Nana dolls

Nana dolls

Status
Not open for further replies.
Mara nyingi hizo ni kauli za kujipa moyo haswa pale unapogundua kuna wanawake fulani utabaki kuwasikia na kuwaona kwenye medias tu..

Kama unataka asiyekunya kanunue dolls..
Mkuu,

Si kila mwanamme ana udhaifu wa kutaka wanawake wengi, wanawake wazuri wote.

Kuna wanaume wamejisoma, wamejielewa na wamejua kuwa huo ni udhaifu. Wameona kuwa wanaume wanapata matatizo mengi kwa kutoweza kushinda tamaa zao za wanawake.

Wameushinda udhaifu huo.

Sasa wewe unaongelea kitu ambacho wengine wanakiona kama udhaifu kama kitu kizuri.

Hatuwezi kuelewana kwa sababu hatuna falsafa zinazofanana za maisha.

Mimi najiona naepuka udhaifu wa wanaume wengi. Kwa sababu najiona mimi ni zaidi ya wanaume wengi.

Wewe unaniona najipa moyo.

Halafu sijasema nataka asiyekunya, hiyo tafsiri ni ya mtu mwenye tatizo la kusoma kwa ufahamu, anayefanya logical non sequitur fallacy.

Naweza ku deconstruct hoja nzima ya "demu huyu mzuri balaa" kwa kuonesha wote wana mapungufu, halafu nikawa na wangu mwenye mapungufu yake ambayo nimeyakubali.

Point kubwa hapa ni kwamba beauty is subjective, hakuna kizuri kisicho na kasoro na we are all human and fallible.

Mimi nishacheza na watoto wa kimataifa New York City mpaka sasa nashangaa cha ajabu ni kipi kwa huyo binti, yani hata tukiondoa masuala controversial ya hanyi au anakunya, sawa inawezekana mzuri kwa standards zenu, siwezi kusema ni mbaya, lakini uzuri wa kusumbua mtu mpaka kuanzisha thread maalum mbona sijauona bado? Huyo kuna sehemu nyingi akipita anaonekana average tu.

So, inawezekana hamuijui dunia tu, au inawezekana ana stories nyingine nyingi zilizowafikisha hapo ambazo mimi sizijui.

Labda mmemuona anavyobiduka sehemu sehemu na mimi sijaona kwa hiyo naweza kuwa simuelewi kama nyie 😂😂
 
Naendelea kuhitimisha juu ya uwezo wako finyu wa kufikiri.

Kunya siyo inefficiency, it's a biological function. And mind you, a system that cannot execrete waste is the most inefficiency system.

Huwezi kurelate waste na imperfection.

And if your definition of beauty is a system that produces no waste basi kiuhalisia there is nothing beautiful in existence. Since human, plants, animals, all produce waste.

And definitely hata neno 'beauty' lisingekuwepo.

Beauty in design is not the absence of waste. Efficiency is not the absence of waste. And elegance is not the absence of biological functions.

Ufanisi si kutokuwa na uchafu. Urembo si kutokuwa na kazi za kibaolojia. Na elegance si kutokunya. Ewe mwanahizaya.

Unaanza kuruka ruka tena.
Unavyoanza tu unajionesha mjinga.

Unasema "Kunya si inefficiency. It's a biological function".

Kama vile biological function haiwezi kuwa na inefficiency.

You are a semi-literate nincompoop.
 
Unavyoanza tu unajionesha mjinga.

Unasema "Kunya si inefficiency. It's a biological function".

Kama vile biological function haiwezi kuwa na inefficiency.

You are a semi-literate nincompoop.
Sijasema kwamba biological function haiwezi kuwa inefficient.

Nilichosema ni kwamba kuwepo kwa biological function hakuthibitishi inefficiency.

Kunya ni function ya mwili ya kuondoa metabolic waste ambayo mwili hauwezi kutumia.

Ili useme ni “inefficiency", unatakiwa kwanza uonyeshe kwamba mwili ungeweza kuzuia au kutengeneza hiyo waste bila kupoteza kitu chochote, lakini unashindwa kufanya hivyo.

Otherwise, kusema “there is waste, therefore the system is inefficient” ni non sequitur.

Kwa mfano, gari likitumia fuel na kutoa exhaust, kuwepo kwa exhaust pekee hakuthibitishi kwamba engine ina malfunction. Unahitaji kuonyesha kwamba exhaust hiyo inatokana na poor performance beyond what the system inherently requires.

Vivyo hivyo kwa mwili, excretion is not automatically evidence of inefficiency.

Na bado hujajibu swali langu la msingi: kwa nini “waste product” automatically iwe “opposite of beauty”?

Hapo ndipo argument yako bado inaporomoka. 😂😂😂

Wewe jamaa ni takataka..
 
Sijasema kwamba biological function haiwezi kuwa inefficient.

Nilichosema ni kwamba kuwepo kwa biological function hakuthibitishi inefficiency.

Kunya ni function ya mwili ya kuondoa metabolic waste ambayo mwili hauwezi kutumia.

Ili useme ni “inefficiency", unatakiwa kwanza uonyeshe kwamba mwili ungeweza kuzuia au kutengeneza hiyo waste bila kupoteza kitu chochote, lakini unashindwa kufanya hivyo.

Otherwise, kusema “there is waste, therefore the system is inefficient” ni non sequitur.

Kwa mfano, gari likitumia fuel na kutoa exhaust, kuwepo kwa exhaust pekee hakuthibitishi kwamba engine ina malfunction. Unahitaji kuonyesha kwamba exhaust hiyo inatokana na poor performance beyond what the system inherently requires.

Vivyo hivyo kwa mwili, excretion is not automatically evidence of inefficiency.

Na bado hujajibu swali langu la msingi: kwa nini “waste product” automatically iwe “opposite of beauty”?

Hapo ndipo argument yako bado inaporomoka. 😂😂😂

Wewe jamaa ni takataka..
Katika systems, energy wate = inefficiency.

Ila wewe hujajua hilo bado.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom