Nani alidanganya kati ya gazeti na Dr Slaa

Nani alidanganya kati ya gazeti na Dr Slaa

Status
Not open for further replies.
Mbowe is slowly sliding away from kikongwe Slaa. Labda kile tunachokiona sisi kama CHUKI ILIYOPITILIZA ya slaa dhidi ya JK sasa hata mbowe ameanza kuiona.
Mbowe kuna kitu anajifunza toka kwa ZITTO KABWE, na somo lenyewe ni kuhusu USHINDANI BILA UADUI. Huenda akawa amechelewa sana lakini si vibaya kwa muungwana kutubu dhambi kabla mauti hayajamkuta.
Hata hivyo, SLAA angetaka kuingia na magwanda wakati yanatoa harufu ya ...........
 
Kilombero,

Ili kujua mkweli na mwongo ni lazima uweke copy ya Dispatch iliyopejleka mwaliko makao makuu ya Chadema. Kama huwezi tofautisha, nafasi mbalimbali ya Mhe.Mbowe hilo ni tatizo lako.


[/B]
Duh! dingi kweli unazeeka hata ulicho andika akieleweki. anh. tuambie katiyao na gazeti nani alie ongopea jamii?
 
mkuu angalia usikimbia kivuli chako kazi ndiyo kwanza inaanza sisi ni wazalendo tunajadili mambo au wewe unataka tuwe na mawazo yako haiwezekani tunajadili mapungufu yote.

kwanza wala hatujuani wenye kazi maalumu ni wewe....na wenzako unaowafahamu lakini jitahidini kuwa na moyo mpana watu wameshawajua kuwa nyie siyo wanasiasa ni wasanii tu.

Mkijihesabu mlio na mentality ya Mwigulu Nchemba hamfiki ishirini humu jamvini,

mnajiaibishaje?
 
Last edited by a moderator:
Duh! dingi kweli unazeeka hata ulicho andika akieleweki. anh. tuambie katiyao na gazeti nani alie ongopea jamii?

kumbe uwezo wako wa kuelewa ni mdogo kiasi hicho? ukiweza badili jina lako ni heri uitwe kichwabuta, imagine mumeo anakuita kichwabutaaaaaaa!!!!!
 
Mbowe kuwepo haina maana kuwa CDM walialikwa. Inawezekana kabisa Mbowe alikuwa pale kwa wadhifa wake wa Mkuu wa kambi ya upinzani bungeni. Kama chama kingealikwa kila mtu anajua barua ingetumwa kwa katibu mkuu. Hapo ina maana kuwa kama Kinana hakuwepo au mwakilishi wake kichama then ina maana hata CCM nao hawakualikwa.

Ama kweli unafiki kitu kibaya sana, mkuu sasa hiyo njaa yenu imepitiliza, Leo unaitenganishaje kambi ya upinzani na chadema??? Si nyie mliowakataa cuf na nccr kuunda kambi ya pamoja?? Dah, umenchosha kinyama mpwa wangu
 
Inaonekana Mbowe na Dr Slaa hawana mawasiliano mazuri au Mbowe alifanya makusudi kumficha Dr Slaa kuhusu mualiko wake Ikulu.

Ritz,
Usipotoshe hapa. Mbowe alialikwa kama mbunge. Nimeona na Leticia Nyerere naye alialikwa. Dr. Slaa si mbunge. Vipi kwani Lipumba alikuwepo?
 
Hivi wewe ulikuwa hujui kuwa Slaa huwa anajisemea tu bila mwelekeo wala mpango wala kuwa na uhakika wa ayasemayo? soma signature ya Ritz.

Ukigundua au kuhisi una dalili za ugonjwa wa CCMonia, haraka sana meza vidonge vya CHADEMAquine utapona. Vidonge vya CHADEMAquine vinapatikana kote nchini. Endapo ugonjwa utazidi muone Dr. Slaa
 
Inaonekana Mbowe na Dr Slaa hawana mawasiliano mazuri au Mbowe alifanya makusudi kumficha Dr Slaa kuhusu mualiko wake Ikulu.
Kuna muda uwa najiuliza kama kila binadamu ana ubongo au wengine wana makamasi kichwani. Kama unataka kujua kwanini Mbowe alialikwa si umuulize JK au nenda Makao makuu ya Chadema huulize? Unajua sio kila anayevaa suruali ni mwanaume. Jichunguze mdogo wangu.
 
