ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
Aisee....
Hebu pitieni hapo Manispaa ya Kinondoni mchukue greda lije linizoe na kunipeleka angaza nikapime mie....
Msijidanganye kwa akili na nguvu za binadamu mnaweza kunishawishi nikaenda kwa hiari kupima.
Mi naamini tu maadam wife yuko salama basi nami niko salama. Kupima NEHI!!
Baada ya kusema hayo, nawashaurini vijana, hasa wewe Mentor na Nicas Mtei, acheni ngono zembe.... If you wanna fu.k then fu.k responsibly.
Ni mimi babu yenu ODM nikiwaleteeni hii injili tokea kaunta ya juu, Fesibuku Pub.
umesahau kuwaambia jinsi mimi na wewe tunavyogongana kavuuuuuuuuu! watuwache hubby wangu, tena watupe pumzi! nakupendajeeeeee??
Siwatishi mbe...ni reality. NASISITIZA HII NI HABARI YABKWELI KABISAAAA...
Mwe umenikumbusha Dr.chrispin!nimekusikia Mentor najali sana afya yangu kuliko chochote kingine!
Mbe...umeniweka kundi gani hili.
[FONT=century
gothic]NB: Hadithi hii ni ya kweli. Majina na mahali vimebadilishwa ili
kuficha uhalisia wa wahusika. KWa namna yeyote ile, hadithi hii
haiwahusu Nicas Mtei wala
brenda18, ni kufanana tu kwa majina!
Dr. Riwa, Preta na
MziziMkavu: naomba mtupe takwimu za prevalence
ya UKIMWI kwa vijana wenye umri kati ya 25 kurudi chini.
Mtambuzi, Asprin,
Kaizer, Bazazi,
KakaKiiza, Jiwe
Linaloishi, Kipaji Halisi,
Vin Diesel, TANMO na
mabazazi wote...chungeni. Ikibidi sana hadi 'seal' itolewe kwa kinga.
Ndugu zangu: Mashaxizo,
mwekundu, Rural
Swagga, Himidini,
Mapi, Mshinga
...kuweni waangalifu.
Dadaz: mwallu, Mwalu,
Heaven on Earth,
Smile, miss chagga,
beibe nasty, mimi49,
et al...sio kina brenda tu. Hata kina Chrispin wapo wa namna hii.
gfsonwin, Paloma,
Madame B, cacico,
snowhite, farkhina,
Dark City, watu8, et
al chungeni watoto wenu!!!
[/FONT]BEWARE...AIDS
IS REAL...
Story nzuri inafundisha! Maplayer sasa watakuwa macho!
the first game was awesome! will never forget! bby u r the best! mwahhhhhhhhh!Sasa ulivokuwa mtamu nitumie tena kondom. Achaga tu nikanyagemo hayo manyaya. Watuwaaache mpk wakome
i heard u kaka....loud and clear!
Binti mzuri sana, mrembo, wife material, msomi, pole sana kwa binti!
Ila huyo mkware akome uzinzi! Mungu hamlindi mzinifu!
Kamnywesha mapombe ili agegede kiulaini, akome, salamu ziwafikie wapenda bikra wote....
Oooh mbe...shikeiya
hivi maplayer ni akina nani? Maana wote tunanyoosha vidole....
Mie napita tu hapa