Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Muda ni mwalimu mzuri sana. Kwa mbali naona yale ya Yusuph Manji wa Yanga miaka ile yakijirudia Simba. Watanzania ni wepesi sana wa kusahau.
 
Lazima tujiulize... unauliza 20b km kiongozi, kama shabiki ama nani.

Ikiwa ni kama kiingozi.. tunataka wewe unaeuliza, jukumu na mchango wako ni upi mpaka sasa kufanya uhoji 20b?

Ikiwa kama shabiki... unataka nini unapoulizia 20b... je yaliyofanyika hadi sasa hayadiserve heko kwa huyo uneyemuuliza 20b kaweka wapi?
Je hufurahii matokeo ya simba ya sasa
Je wachezaji wanalalamika au hawana morali..

Mashabiki wa simba ama wengineo mnaoleta chokochoko acheni hizo... mo anaweka pesa lengo afaidike pia... na katika uwekaji hizo pesa lazima kuwe nautaratibu.. kumbuka wako katika kipindi cha mabadiliko.. simba pesa zilikua zinaliwa hovyo hovyo na walaf wachache bila kuonesha faida... kwa hiyo wakati huu lazima kuwe na utaratibu wa usimamizi, kujenga uaminifu ili maendeleo yaongeze kazi katika club.

Acheni wafanye kazi.... sisi mashabiki tufurahie matokeo tu... hata kama akiweka iyo 20b kwe akaunt... kama shabiki huwezi pata hata mia.... shabiki jukumu lako ni kushangilia tu... na wao kazi yao ni kutupa furaha tu... mo kazi yake ni kuhakikisha club inatoa burudani kwa namna yeyote.
 
Shida ni 20b

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Pumbafu wewe! Mo alieleza bayana kuwa mchakato haujakamilika ili aweke hizo pesa, Sasa wewe unakomaa na billion 20 ukiwa Kama Nani? Tangu Mo aingie Simba huoni Mambo yalivyo mazuri?


Sidhani Kama wewe Ni mwanasimba halisi, Kama wewe Ni mwanasimba halisi na unaenjoy Mpira wa simba basi ujue Ni pesa za Mo, akitoka tu njaa inarudi hao akina Chama hutowaona Tena.

Acheni ujinga, mwacheni Mo hata akichukua team kikubwa tunataka burudani sisi, hizo billion 20 zikiwekwa ndo mafarakano yataanzia hapo.
 
MO akitaka kubaki salama, aunde club yake na aendelee kuwa shabiki wa Simba.
Timu ya Simba ina mashabiki wengi wenye madaraka Serikalini.
Haingii akilini MO akiingia uwanjani akashangiliwa kuliko Rais ambaye naye ni shabiki wa Simba.
Mtawala huwa hapendi mwanainchi wa kawaida kuwa maarufu kuliko yeye.
MO akianza kupingana na Kigwangala mwisho wa Siku ataanza kupingana na Majaliwa na kumalizia na MH. Magufuli.
Rais Mstaafu Kikwete alisema, hatutaki club inayomilikiwa na mtu moja.
Michezo ni burudani na tunataka kushangilia kilicho chetu na si cha mtu.
Msahafu unasema .
"Ole wake mtu yule amuaminiane mwanadamu kama kinga yake, mbinguni amelaaniwa"
Club ya Simba sasa inamuamini MO kama kinga yao, mbinguni wamelaaniwa.
Je kesho Mo kama hayupo Duniani club ya Simba itakuwa na hali gani?
Let us think beyond one year.
Msiwe wajinga wa kibiashara .
Simba imetaka kujiendesha kibiashara na muwekezaji kapatikana, Mo.

Mtu hawezi wekeza 20b halafu ikaliwe na kutafunwa na wajanja, lazima awepo mtu wa muwekezaji kutazama pesa inatumika ipasavyo.

Ona sasa, tayari kuna watu kama Kigwangwala wanaona pesa inataka kuingia, eti wanataka “mkopo“ wa pikipiki!
Kwani benki hawazioni?
Tatizo waswahili tunafikiria kuna easy money, without any control.
 
Ukiacha Mo kuwa shabiki wa Simba,
Ni mfanyabiashara. Kwahiyo anatamani Simba ifanye vizur ili na yeye apate hela kama Muwekezaji.