Mbowe is slowly sliding away from kikongwe Slaa. Labda kile tunachokiona sisi kama CHUKI ILIYOPITILIZA ya slaa dhidi ya JK sasa hata mbowe ameanza kuiona.
Mbowe kuna kitu anajifunza toka kwa ZITTO KABWE, na somo lenyewe ni kuhusu USHINDANI BILA UADUI. Huenda akawa amechelewa sana lakini si vibaya kwa muungwana kutubu dhambi kabla mauti hayajamkuta.
Hata hivyo, SLAA angetaka kuingia na magwanda wakati yanatoa harufu ya ...........

na wewe pia ni Great thinker. Oh, my!
 
Mbona wana jf. Mnalumbana kwa jambo la ukwell,kama Slaa alivyosema chama Chadema hakikualikwa huo ndio ukweli.bali Mbowe alialikwa IIkulu kama msemaji kambi ya upinzani Bugeni nasio kama mwenyekiti wa Chadema msiumize vichwa kutafuta mchawi hapo hakuna umwamba wala kupokwa uraisi kama mchangiaji mmoja aliyetangulia
mkuu,kwa hiyo ile hali ya umwamba ya slaa ndani ya chama yawezekana mbowe kaamua kufanya kitu kumuonesha slaa kuwa mbowe ni bosi wake.
 
Lumumba Project, a.k.a. Buku 7 investment @ work. Jitahidini huu mwaka mpya kimapato dau linaweza kupanda kidogo. BRAVO vijana wa BUKU 7 INVESTIMENT Co LTD
 
Wakuu jana kunagazeti moja la kila siku liliripoti kuwa chadema yamsusa obama lakini baadaye humu jf nikasoma maelezo ya dk slaa akieleza kuwa wao kama chadema hawakushirikishwa kuhusika kwenye huu ugeni kwa maana hiyo hawawezi kujipeleka kwenye ugeni ambao hawakushirikishwa.

Lakini baadaye nikasoma post tena humu jf inabainisha kuwepo kwa mh.mbowe kwenye dhifa ya ikulu ambayo iliandaliwa na rais jk akimwandalia mgeni wake rais obama.


Hali hii ilifanya nijiulize ukweli wa hili gazeti uko wapi na ukweli wa slaa ni upi,awali nikajua ni ule mtindo wa magazeti yetu kuandika taarifa bila kutafiti yawezana slaa yuko sahihi kwa sababu ndiye katibu mkuu wa chama na barua zote hupita kwake kama katibu mkuu,lakini kilichonichanganya tena kusikia mbowe alikuwepo nikashindwa kujua nani aliudanganya uma ni gazeti au slaa au mbowe alialikwa kutokana na mahusiano yao mazuri na jk au mwaliko ulikuwepo lakini slaa akaamua kuongea alivyoongea na gazeti lile taarifa ile lilitoa wapi.

NANI MUONGO AU NINI UDHATI WA HALI HII

Tatizo la watanzania ni kuwa hawataki kufikiria zaidi ya wayasomayo kwenye magazeti!

1. Magazeti yanatoka lini kama si siku inayofuata baada ya mahojiano..?
2. Hivi haiwezekani ikawa kuwa hadi Dr. Slaa anahojiwa taarifa hizo hazikuwepo au zilikuja baada ya mahojiano..?
3. Je, kuna viongozi wengine wa vyama vya upinzani walionekana kwenye hiyo dhifa zaidi ya Mbowe na Maalim Seif (huyu inajulikana ni kwa nini)...?
4. Je, kama mialiko ilitolewa rasmi na mapema ni kwa nini ofisi za vyama vya siasa hazikuwa na taarifa...?
5. Kwani ujio wa Obama ulikuwa ni jambo la kushtukiza hadi ishindikane taarifa rasmi kutolewa kwa wakati...?

