Nana dolls

Nana dolls

Status
Not open for further replies.
Kunya au kutokunya kunajustify urembo wa mwanamke?

Such an idiotic view.
Umeuliza swali halafu unajijibu mwenyewe.

Suala la urembo ni suala la mtu binafsi kuamua wala hakuna urembo ulio objective.

Mimi sijaona cha ajabu hapo. Naona labda vijana wana upwiru tu wanazuzuka na manywele ya kununua na ma makeup hayo.

Kunya kunakuonesha ni mtu tu kama wengine, hana cha ajabu hiivyo.

Angekuwa hanyi labda tungesema huyu si wa kawaida.
 
Umeuliza swali halafu unajijibu mwenyewe.

Suala la urembo ni suala la mtu binafsi kuamua wala hakuna urembo ulio objective.

Kunya kunakuonesha ni mtu tu kama wengine, hana cha ajabu hiivyo.

Angekuwa hanyi labda tungesema huyu si wa kawaida.
Sijajijibu.

Nimeona mtazamo wako juu ya urembo ni wa kipuuzi mno. Nimeuliza swali, mtu kutokunya ndiyo urembo kwa muono wako? Kama ndiyo, basi una mtazamo usio na maana.

Au labda pengine hujui maana ya urembo, naomba nikupe tafsiri yake;
Urembo ni hali ya kuwa na uzuri au sifa zinazomfanya mtu au kitu kivutie na kupendeza.

Umeona kuna popote wametaja kunya?
 
Sijajijibu.

Nimeona mtazamo wako juu ya urembo ni wa kipuuzi mno. Nimeuliza swali, mtu kutokunya ndiyo urembo kwa muono wako? Kama ndiyo, basi una mtazamo usio na maana.

Au labda pengine hujui maana ya urembo, naomba nikupe tafsiri yake;
Urembo ni hali ya kuwa na uzuri au sifa zinazomfanya mtu au kitu kivutie na kupendeza.

Umeona kuna popote wametaja kunya?
Tulia Bwashee, umemwona nana alivyo mzuri lakini au ni ulevi wangu tu?
 
Sijajijibu.

Nimeona mtazamo wako juu ya urembo ni wa kipuuzi mno. Nimeuliza swali, mtu kutokunya ndiyo urembo kwa muono wako? Kama ndiyo, basi una mtazamo usio na maana.

Au labda pengine hujui maana ya urembo, naomba nikupe tafsiri yake;
Urembo ni hali ya kuwa na uzuri au sifa zinazomfanya mtu au kitu kivutie na kupendeza.

Umeona kuna popote wametaja kunya?
Nimekwambia huo urembo wenyewe ni subjective.

Huelewi wapi?

Kwanza huyo mrembo wenu kavaa manywele ya wazungu ya kununua kuna watu tunaona huo si urembo ni ushamba.

Lakini wewe unaruhusiwa kumuona mrembo, na mimi ninaruhusiwa kusema kama anakunya ni wa kawaida tu.

Kwa sababu suala la urembo halina kipimo objective.

Sasa kwa nini unataka kulazimisha unayemuona mrembo wewe awe mrembo kwa kila mtu?
 
Nimekwambia huo urembo wenyewe ni subjective.

Huelewi wapi?

Kwanza huyo mrembo wenu kavaa manywele ya wazungu ya kununua kuna watu tunaona huo si urembo ni ushamba.

Lakini wewe unaruhusiwa kumuona mrembo, na mimi ninaruhusiwa kusema kama anakunya ni wa kawaida tu.

Kwa sababu suala la urembo halina kipimo objective.

Sasa kwa nini unataka kulazimisha unayemuona mrembo wewe awe mrembo kwa kila mtu?
Wewe ni hewa.

Wala mimi sijasema mwanamke huyo ni mrembo. Nimetatizwa na kauli yako kuwa kama anakunya basi si mrembo.

Hivi, umewahi kumuona asiyekunya? Ni binadamu? Kwa sababu, kwa mtazamo wako wewe basi kuna ambaye hanyi na ndiye mrembo kwako.

Je, yupo?

Ungekataa kwa sifa nyinginezo, wala usingeona nauliza. Ila kwa sababu hiyo ni sifa universal za kila binaadam, potelea mbali mwanamke, nimeshurutika kuuliza.

Acha upoyoyo wa kutaka kuonesha utofauti. Mpaka unapitiliza.
 
Ajavu ukishakuvulia chupi anabaki wa kawaida tu.
Hawa vijana wengi wanagonga Grants za weekend wana upwiru sasa hivi hata ukimuweka Lizzie Velasquez hapa wengine watakuonesha urembo wake tu.

Lizzie_Velasquez_2017.jpg
 
Wewe ni hewa.

Wala mimi sijasema mwanamke huyo ni mrembo. Nimetatizwa na kauli yako kuwa kama anakunya basi si mrembo.

Hivi, umewahi kumuona asiyekunya? Ni binadamu? Kwa sababu, kwa mtazamo wako wewe basi kuna ambaye hanyi na ndiye mrembo kwako.

Je, yupo?

Ungekataa kwa sifa nyinginezo, wala usingeona nauliza. Ila kwa sababu hiyo ni sifa universal za kila binaadam, potelea mbali mwanamke, nimeshurutika kuuliza.

Acha upoyoyo wa kutaka kuonesha utofauti. Mpaka unapitiliza.
Bwashee vita yenu komaeni nayo mwenyewe 😅
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom