianza kujengwa mnamo 2540BC na kumalizika miaka 23 baadae.

PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa

Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kuwa hata jua likae upande gani huwezi kuona kimvuli cha pyramid , Hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa Hadi Sasa.
Walijenga Waisraeli walipokuwa Utumwani Misri.
 
MAAJABU YA PYRAMIDS ZA MISRI

Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Nchini Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo lenye ghorofa 48.Lina uzito wa tani million 14.5,limechukua eneo la mraba hekari 13 sawa na viwanja kumi vya mpira wa miguu.Inaaminika kua lilianza kujengwa mnamo 2540BC na kumalizika miaka 23 baadae.

PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa

Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kuwa hata jua likae upande gani huwezi kuona kimvuli cha pyramid , Hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa Hadi Sasa.
Walijenga Wayahudi walipokuwa utumwani misri.
 
wamisri wa kale walikuwa ni weusi tii wanafanana na wasudini wa kusini ndio hao waliojenga izo pyramids pamja na sanamu zote ambazo mpaka leo zipo ukifatilia kwa umakini utagundua sanamu nyingi upande wa uso zimebomolewa sehemu ya pua kuficha ukweli kwamba muafrika apo kale alikuwa mbali kiteknolojia mpaka kisayansi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mapyramid (majumba) yalijengwa kwa njia ya ufunuo (wahyi) kutoka kwa Mwenyezimungu mwenyewe wakati wa kipindi cha Musa na nduguye Haroun. Na yamejengwa kwa hesabu kali mno ili kiwezesha kufanyika kwa ibada kwa uelekeo wa qibla kwa wakati huo (Masjid Al Aqsa) kabla qibla hakijahamishwa kuelekea Macca. Ushahidi wa hayo ni Qur'an 10:87. Jambo linapofanyika kwa njia ya ufunuo lolote huwezekana.

Povu ruksa na hutaki unaacha.
 
Hayo mapyramid (majumba) yalijengwa kwa njia ya ufunuo (wahyi) kutoka kwa Mwenyezimungu mwenyewe wakati wa kipindi cha Musa na nduguye Haroun. Na yamejengwa kwa hesabu kali mno ili kiwezesha kufanyika kwa ibada kwa uelekeo wa qibla kwa wakati huo (Masjid Al Aqsa) kabla qibla hakijahamishwa kuelekea Macca. Ushahidi wa hayo ni Qur'an 10:87. Jambo linapofanyika kwa njia ya ufunuo lolote huwezekana.

Povu ruksa na hutaki unaacha.
Imani ni shambulio la akili
 
Back
Top Bottom