Akili za kipumbavu hizi.Huyo mtoto ni maini matupu, sijaona binti mrembo kama huyo kwenye tasnia ya sanaa, katoto katamu sana kana akili ya haraka mno .
Ngoja nisake pesa ili siku moja nije niweke hata kidole tuView attachment 3650769
Bwashee nimeshaanza kuingiwa na pepo mchafu hapa.Fungal tu bwashee, ila huyo mtoto nataka niweke hata kidole tu bwashee 😅
Karen bujuluKuna ile pisi aliyoiacha Jux kabla kuoa huyu mnigeria. Ile pisi Black Beauty flan hivi amazing sijui ndo wanaita maji ya kunde sijui chocolate. Sijui anaitwa nani yule Dada. Unajua kuna tofauti kati ya mwanamke mzuri na mrembo. Ila kuna wanawake wanavyo vyote. Tatizo tunatofautiana kujudge uzuri wa mwanamke, kuna wengine ni ule weupe, wengine makalio, wengine sura.
Yeah ni mzuri kiasi chakeKuna ile pisi aliyoiacha Jux kabla kuoa huyu mnigeria. Ile pisi Black Beauty flan hivi amazing sijui ndo wanaita maji ya kunde sijui chocolate. Sijui anaitwa nani yule Dada. Unajua kuna tofauti kati ya mwanamke mzuri na mrembo. Ila kuna wanawake wanavyo vyote. Tatizo tunatofautiana kujudge uzuri wa mwanamke, kuna wengine ni ule weupe, wengine makalio, wengine sura.