BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Nimeshawahi kusikia Watanzania wakiwalalamikia Marais waliopita kwamba hawakufanya mambo ya maana makwao kama Baba wa Taifa hakufanya mambo ya maana Musoma vivyo hivyo Mkapa hakufanya mambo ya maana Masasi.
Nami naungana nao kuwalaumu. Kikwete hakufanya mambo ya maana Bagamoyo na Mwinyi hakufanya mambo ya maana Mkuranga.
Hivyo basi naunga mkono yote anayofanya Magufuli kule Chato kwani miundombinu anayoitengeneza Chato ni kwa ajili ya Watanzania wote kama tukiingalia kama fursa.
Huwa najiuliza kama anayofanya Magufuli Chato yangefanywa na viongozi waliotangulia Musoma, Mkuranga, Masasi na Bagamoyo, Je leo Tanzania ingekuwa wapi?
Hivyo watu waache kukaa kwenye vijiwe na kuanza kumsema Rais kwa miundombinu inayofanyika Chato ila waichukulie kama fursa.
Nami naungana nao kuwalaumu. Kikwete hakufanya mambo ya maana Bagamoyo na Mwinyi hakufanya mambo ya maana Mkuranga.
Hivyo basi naunga mkono yote anayofanya Magufuli kule Chato kwani miundombinu anayoitengeneza Chato ni kwa ajili ya Watanzania wote kama tukiingalia kama fursa.
Huwa najiuliza kama anayofanya Magufuli Chato yangefanywa na viongozi waliotangulia Musoma, Mkuranga, Masasi na Bagamoyo, Je leo Tanzania ingekuwa wapi?
Hivyo watu waache kukaa kwenye vijiwe na kuanza kumsema Rais kwa miundombinu inayofanyika Chato ila waichukulie kama fursa.