Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Ukiona nyuki wamekuwa wakali ujue kuna asali.
Mo akisikia mtu anazungumzia 20bil. Mkali baraa, nakumbuka aliwahi kuhojiwa na wasafi tv kuhusu hizo 20bl. Aliishia kujibu mimi niwakukoswa 20 bl.? Hakika halikuwa jibu! Dr kigwa anahaki yakuhoji maana anajua kila kitu,

Mi najua mo atakuwa kamuweka huyo dada ili aanze kuongeza zero zero kwenye matumizi mpaka 20bl ziishe, itakuwa senzo alimkatalia labda.
Anatakiwa aweke hizo 20bl. Ilisimba ijiendeshe badala yakumtegemea yy.
dah! kuna watu huwa wanachukulia mambo kirahisi sana yaani mo ndio aweke 20b halafu simba ijiendeshe yenyewe au mfano wewe ulie andika upuuzi huu ndio akuachie uindeshe unaijua hiyo pesha aliipataje kwanini usiweke wewe kama ni rahisi hivyo
 
dah! kuna watu huwa wanachukulia mambo kirahisi sana yaani mo ndio aweke 20b halafu simba ijiendeshe yenyewe au mfano wewe ulie andika upuuzi huu ndio akuachie uindeshe unaijua hiyo pesa aliipataje kwanini usiweke wewe kama ni rahisi hivyo
 
Ukweli unauma sana , taratibu lazima zifuatwe mo lazima atoe hizo pesa maana ni moja ya agreement in contract na haijalishi nani kahoji na hata kama kigwa asingehoji kuna siku mwingine atahoji so mo pls lipa pesa ,pia nafasi za kiuongozi lazima zitangazwe wanachama wenye sifa washindanishwe si kuteuwa kama alivyopatikana huyo CEO,
 
Ehhh Jeshi la HAMISI limeamia JF

Hahhaa we umemsikia wapi MO akisema. Senzo sio chochote ?
Huyo Hamisi Je ana kadi ya Uanachama wa Simba ? Au anaropoka tu na ww mtoa UZI una kadi ya uanachqma wa simba au bendera mfuata upepo ?
 
Ukweli unauma sana , taratibu lazima zifuatwe mo lazima atoe hizo pesa maana ni moja ya agreement in contract na haijalishi nani kahoji na hata kama kigwa asingehoji kuna siku mwingine atahoji so mo pls lipa pesa ,pia nafasi za kiuongozi lazima zitangazwe wanachama wenye sifa washindanishwe si kuteuwa kama alivyopatikana huyo CEO,
Shida wa tz wengi wanaokurupukia huu mjadala hawaelewi mchakato wa mabadiliko wa simba sc umefikia hatua gani na upoje ? Jana nikipata wasaa wa kusikiliza efm alikuwepo mjumbe wa kamati ya mabadiliko Bw.Mng'ambi jamaa alielezea vizuri sana
 
Mh. Kigwangala kwenye siasa huwa simuelewi kabisa ila kwenye suala la Simba ana point kubwa sana, CEO wa simba si suala la gender wala experience kwenye soka maana sio CEO wa kwanza kwenye soka. Je, kwanini awe na vinasaba na moja kati ya mtu anayetaka kuinunua club ya wanachama?

Simba siyo NGO binafsi ya Mo ni taasisi ya kubwa ya mamilioni ya watu ambayo inahama kwenda kwenye corporate entinty nafasi kama ya CEO ambaye ni mtendaji mkuu wa club lazima itangazwe kwa absolute transparent maana interest ya mamilioni ya watu relay to her hatutaki mtu biased hasa tunaopoelekea kwenye mchakato wa mabadiliko.
Maneno yako yana-make sense sana aisee. Binafsi huwa simuungi mkono Kigwangala kwenye siasa na namna ya uendeshaji wa siasa zake lakini kwenye hili suala la Simba ninamuunga mkono asilimia mia. Ni lazima tupeleke mambo kitaalamu na siyo kikanjanja ili mradi tu eti kisa tunapata matokeo mazuri.

Our future matters more than where we are today
 
Ile issue ya.mo na Kigwangala haijaanza leo ilianza toka kipindi kile mo anatishia kujitoa simba aliposema anatumia pesa nyingi kuhudumia simba akamwuliza hizo pesa ni sehemu ya bilioni 20 au zake za mfukoni .
Kigwangala amehoji mambo ya msingi ila kwa ujinga walionao watu wengi wamemjadili zaidi yeye binafsi ikiwa pamoja na mo kukwepa mjadala na kuingiza personal issue.
Mo anapaswa kutoa majibu kwa wanasimba na sio kwenda kutoa majibu kwa wasafi fm ambao tunajua watangazaji wake wengi ni yanga wa kutupwa.
Kuna madudu mengi kuhusiana na uwekezaji wanmo ila madudu hayo hayaonekani kwa sababu ya mafanikio tunayoyapata uwanjani.
Ajatoa bilioni 20 kwa sababu mchakato haujakamilika lakini ameshakuwa na madaraka makubwa kabla mchakato haujakamilika.
Kuna bidhaa zake ambazo hazipo kwenye mkataba na simba lakini amekuwa akizitangaza kupitia simba mfano mo protector sasa ukiacha zile pikipiki zake sasa kama anamleta CEO ambaye ni msaidizi wake binafsi ataweza vp kutenganisha maslahi ya simba na ya kampuni anazoongoza mo.
Kuna kanga zilikuwa zinauzwa simba day hazijulikani nani ametengeneza na pesa zinaenda kwa nani ukichukulia na yeye anamiliki viwanda vya nguo.
Mpaka sasa simba haijaweza kujitegemea leo mo akitoka simba itasimama vipi pamoja na mishahara mikubwa ya wachezaji.

Wamemalizana na FCC kweli ?

RITA wameshakubali.

Mbona uongozi wa Simba hauongei, anaongea Muhindi tu
 
Mo anawapa hela na matusi mnamtukana.
Simba kuna kipindi mlifulia sana hadi ngumi zikawa zinapigwa, Ezekiel Kamwaga alishawahi kutoka nduki kama Usain Bolt kukwepa kichapo hapo Msimbazi.
 
Mo anawapa hela na matusi mnamtukana.
Simba kuna kipindi mlifulia sana hadi ngumi zikawa zinapigwa, Ezekiel Kamwaga alishawahi kutoka nduki kama Usain Bolt kukwepa kichapo hapo Msimbazi.

Kuna wanaoamini Mo anawapa hela bure.

Na kuna Timamu ambao hawafikirii hivyo, wanatazama mbali zaidi ya mkataba wa 49%
 
Back
Top Bottom