Na ukiacha hilo la hisa, Mo anatoa billion 5.5 kwa mwaka kuendesha Simba kutoka budget ya Billion 1.5 iliyokuwa awali.

Turudi Kwa Hisa sasa.
Sheria inamtaka kulipa Hizo Billion 20. Kuwa mmiliki halali wa Simba kwa asilimia 51.

Hizo Billion akilipa zitaenda Bank (mtaji) na zitatolewa kuendesha Timu kama zikihitajika kwa budget husika.

Mwisho wa mwaka , kikao Kikuu cha wanahisa kinakaa kuona Mapato - matumizi = faida.

Faida inagaiwa kwa wanahisa.

Swali , je Hizo Billion 5.5 za Mo ni part ya Hizo Billion 20?.

Na iko hivi, Mo akitoa Bill 20, unakuwa ni mtaji na uzunguke kutafuta faida na mwisho wa siku faida inagawanywa kwel wenye hisa tu. (Sio wanachama au washabiki).
 
Tanzania kuna tatizo kubwa sana. Kuwa shabiki haimaanishi upangie boss nini cha kufanya.

Au wanadhani hata kama MO ataweka hizo 20b watagawiwa wanachama, BIG NO. Watagawiwa wanahisa tu.
 
Mh kigwangala kwenye siasa huwa simuelewi kabisa,ila kwenye swala la simba ana point kubwa sana,CEO wa simba si swala la gender wala experience kwenye soka maana sio CEO wa kwanza kwenye soka je kwa nini awe na vinasaba na moja kati ya mtu anayetaka kuinunua club ya wanachama?

Simba siyo NGO binafsi ya mo ni taasisi ya kubwa ya mamilioni ya watu ambayo ina hama kwenda kwenye corporate entinty nafasi kama ya ceo ambaye ni mtendaji mkuu wa wa club lazima itangazwe kwa absolute transparent,maana interest ya mamilioni ya watu relay to her hatutaki mtu biased hasa tunaopoelekea kwenyw mchakato wa mabadiliko.

Our future must be secured,siyo kwa sababu tunapata matokeo basi mambo ya fanyike kienyeji tu bila weledi mkubwa,swala la kukopa kwa kila mpambanaji ni kawaida tu asa longer ana lipa kwa wakati!!

N:b ya jayo yana furahisha,tuendele kupata matokeo la sivyo aaaah,mo kwenyw 20b anakuwaga mwamedi



Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mwambieni Kigwangala naye awekeze 20b katika Simba, na aweke mtu wake ku manage hizo pesa.
Kasikia kuna 20b tu , anataka kuzikopa!
Waswahili tuna shiiida!
 
Pumbafu wewe! Mo alieleza bayana kuwa mchakato haujakamilika ili aweke hizo pesa, Sasa wewe unakomaa na billion 20 ukiwa Kama Nani? Tangu Mo aingie Simba huoni Mambo yalivyo mazuri?


Sidhani Kama wewe Ni mwanasimba halisi, Kama wewe Ni mwanasimba halisi na unaenjoy Mpira wa simba basi ujue Ni pesa za Mo, akitoka tu njaa inarudi hao akina Chama hutowaona Tena.

Acheni ujinga, mwacheni Mo hata akichukua team kikubwa tunataka burudani sisi, hizo billion 20 zikiwekwa ndo mafarakano yataanzia hapo.
Nashukuru kwa tusi lako ila simba siyo mali ya familia ya dewji ni swala la muda tu kabla haingia kumi 18 za watu hatapona kama ataleta janja janja simba inabeba maslahi makubw ya watu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Wengi hawajui Hisa zinavyofanya kazi.
Including Hamisi.

Hata kama Hizo Bill zingetolewa zingekuwa zimetulia Bank. Na kutoka zinatoka kwa budget Na pia zitengeneze Faida kwa wanahisa.
Kama hilo ndio lengo, ni lazima kuwe na msimamizi.

Sasa CEO kazi yake kubwa ni kuhakikisha Mambo ya kampuni yanaenda kama yakivyopangwa na kampuni inapata faida.

Dada anajua biashara Na ndio maana ameaminika Mo.

