Namuunga mkono Rais Magufuli 100% kuendeleza Chato

Namuunga mkono Rais Magufuli 100% kuendeleza Chato

Kama hayo yanayofanyika Chato yangefanyika huko,leo tusingekuwa na uwanja wa Mkapa pale DSM!..

Wamjulie wapi hao? Unapoteza muda wako kuwaelemisha hao ni bora bundle lako ufanyie kitu kingine cha maana kuliko kukomaa kuwaelimisha hao watu wakijani.
 
Si ajabu wewe ni darasa la saba, hivyo kujibizana na wewe ni kupoteza muda... Ignore ! and if comes worse, block!
 
Kama hayo yanayofanyika Chato yangefanyika huko,leo tusingekuwa na uwanja wa Mkapa pale DSM!...

Lakini hafanyi Chato peke yake tunaona miradi kila sehemu. Huku Arusha tuna miradi mingi sana inaendelea na Mikoa mingine pia. Hivyo waliotangulia wamefanya makubwa sana kwa Tanzania ila walikuwa na nafasi pia yakufanya na maeneo wanayotoka.

Mimi sifurahii kabisa jinsi Musoma, Mkuranga, Masasi na Bagamoyo zilivyo. Hapa siongelei kabisa mawaziri naongelea Head of States
 
Lakini hafanyi Chato peke yake tunaona miradi kila sehemu. Huku Arusha tuna miradi mingi sana inaendelea na Mikoa mingine pia. Hivyo waliotangulia wamefanya makubwa sana kwa Tanzania ila walikuwa na nafasi pia yakufanya na maeneo wanayotoka. Mimi sifurahii kabisa jinsi Musoma, Mkuranga, Masasi na Bagamoyo zilivyo. Hapa siongelei kabisa mawaziri naongelea Head of States
Yaani apeleke mamiradi ambayo hayana tija nyumbani kwake kisa tu ni head of state!Nyerere alipinga sana jambo hilo,miradi ifanyike kulingana na mahitaji ya wakati husika na vipaumbele!

Sasa unaenda kujenga uwanja kama wa Mkapa Chato,utakuwa na tija gani?

Unaenda kujenga hospitali ya rufaa Chato ili ihudumie Kanda nzima,kweli?Badala Mara ambako ipo serengeti Mbuga namba moja africa kuwa kitovu cha utalii kanda ya ziwa,kitovu kinafanywa kuwa Chato!Hii kweli ni akili?

Umetembelea wilaya nyingine zilivyo hoi?Mvua ikinyesha kidogo tu basi wanakunywa tope na si maji,halafu mtu anaenda kujenga li uwanja la kimataifa kusiko na uhitaji ili mradi ni nyumbani!

Shame!
 
Tumia vizuri akili yako kufikiria.
Pesa zinazojenga chato hazitoki mifukoni mwa Magufuli, ni za walipa Kodi wa Tanzania nzima.
 
Mtu kwao lakini kurundika miradi ya taifa kwenye eneo mmoja bila sababu za msingi initia shaka.

Lakini hii tabia ya kurundika miradi sehemu mmoja haijaanza leo,tulishuhudia viwanda vingi na taasisi nyingi zikirudikwa maeneo fulani kwa miaka mingi tokea ukoloni na hadi wakati wa uongozi wa Raisi Nyerere, japo yeye hakupendelea kwao
 
Hakuna Rais ambaye hakuendeleza eneo alilolichagua yeye! Hii ni kwasababu waliomtangulia Rais Magufuli hawakutaka kuendeleza kwao kwani hawakutaka kurudi waliendelea kula bata mjini!!!!
  • Wengine walijenga ukweni
  • Wengine waliwekeza Wilaya nyingine na kufanya ndio makazi yao
  • Wengine waliwekeza nje ya nchi
  • Wengine wamewekeza kwenye ma biashara lukuku nje na ndani ya nchi
  • Wengine mpaka leo makwao ni kama kituo cha Polisi.
  • Wengine wanasubiri wakifa ndio wakazikwe huko kwao!
 
Tukutane chillars pub jioni nikutoe bia mbili tatu ili siku yako uimalizie vizuri!
Weekend hii nina lock down kwa manzi flani mitaa ya k-nyama,kwa ninavyomjua Happy mambo yake hatoniruhusu nitoke mpaka j'pili jioni.
Anakatabia ka-kuloweka nguo kwenye beiseni[emoji23][emoji23]
Jua lenyewe linatoka kwa taabu zitakauka lini Mungu wangu[emoji23]
 
Weekend hii nina lock down kwa manzi flani mitaa ya k-nyama,kwa ninavyomjua Happy mambo yake hatoniruhusu nitoke mpaka j'pili jioni.
Anakatabia ka-kuloweka nguo kwenye beiseni[emoji23][emoji23]
Jua lenyewe linatoka kwa taabu zitakauka lini Mungu wangu[emoji23]
Nenda na kibegi umebeba PC,humo penyeza nguo za ziada!
Kuanzia saa 12 leo ni bata batani!
 
Utakuta ni mdingi mwenye mvi hadi matako kaandika huu ujinga.
 
Si ajabu wewe ni darasa la saba, hivyo kujibizana na wewe ni kupoteza muda... Ignore ! and if comes worse, block!

Ni MBA Holder najuwa ninachokiandika however even a STD Seven leaver could make same case - It doesn't need a rocket science to analyse that.
 
Ambao awakufanya kwao sio wajinga waliepusha madhara yake ni makubwa Sana
 
Kama utajengwa uwanja wa kimataifa wa Moira chato, Basi Kuna siku Simba yanga na Azam wataamuliwa wajenge ofisi chato na michezo yote mikubwa itaamuliwa ichezwe huko na hakuna wa kupingaa
 
Wenzangu wa Katavi tuombeane, mwaka 2035 ni zamu yetu
 
Back
Top Bottom