Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,214
- 150,505
Nimekupa somo kubwa la kifalsafa kuwa binadamu wote tuna mapungufu na hivyo hakuna mrembo hivyooo.Wewe ni hewa.
Wala mimi sijasema mwanamke huyo ni mrembo. Nimetatizwa na kauli yako kuwa kama anakunya basi si mrembo.
Hivi, umewahi kumuona asiyekunya? Ni binadamu? Kwa sababu, kwa mtazamo wako wewe basi kuna ambaye hanyi na ndiye mrembo kwako.
Je, yupo?
Ungekataa kwa sifa nyinginezo, wala usingeona nauliza. Ila kwa sababu hiyo ni sifa universal za kila binaadam, potelea mbali mwanamke, nimeshurutika kuuliza.
Acha upoyoyo wa kutaka kuonesha utofauti. Mpaka unapitiliza.
Waswahili wanasema hakuna kizuri kisicho kasoro.
Ila wewe akili ndogo hujaweza kulielewa somo hili.