Rogie JF-Expert Member Nov 22, 2010 7,581 6,675 May 23, 2011 Thread starter #61 chatu dume said: Mkuu sasa unataka tukusidiaje???????????? Click to expand... Km kuna mtu anamfahamu wa kufanana nae anishtue nipige misele
chatu dume said: Mkuu sasa unataka tukusidiaje???????????? Click to expand... Km kuna mtu anamfahamu wa kufanana nae anishtue nipige misele
4 4 PRINCE Senior Member Mar 27, 2011 142 7 May 24, 2011 #63 Mke wa mtu ni sumu.jifunze kuzimia mahala ambapo hakuna aliezimia kwanza.
wende JF-Expert Member Sep 6, 2009 714 65 May 24, 2011 #64 rogi said: Ndiyo maana nikasema naheshimu mipaka kaka, ila i wish nije kupata wa mfano wake. Click to expand... apo sawaa! mwachie mwenzio alishawahi....ofcoz wa namna hii bongo wapo.
rogi said: Ndiyo maana nikasema naheshimu mipaka kaka, ila i wish nije kupata wa mfano wake. Click to expand... apo sawaa! mwachie mwenzio alishawahi....ofcoz wa namna hii bongo wapo.
ALLEX JF-Expert Member Mar 15, 2011 2,006 343 May 25, 2011 #65 Wewen rogi acha tamaaa kumbe unajuwa nimke wa mtu???????? `utafinywa` wewe then tukuone laivu magazetini..kumbuka kwenye moshi kuna moto...
Wewen rogi acha tamaaa kumbe unajuwa nimke wa mtu???????? `utafinywa` wewe then tukuone laivu magazetini..kumbuka kwenye moshi kuna moto...