Mimi ninachojua ni kuwa nia haikuwepo na upinzani hawakushirikishwa kwa lolote ila kwa maneno ya Obama mwenyewe...
but we do make decisions based on whether or not a government is listening to the opposition, maintaining a free press, maintaining freedom of assembly, not using violence or intimidation, conducting fair and free elections. And those are the kinds of things that we're examining, and we press the (Egyptian) government very hard on those issues...

Kama inavyotokea kwa Egypt ndivyo ilivyotokea hapa Tanzania...WALILAZIMISHWA DAKIKA ZA MWISHO...."they were pressed very hard on such issues.."
 
zomba, mimi ku, babayako, na Ritz mna kazi maalum, maneno yenu yanafanana sana na ya Mwigulu Nchemba awapo jukwaani.

huo ndo ujenzi wa chama, komaeni na matokeo ya kufeli yanazidi kutoka, singida likesi lenu mmepigwa doro! dr. Kitila Mkumbo kidedea!!!!! arusha mkuu wa mkoa kalala yombo, soon kamanda lwakatare hatakuwa na kesi ya kujibu.

mnahangaikaje?

Kwakatare anasema katika uongozi wa chadema kuna wanafik, eti kweli?
 
Ukigundua au kuhisi una dalili za ugonjwa wa CCMonia, haraka sana meza vidonge vya CHADEMAquine utapona. Vidonge vya CHADEMAquine vinapatikana kote nchini. Endapo ugonjwa utazidi muone Dr. Slaa

Alisema hawakushirikishwa ujio wa Obama, mara boss wake anaonekana Ikulu akipata msosi wa kualikwa. Mzee kachemsha, ngoja uone Wachagga wakianza kudai mgao wao, ndio utajuwa kuwa Mzee hafai.
 
Mwehu anakupigia simu saa 8 usk anakuuliza eti vipi umelala? mjibu hapana napata mionzi ya jua kidogo. we huna utofauti na huyo anaepiga simu usk kuuliza eti umelala?
Wakuu jana kunagazeti moja
la kila siku liliripoti kuwa chadema yamsusa obama lakini baadaye humu
jf nikasoma maelezo ya dk slaa akieleza kuwa wao kama chadema
hawakushirikishwa kuhusika kwenye huu ugeni kwa maana hiyo hawawezi
kujipeleka kwenye ugeni ambao hawakushirikishwa.

Lakini baadaye nikasoma post tena humu jf inabainisha kuwepo kwa
mh.mbowe kwenye dhifa ya ikulu ambayo iliandaliwa na rais jk
akimwandalia mgeni wake rais obama.


Hali hii ilifanya nijiulize ukweli wa hili gazeti uko wapi na ukweli wa
slaa ni upi,awali nikajua ni ule mtindo wa magazeti yetu kuandika
taarifa bila kutafiti yawezana slaa yuko sahihi kwa sababu ndiye katibu
mkuu wa chama na barua zote hupita kwake kama katibu mkuu,lakini
kilichonichanganya tena kusikia mbowe alikuwepo nikashindwa kujua nani
aliudanganya uma ni gazeti au slaa au mbowe alialikwa kutokana na
mahusiano yao mazuri na jk au mwaliko ulikuwepo lakini slaa akaamua
kuongea alivyoongea na gazeti lile taarifa ile lilitoa wapi.

NANI MUONGO AU NINI UDHATI WA HALI HII
 
Nina aminishwa kuwa Mh Mbowe hakualikwa Ikulu kama Mwenyekiti wa CDM.
Alialikwa akiwa KUB. Kiongozi wa Upinzani Bungeni n mbunge anayetokana na chama cha siasa chenye usajiri wa kudumu, ambapo CDM inazo sifa na zaidi ya yote chama cha upinzani Bungeni chenye viti vya majimbo vingi zaudi ya vingine.
Kwa kuwa Mh Mbowe ana ofisi yake kama KUB anaye sekretari ambaye alipelekewa barua ya mwaliko wa dhifa.
Hakuona sababu za kumtaarifu katibu mkuu wa Chama. Katibu bila kujua itifaki alijibu tu kuvuta hisia na sapoti ya watu.
Na asinge kihusisha chama katika ujio wa Obama.
Tafakari ya maswali kabla ya kutoa jibu la haraka litakalizaa maswali mengi baadae ni kitu muhimu."Ukiishaingia kujinasua na mtego n kazi".
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom