Nani alijenga Mapyramid ya Misiri ya kale?

JackisonDubai

JF-Expert Member
Mar 27, 2023
537
1,274
MAAJABU YA PYRAMIDS ZA MISRI

Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Nchini Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo lenye ghorofa 48.Lina uzito wa tani million 14.5,limechukua eneo la mraba hekari 13 sawa na viwanja kumi vya mpira wa miguu.Inaaminika kua lilianza kujengwa mnamo 2540BC na kumalizika miaka 23 baadae.

PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa

Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kuwa hata jua likae upande gani huwezi kuona kimvuli cha pyramid , Hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa Hadi Sasa.
 
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ

(AL - FAJR - 6)
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ

(AL - FAJR - 7)
Wa Iram, wenye majumba marefu?

الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ

(AL - FAJR - 8)
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ

(AL - FAJR - 9)
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?

وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ

(AL - FAJR - 10)
Na Firauni mwenye vigingi?





Hayo unayoshangaa jua walijenga watu wa huko.
 
MAAJABU YA PYRAMIDS ZA MISRI

Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Nchini Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo lenye ghorofa 48.Lina uzito wa tani million 14.5,limechukua eneo la mraba hekari 13 sawa na viwanja kumi vya mpira wa miguu.Inaaminika kua lilianza kujengwa mnamo 2540BC na kumalizika miaka 23 baadae.

PYRAMID kubwa zaidi MISRI (Egypt) lilitumia matofali (majabali,) 2,300,0000 (million mbili na laki tatu) na inakadiriwa kua kila tofali/jabali/jiwe lilikua na uzito wa tani 7, kwenye kilele cha pyramid hilo jiwe lililotumika kufunika juu kabisa lina uzito wa tani 50 mpaka leo wazungu wanajiuliza ni kina nani walilipandisha jiwe hilo na ilifanyika vipi jiwe la namna hiyo kupandishwa juu urefu wa futi zaidi ya 400 na binadamu jambo ambalo ni gumu kulielewa

Pande zote tatu za PYRAMID zipo sawa na unaambiwa huwezi kuona kimvuli cha pyramidi hata ukae upande gani hii inamaana kuwa hata jua likae upande gani huwezi kuona kimvuli cha pyramid , Hesabu zilizotumika kujenga pyramid hilo ni pasua kichwa Hadi Sasa.
Hii inaitwa "Fanya kazi kwa bidii mpaka vizazi vijavyo viamini kuwa aliens ndio waliofanya hio kazi" 😆
 
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ

(AL - FAJR - 6)
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ

(AL - FAJR - 7)
Wa Iram, wenye majumba marefu?

الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ

(AL - FAJR - 8)
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ

(AL - FAJR - 9)
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?

وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ

(AL - FAJR - 10)
Na Firauni mwenye vigingi?





Hayo unayoshangaa jua walijenga watu wa huko.
MashaaAllah
Qur'an ni tamu sana
 
Back
Top Bottom