Namwambia Mungu

Namwambia Mungu

Mkuu Slow Down Kidogo Basi...!!!
Ulimuita kutoka wapi?

Alifanya vitu gani?

Usije kua umejifanya kusalia vitu kumi vikafanikiwa vitu 8 kwa sababu ya circumstances za dunia ukaamua kumpa sifa huyo mtu wa kufikirika ukadhani upo sahihi

Kwanza tu kusalia vitu 10,vikafanikiwa vitu 8 inaonesha huyo mungu hayupo maana anafanyakazi kwa probability..yaani success rate yake ni 80%

Mungu anaefanya kazi kwa probability ni mpumbavu maana mi mwenyewe naweza msaidia mwanadamu all 10 requests at the rate of 100% success!

Unajidanganya tu
 
Pole sana, badili mazingira ikiwezekana hata mkoa. Kama haeleweki fanya maamuzi magumu ili umsahau maazima....najua utaumia kwa muda ila with time utazoea na hutaumia tena. Huyo asiyeeleweka anaweza rudi ila akupatie mateso ya kila siku ....ila ukisonga mbele utaumia mara moja mbeleni utapoa.
Kuhusu watoto ni kweli unaumia lakini ukiumia hadi ukifa ndio utawalea?? So ni vyema ufanye maamuzi magumu ila yatakayofaa baadaye.
Kuhusu uchumi Mungu ndio mgawa riziki endelea kumtumaini atakuletea kwa wakati wake, kwa sasa usichague kazi hata ukuli kafanye usongeshe maisha huku ukipigana kutafuta kilicho bora.
Maisha ni mafupi kuyapoteza na maumivu na Majuto....amka jifute vumbi ikimbie hali yoyote inyokurudisha nyuma.
Mkuu Hii nipoint ya Muhimu Sana Hata Mimi kuhama mazingira kumenisaidia Sana Kutambua Thamani yangu...!!! But Tutashinda
 
Feeling sorry for you

Maisha yana Milima na mabonde kila mtu na yake kwa wakati wake

Kikubwa kila mtu mzigo wake anauwezo wa kuubeba

Unaweza kuutua ukashangaa umewezaje.

MUNGU AKUSAIDIE
 
Feeling sorry for you

Maisha yana Milima na mabonde kila mtu na yake kwa wakati wake

Kikubwa kila mtu mzigo wake anauwezo wa kuubeba

Unaweza kuutua ukashangaa umewezaje.

MUNGU AKUSAIDIE
Kweli Madame
 
Inaonekana Mungu anajua wajibu wake kwako, yote hayo yaliyokutokea yameandikwa ili kudhihirisha utukufu wake. Ila pambana na tafuta ushauri kwa Jr Mshana.
Huyu Jr Mshana si mzee wa tunguli huyo?
 
Kwako Mungu baba mlezi wa dunia na Mbingu.

Am broke Guy, dhaifu na mdhambi!

Najua mengi mazuri umenitendea zaidi hata Sasa unanifanyia mengi mazuri nashkuru kwa yoote.

Dua na Sala ni udhihirisho wa imani kwa matendo. Nami sitosita kuendelea kutimiza kwakua najua wewe ni msikivu na mwaminifu.

Mungu mlezi wangu hii ndio status/ hali yangu kwa Sasa

1. Spiritual - down
2. Financial - broke
3. Relationship - broke
4. Ideas - broke.

Najihisi kupoteza imani kwa Yale nayapitia nakose nguvu hata za kupiga magoti kusujudu kukulilia kutokana na mfululizo wa matukio magumu uliyoruhusu niyapitie. Niokoe kwa Hilo Mungu baba mlezi wangu.

Nilipoteza kazi, ukanipa biashara nayo ikafa Sasa Sina la kufanya na majukumu yamenielemea hata watoto ulionipa nashindwa kuwatunza.

Ukanipa Ndoa Nikaipenda ndoa yangu nayo ukaruhusu isambaratike japo nilikuomba ndoa yangu idumu kwakua sikutaka wanangu wakue na single parent Kama niliyoyapitia Mimi. Nimebaki mwenyewe na watoto tunamsubiria Mama yao atarudi lini. Ingilia Kati Baba

Ulinibariki nikawa mtu smart mwenye mawaZo very constructive and attractive, now days siko hivo Tena kwa Sababu Nina experience failure nyingi kuliko mafanikio kwakipindi kirefu Sasa. Naogopa hata kufanya maamuzi japo maisha ni maamuzi.

Najua maombi ni Siri, lakini nayaandika haapa ili kesho iwe ushuhuda kwamba nalikuita ukaniitikia, ukanifuta machozi na kuniinua Tena.
Katikati ya Giza Nene hili Bado Kuna sauti ndogo inaniambia Mimi ni mshindi, nami nimeamua kuisikiliza kwa makini nakuishikilia.

Ombi hili Baba Mungu liwaguse wote wanaopitia changamoto katika maisha yao!
Amin

Maneno yana nguvu sana
Sala zako jifunze kunena maneno chanya tu
Hii sala umechanganya maneno hasi na chanya so zero effect
Umeanza na kusema current situation you’re a broke guy hii sio sawa
Unatakiwa ukiri yale unayotaka kuwa kama ndio hali halisi ya sasa
 
Mnh.... What a Coicedence....!!!! Mkuu Kweli Duniani wawili wawili... Na Mimi natembea katika Njia hiyo hiyo.... Tafadhali tusife Moyo. Leo Asubuhi nimejitazama kwenye Kioo nikajiambia Lazima Lengo la kuja Duniani Litimie.....!!!! Tutavuka... Never Stop The Race.....!!!!
Amen tusikate tamaa lipo tumaini
 
Maneno yana nguvu sana
Sala zako jifunze kunena maneno chanya tu
Hii sala umechanganya maneno hasi na chanya so zero effect
Umeanza na kusema current situation you’re a broke guy hii sio sawa
Unatakiwa ukiri yale unayotaka kuwa kama ndio hali halisi ya sasa
Bwana atatenda amesema njooni tusemezane
 
Shida Nini
Tafuta kazi ufanye km UNATAKA pesa...Mungu muombe akupeleke mbinguni basiii
 
Yeah it is real working ...
With time kila kitu kitabakia historia ...
Mtoto wa mwenzako asikufanye ukaiona dunia ni chungu
Kweli kabisa... Huwa Nasema Ukiona Mtu kakukataa ujue kaamua siyo Bahati Mbaya...!! Hivyo huwezi kumbembeleza akakuelewa. Japo inaumiza Sana Kama ulimpenda Mtu kwa Dhati..But with time tunapona
 
Back
Top Bottom