Hili wanalofanya hata GSM watacopy.

Kujiita timu ya wananchi wakati huchangii timu yako sio sahihi.

Na ukichangia na timu ikapata faida hupewi hata sent 5.

Thus why ni vema katiba za timu zote zibadilishwe na kuwa za kibiashara zaidi.

Mashabiki tufurahie mpira mzuri na wawekezaji wapate faida .
 
Nashukuru kwa tusi lako ila simba siyo mali ya familia ya dewji ni swala la muda tu kabla haingia kumi 18 za watu hatapona kama ataleta janja janja simba inabeba maslahi makubw ya watu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mpumbavu Ni sifa yako Wala sijakutusi, unakomaa billion 20 Kama vile wewe una mchango wowote kwenye Simba Zaidi ya kupotosha tu, utopolo fc nyamaza!
 
Tunataka uwazi simba ni mali ya wanachama siyo mo chungwa ile .......weka pesa tukupe team

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

Simba si Mali ya wanachama.
Ni Mali ya wanahisa. Au hujui katiba imebadilika?.

Simba Ina wanahisa, viongozi (wanaolipwa) na mashabiki.

Hizo hela za Moh hata akitoa ww hunufaiki na chochote kwa mfumo wa Hela Bali washabiki wananufaika na matokeo mazur na mpira mzuri.

Wananufaika wenye Hisa wenzake tu.
Maana mwisho wa mwaka vikao vitakaa kuona
Gharama za uendeshaji - Mapato = Faida.

Then Faida wanagaiwa wenye hisa.

Ndio ilivyo sasa kikatiba.

Mo anatoa Bill 5.5 kila mwaka kutoka budget ya Bill 1.5 hapo awali.

Je hizi Bill 5.5 zinazoingia kwenye budget sio part ya hizo Bill 20 anazotakiwa alipie Hisa?.
Au kwann anatoa hizi wakati kisheria alitakiwa atoe Bill 20, then akae aaangalie zinavyozunguka na kutoa faida.


Ukishatafakari haya.
Jiulize kazi ya CEO ni nini kwenye kampuni yoyote.

Tukirud kwa Hamisi,
Kwann hili limeibuka Leo na sio wakati wa Senzo?. Je angechaguliwa CEO mwingine ambaye hafahamiki na Mo , Hamisi angekuwa bado na shida na kuhoji Bill 20?.

Kama asingekuwa na shida basi ni chuki binafsi anazo na Moh kuona Moh amempa mtu anaemjua kazi ya CEO.

Na bado Hamisi hajui Simba kampun inavyoendeshwa.
Maana kazi ya CEO ni kuletea kampuni yoyote Faida.

Sasa utampaje mtu ambaye hujui utendaji kazi wake ili atengeneze Faida.

Senzo hakubuni miradi mingine ya kuketea Kampuni faida.
 
Mkuu naona ulijaribu kumix na umombo ili tukujue wewee ni John Kisomo ila kiukweli umechemka
 
IMG_20200906_105733.jpg
Tukutane Mbeya
 
Tunataka uwazi simba ni mali ya wanachama siyo mo chungwa ile .......weka pesa tukupe team

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Pesa haiwezi tolewa kama ubwabwa wa Rungwe kila mtu ajichotee.
Business principles zinataka iwepo management thabiti ku controll hiyo pesa.
Kusikia tu harufu ya 20b Kigwangala anataka kuzikopa, na wengine wapo pembeni kuzifaidi!
 
Huyu Mwamedi bado hajaweka B20 mezani lakini kashaanza kuitumia club yetu anavyotaka yeye. Mimi binafsi ile siku alivyogeuza shughuli ya simba kuwa jukwaa la siasa aliniudhi sana.
Ujue siasa ni stress, watu tumekimbia stress tumekuja kwenye mpira kufurahi, then wewe unatuletea stress za siasa tena.

Hili la CEO ndio limeniacha hoi maana member mwenzetu Shark alishatuletea nyepesi kuhusu huyo CEO tangu mwezi uliopita.

Nadhani hujui kazi ya CEO.

Ww ni shabiki tu na sio mwenye Simba.

Kazi yako kushabikia, Haya mengine waachie wanahisa

 
Back
Top Bottom