Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Pesa haiwezi tolewa kama ubwabwa wa Rungwe kila mtu ajichotee.
Business principles zinataka iwepo management thabiti ku controll hiyo pesa.
Kusikia tu harufu ya 20b Kigwangala anataka kuzikopa, na wengine wapo pembeni kuzifaidi!
Ukilipa mahari ukweni unawapangia matumizi??simba siyo mali yake ni mali ya wanachama sasa kama unataka kufanya biashara au kumiliki sharti abide na wenye mali

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpumbavu Ni sifa yako Wala sijakutusi, unakomaa billion 20 Kama vile wewe una mchango wowote kwenye Simba Zaidi ya kupotosha tu, utopolo fc nyamaza!
Na shukuru sana ila ukweli utabaki pale pale mo asali sana tuendele kupata matokeo la sivyo utakuja kuniomba radhi siku moja hapa

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Simba si Mali ya wanachama.
Ni Mali ya wanahisa. Au hujui katiba imebadilika?.

Simba Ina wanahisa, viongozi (wanaolipwa) na mashabiki.

Hizo hela za Moh hata akitoa ww hunufaiki na chochote kwa mfumo wa Hela Bali washabiki wananufaika na matokeo mazur na mpira mzuri.

Wananufaika wenye Hisa wenzake tu.
Maana mwisho wa mwaka vikao vitakaa kuona
Gharama za uendeshaji - Mapato = Faida.

Then Faida wanagaiwa wenye hisa.

Ndio ilivyo sasa kikatiba.

Mo anatoa Bill 5.5 kila mwaka kutoka budget ya Bill 1.5 hapo awali.

Je hizi Bill 5.5 zinazoingia kwenye budget sio part ya hizo Bill 20 anazotakiwa alipie Hisa?.
Au kwann anatoa hizi wakati kisheria alitakiwa atoe Bill 20, then akae aaangalie zinavyozunguka na kutoa faida.


Ukishatafakari haya.
Jiulize kazi ya CEO ni nini kwenye kampuni yoyote.

Tukirud kwa Hamisi,
Kwann hili limeibuka Leo na sio wakati wa Senzo?. Je angechaguliwa CEO mwingine ambaye hafahamiki na Mo , Hamisi angekuwa bado na shida na kuhoji Bill 20?.

Kama asingekuwa na shida basi ni chuki binafsi anazo na Moh kuona Moh amempa mtu anaemjua kazi ya CEO.

Na bado Hamisi hajui Simba kampun inavyoendeshwa.
Maana kazi ya CEO ni kuletea kampuni yoyote Faida.

Sasa utampaje mtu ambaye hujui utendaji kazi wake ili atengeneze Faida.

Senzo hakubuni miradi mingine ya kuketea Kampuni faida.
Umeonge point sana,je ili kupata hisa kwenye entity yoyote unatakiwa kufanya nini?? Je hizo 49% mo amelipia anapata wapi hualali wakufanya maamuzi wakati hajawa mwana hisa halali?

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Matusi hayasaidii kitu mbali na kuweka upeo wako haiwezekani jambo lifanyike kienyeji la kumteua secretari wake kuwa mtendaji mkuu wa klabu tunyamaze eti kwa sababu tunapata matokeo maziri kwanza aweke B20 asikwepe
 
Umeonge point sana,je ili kupata hisa kwenye entity yoyote unatakiwa kufanya nini?? Je hizo 49% mo amelipia anapata wapi hualali wakufanya maamuzi wakati hajawa mwana hisa halali?

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

DSE - Dar es salaam Stock Exchange inahusika na kuuza Hisa ya kampuni yoyote.
Kampuni inatangaza kutoa umiliki (initial Puplic offering -IPO ) ya Hisa kadhaa na kampuni husika wanapanga wauzeje hivyo vipande vya hisa,
DSE yenyewe inaratibu kisheria na kwa uwazi huo mchakato.


Simba bado haijapeleka Haya kwa DSE, wanadai wako kwenye utaratibu wa kufanya Haya yote na yakikamilika Moh atanunua Hisa za asilimia 51 zenye thamani ya Billion 20 na Bodi ya kipindi kile ilihafiki.
Kwahiyo Simba haipo DSE kwa sasa.

Wakati Haya yakifanyika/kusubiria huo uwekezaji, bodi iikaamua kuchagua mwenyekiti na wakamchagua Moh.

Moh akasema anadhamini timu Bill 5.5 kila mwaka kama hatua ya awali ya kuja kuchukua Hisa 51%.

Mwenyekiti ana maamuzi.
Hapa Mo anaamua kama mwenyekiti na sio kama mwenye Hisa mkuu.

Nadhan nimekujibu maswali yako
 
Matusi hayasaidii kitu mbali na kuweka upeo wako haiwezekani jambo lifanyike kienyeji la kumteua secretari wake kuwa mtendaji mkuu wa klabu tunyamaze eti kwa sababu tunapata matokeo maziri kwanza aweke B20 asikwepe
Etiii kisa sisi ni masikini hatuna sauti thubutj
 
DSE - Dar es salaam Stock Exchange inahusika na kuuza Hisa ya kampuni yoyote.
Kampuni inatangaza kutoa umiliki (initial Puplic offering -IPO ) ya Hisa kadhaa na kampuni husika wanapanga wauzeje hivyo vipande vya hisa,
DSE yenyewe inaratibu kisheria na kwa uwazi huo mchakato.


Simba bado haijapeleka Haya kwa DSE, wanadai wako kwenye utaratibu wa kufanya Haya yote na yakikamilika Moh atanunua Hisa za asilimia 51 zenye thamani ya Billion 20 na Bodi ya kipindi kile ilihafiki.
Kwahiyo Simba haipo DSE kwa sasa.

Wakati Haya yakifanyika/kusubiria huo uwekezaji, bodi iikaamua kuchagua mwenyekiti na wakamchagua Moh.

Moh akasema anadhamini timu Bill 5.5 kila mwaka kama hatua ya awali ya kuja kuchukua Hisa 51%.

Mwenyekiti ana maamuzi.
Hapa Mo anaamua kama mwenyekiti na sio kama mwenye Hisa mkuu.

Nadhan nimekujibu maswali yako
49% kaka ila anadhamini simba kwa mkataba wa muda gani mbona hatujajulishwa kama wanachama ?
 
49% kaka ila anadhamini simba kwa mkataba wa muda gani mbona hatujajulishwa kama wanachama ?

Bodi inajua ni mkataba wa muda gani kudhamini Simba kwa kupitia Mo extra energy .

Bodi inajua pia kuhusu kumruhusu kuwekeza hizo hela kabla ya kuja kununua Hisa 49%.

Now anafanya yote hayo kwa kupitia nguvu ya uwenyekiti alionao.
 
Mh. Kigwangala kwenye siasa huwa simuelewi kabisa ila kwenye suala la Simba ana point kubwa sana, CEO wa simba si suala la gender wala experience kwenye soka maana sio CEO wa kwanza kwenye soka. Je, kwa nini awe na vinasaba na moja kati ya mtu anayetaka kuinunua club ya wanachama?

Simba siyo NGO binafsi ya Mo ni taasisi ya kubwa ya mamilioni ya watu ambayo inahama kwenda kwenye corporate entinty nafasi kama ya CEO ambaye ni mtendaji mkuu wa club lazima itangazwe kwa absolute transparent maana interest ya mamilioni ya watu relay to her hatutaki mtu biased hasa tunaopoelekea kwenye mchakato wa mabadiliko.

Our future must be secured, siyo kwa sababu tunapata matokeo basi mambo yafanyike kienyeji tu bila weledi mkubwa, suala la kukopa kwa kila mpambanaji ni kawaida tu as longer analipa kwa wakati!!

NB: Yajayo yanafurahisha, tuendele kupata matokeo lasivyo aaaah, Mo kwenye 20b anakuwaga Mwamedi.



Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ya Kigwangala Ana point Sana, tatizo hizo point hazisajili Wala hazilipi Mishahara.
 
Kingwa hajui hata akilipa hizo Bill 20, kesho akitaka kujitoa anauza Hisa zake, sasa anaweza akapata faida kama Simba umepata faida au hasara kama Simba imepata hasara.
Hiyo Bill 20 anaweza akaweka Alaf baada ya miaka mitano akatoa Bill 40. Au akatoa bill 10.
 
Ya Kigwangala Ana point Sana, tatizo hizo point hazisajili Wala hazilipi Mishahara.
Hizii pesa za dezo ndio zinaleta masimango
jamestupatupa_20200906_122600_0.jpg
 
Nashukuru kwa tusi lako ila simba siyo mali ya familia ya dewji ni swala la muda tu kabla haingia kumi 18 za watu hatapona kama ataleta janja janja simba inabeba maslahi makubw ya watu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
wewe umechangia sh ngapi mkuu mo.anachelewa kutoa b.20 tangaza wew kuwa utatoa 30 ili umpiku mo co kutulea ujinga ujinga tu hapa
 
wewe umechangia sh ngapi mkuu mo.anachelewa kutoa b.20 tangaza wew kuwa utatoa 30 ili umpiku mo co kutulea ujinga ujinga tu hapa
Mimi nachangia club kupitia ada yangu ya uwanachama yeye ndio ana hihitaji simba zaidi kuliko tunavyo muhitaji simba ime survive 79 years bila yeye
 
Huwa simkubali Kigwangwala daima, lakini katika hili yuko sahihi na ninamuunga mkono.

Dewji ameonyesha utoto, ujinga, ujanjaujanja na utapeli mkubwa kuhusu uwekezaji ndani ya Simba.
 
Binafsi namuona kigwangwala kama kirusi kinachotaka wana simba waanze kulia bure bure at no longer to come kiepukeni kirusi hicho amkeni na kemeeni kwa nguvu zote
 
Huwa simkubali Kigwangwala daima, lakini katika hili yuko sahihi na ninamuunga mkono.

Dewji ameonyesha utoto, ujinga, ujanjaujanja na utapeli mkubwa kuhusu uwekezaji ndani ya Simba.

Fafanua hili kwa mifano ili Wasioelewa waelewe.
 
Back
Top Bottom