Namzimia sn huyu

Namzimia sn huyu

Rogie

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
7,600
Reaction score
6,721
jamani, msema kweli mpenzi wa Mungu huyu dada naezimia vibaya mno naheshimu mipaka but nimeona nitoe dukuduku langu.
 

Attachments

  • Wastara2.jpg
    Wastara2.jpg
    6.5 KB · Views: 526
Anaitwa Wastara yuko bongo hii hii mkuu
 
kaka huyo si ni mke wa mtu? nadhani sasa unatafuta balaa!
hapo ni bora usahau,jaribu kwingine?
 
Ndiyo maana nikasema naheshimu mipaka kaka, ila i wish nije kupata wa mfano wake.
 
Mijitu mingine bana!!!mbona wa kawaida sana mkuuu???
 
sijaanza kumsikia na kumuona leo kaka. kwani umeshawahi kusikia ana scandal yoyote bongo hii!!??
 
huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake???
Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae.
 
huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake???
Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae.

Duuh hapo ntakuwa nachezea sharubu za simba. Naimani ntampata Inshallah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom