Nana dolls

Nana dolls

Status
Not open for further replies.
Hana cha ziada kuwashinda wale wa mtaani kwako.

Mimi naanza kupata shaka sana nini kinaendelea hapa.

Yani hapa unaweza kuta mwamba min -me kala kandarasi ya kumpigia chapuo binti upepo umuendee vyema biashara matangazo na watu wanajaa tu bila kutumia jicho la tatu la akili kumkichwa.

Wanatumia jicho la tatu la katikati ya miguu tu 😂😂
 
Mkuu,

Si kila mwanamme ana udhaifu wa kutaka wanawake wengi, wanawake wazuri wote.

Kuna wanaume wamejisoma, wamejielewa na wamejua kuwa huo ni udhaifu. Wameona kuwa wanaume wanapata matatizo mengi kwa kutoweza kushinda tamaa zao za wanawake.

Wameushinda udhaifu huo.

Sasa wewe unaongelea kitu ambacho wengine wanakiona kama udhaifu kama kitu kizuri.

Hatuwezi kuelewana kwa sababu hatuna falsafa zinazofanana za maisha.

Mimi najiona naepuka udhaifu wa wanaume wengi. Kwa sababu najiona mimi ni zaidi ya wanaume wengi.

Wewe unaniona najipa moyo.

Halafu sijasema nataka asiyekunya, hiyo tafsiri ni ya mtu mwenye tatizo la kusoma kwa ufahamu, anayefanya logical non sequitur fallacy.

Naweza ku deconstruct hoja nzima ya "demu huyu mzuri balaa" kwa kuonesha wote wana mapungufu, halafu nikawa na wangu mwenye mapungufu yake ambayo nimeyakubali.

Point kubwa hapa ni kwamba beauty is subjective, hakuna kizuri kisicho na kasoro na we are all human and fallible.

Mimi nishacheza na watoto wa kimataifa New York City mpaka sasa nashangaa cha ajabu ni kipi kwa huyo binti, yani hata tukiondoa masuala controversial ya hanyi au anakunya, sawa inawezekana mzuri kwa standards zenu, siwezi kusema ni mbaya, lakini uzuri wa kusumbua mtu mpaka kuanzisha thread maalum mbona sijauona bado? Huyo kuna sehemu nyingi akipita anaonekana average tu.

So, inawezekana hamuijui dunia tu, au inawezekana ana stories nyingine nyingi zilizowafikisha hapo ambazo mimi sizijui.

Labda mmemuona anavyobiduka sehemu sehemu na mimi sijaona kwa hiyo naweza kuwa simuelewi kama nyie 😂😂
Mimi hata simfahamu, ndipo kwanza namuona na kumsikia leo.

Unatafuta kasoro ya kijinga ili usijisikie mnyonge.

Wewe ni wale wa 'sizitaki mbivu hizi' mtu unaposhindwa kufikia kitu fulani kizuri, kubali tu hujafika standards hizo sio kuanza kukiponda ili kujifariji kwamba hakifai...
 
Mimi naanza kupata shaka sana nini kinaendelea hapa.

Yani hapa unaweza kuta mwamba min -me kala kandarasi ya kumpigia chapuo binti upepo umuendee vyema biashara matangazo na watu wanajaa tu bila kutumia jicho la tatu la akili kumkichwa.

Wanatumia jicho la tatu la katikati ya miguu tu 😂😂
Bwashee, nahama hii bar nahisi kuna watu wananidukua 🤣🤣🤣
 
Mimi hata simfahamu, ndipo kwanza namuona na kumsikia leo.

Unatafuta kasoro ya kijinga ili usijisikie mnyonge.

Wewe ni wale wa 'sizitaki mbivu hizi' mtu unaposhindwa kufikia kitu fulani kizuri, kubali tu hujafika standards hizo sio kuanza kukiponda ili kujifariji kwamba hakifai...
Hapana mkuu,

Nimeishi New York City for decades, nimeenda ma concert ya PDVSA na watoto wa ki Venezuela, nime party na Black Royalties sororities za Spelman, nime chill na real European princesses Riverdale na The Hamptons, nime crush Daughters of the Revolution in Georgetown.

Why am I even telling you these things, you don't even know what I am talking about.

Hao wanawake wenu waliojaa UTI nikisema sioni cha ajabu ni kwa sababu sioni cha ajabu.

Tunaishi maisha tofauti usione tunakutana JF tu ukafikiri tuko sawa.
 
Hapana niko home.

Ngoja nitoa upwiri kwanza halafu kesho nitarudi kuangalia picha mrembo huyu ili nijue iwapo kinachofanya nimuone wa ajabu ni upwiri ama laa.
Hiko swali kulijibu vizuri inatakiwa umkamate mwenyewe, si ulimalize kwa kujichukulia sheria mkononi 😂😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom