Namuonya Mwigulu Nchemba - Kitila Mkumbo

Namuonya Mwigulu Nchemba - Kitila Mkumbo

Kitila ni muungwana.

Alikiri makosa na kuomba msamaha kwenye CC ya chadema. Nina hakika pia ataomba msamaha katika maelezo yake ya utetezi atakayowasilisha mbele ya CC.

Tamko la Kitila limejaa uungwana. Ni mtu aliyetambua makosa yake na sasa anatubu. Nashauri huyu asamehewe ila abaki kuwa mwanachama tu.

Zitto pia atafanya vivyo hivyo.

Tatizo la zitto ni unafiki, yaani huku uraiani hataki kuonekana amekosa. Akienda huko kwenye vikao anaomba msamaha. Ni mnafiki wa kutupwa.

Alichokifanya leo ni kujitungia tuhuma nyingine tofauti na zile alizopewa kwenye CC. Halafu akaanza kuzijibu mwenyewe ili aonekane hana makosa.

Tamko la Zitto bado limekaa kishari shari na unafiki mwingi.

Nashauri huyu aondolewa tu kwani mtu wa namna hii ni hatari sana.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema aliyetimuliwa hivi karibuni Dr Kitila Mkumbo amemuonya vikali Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba kwamba akae mbali na yeye.

Dr Kitila amedai kushangazwa na machozi ya mamba ya Mwigulu ambaye kwa unafiki mkubwa eti amemsikitikia kwa yaliyomfika.

Dr Kitila amesema siku zote Mwigulu Nchemba amekuwa akimchafua lakini tangu atimuliwe uongozi Chadema Mwigulu amejifanya kumsifu sana na kumhurumia.

Dr Kitila amemuonya Mwigulu kwamba inyeshe mvua au liwake jua ni lazima atamvaa katika uchaguzi wa Ubunge jimbo la Iramba Magharibi ama kupitia Chadema au kwa njia nyingine yoyote.

Dr Kitila amemtaka Mwigulu kutambua kwamba yeye bado ni mwanachama wa Chadema.

A very good statement Kitila .Na Zitto anatakiwa aje asema hivi na tumalize mizozo .Nyie ni wana Chadema na katika maisha kuna kuanguka na kusimama .
 
Bado nakufuatilia kwa karibu kiongozi wangu, vipi? nini kimekusibu? mbona posti zako zimebadilika sana tokea ule mkutano wa asubuhi, post zako zimekuwa za kinyonge kama mtu aliyekosa matumaini! Bado una nafasi kiongozi, fuata njia aliyoichukua Kiongozi wako kitila mkumbo, na wewe una chansi ya kuomba msamaha, nina uhakika utasamehewa tu, jirudi kiongozi, bado tunakupenda, rudisha moyo.
Sixgate anatia huruma kweli hakutegemea kilichotokea njaa itamfanya alime lami,bado ananuka akae ukouko...
 
Kitila ni muungwana.

Alikiri makosa na kuomba msamaha kwenye CC ya chadema. Nina hakika pia ataomba msamaha katika maelezo yake ya utetezi atakayowasilisha mbele ya CC.

Tamko la Kitila limejaa uungwana. Ni mtu aliyetambua makosa yake na sasa anatubu. Nashauri huyu asamehewe ila abaki kuwa mwanachama tu.

Zitto pia atafanya vivyo hivyo.

Tatizo la zitto ni unafiki, yaani huku uraiani hataki kuonekana amekosa. Akienda huko kwenye vikao anaomba msamaha. Ni mnafiki wa kutupwa.

Alichokifanya leo ni kujitungia tuhuma nyingine tofauti na zile alizopewa kwenye CC. Halafu akaanza kuzijibu mwenyewe ili aonekane hana makosa.

Tamko la Zitto bado limekaa kishari shari na unafiki mwingi.

Nashauri huyu aondolewa tu kwani mtu wa namna hii ni hatari sana.

We kama nani unayeshauri ZZK aondolewe? Au unadhani kila mtu ana uwezo mdogo wa kufikili kama wako?
 
Dr.Slaa na Mbowe wawaombe msamaha hawa wasomi; mambo yaishe.
 
Mwigulu Nchemba hebu acha unafiki kidogo tu hadi mwaka uishe, then mwaka mpya anza upya unafiki wako kisomi zaidi na kiuchumi zaidi
"Shetani"alirubuni viongozi watatu wa Chadema wakaasi mamlaka na kupanga hujuma.Mamlaka ikaamua waadhibiwe kwa kutupwa kwenye "jehanamu"ya dunia ili kama wanataka kwenda kuishi na "shetani" (ccm) wawe huru ila nafasi ya kutubu ikatolewa. Leo viongozi hao wakaitisha press conference kusema yaliyo moyoni.
"Shetani" kwa kudhani viongozi hao watakamilisha kazi yake aliyowatuma ya kuiharibu Chadema kwa kuitusi na kusema maneno ya kugonganisha watu akahakikisha press hiyo inarushwa hewani ili watu wote wasikie na mkakati wake ufaulu.
Bila kujua kuwa wokovu umewashukia viongozi hao wawili na wamejitambua walilotenda na maumivu waliyowa watu waliokuwa wanawapenda, "shetani" akaaibishwa baada ya hao viongozi kusema hawaondoki Chadema na kuwa kujikwaa sio kuanguka.
Sasa nawashauri Kamati kuu kupokea utetezi wao na kama utakuwa katika hali ya unyenyekevu kama tulioona leo basi wasifukuzwe Chamani ila wapewe onyo kali kama taratibu zilivyo. Nafasi ya kurudi uongozini ipo tuu mradi matendo yao yatadhihirika kuwa yako sawa.
Kiukweli ni kuwa "Shetani" ameaibika kwa mpango wake wa muda mrefu kubomolewa bila kutegemea.
 
Nimevutiwa na ukomavu wa Dr. Kitila Mkumbo na Mh. Zitto katika sakata hili. Wameonyesha ukomavu wa hali ya juu kiasi cha kuwaaibisha "manabii wa kifo" ndani ya CCM ambao walikuwa wakifanya kila liwezekanalo kuutumia mwanya huu ili kuiona CHADEMA ikisambaratika.
Wapo wana CCM walioiwahi Press Conference kwa ndege wakidhani wangeenda kuokota "mizoga" kama ilivyo kawaida yao; lakini walichanganyikiwa kukuta si mizoga bali ni watu hai, wenye afya na wenye ari ya mapambano ambao baada ya kujikwaa kwao Manyang'au haya yaliyokubuhu (CCM) yalidhani wamekufa kisiasa.
Binafsi nimezikubali statement za wapiganaji hawa na kwa mwendo huu naona CHADEMA itaibuka mshindi na imara zaidi ya ilivyofikiriwa kwani tofauti za mawazo ni lazima zitokee katika harakati za mapambano.
Kila siku nilikuwa najiuliza, imekuwaje maamuzi yaliyofanywa na chama yamewaumiza na yanalalamikiwa na kulaaniwa zaidi na CCM hata zaidi ya wana CHADEMA wenyewe?
Nina ushauri mmoja tu kwa manyang'au hawa, wagombanapo ndugu chukua jembe ukalime.
CCM ni kama fisi; atafuata mikono ya mpita njia hadi atakapoingia ndani ndipo atakapojua amekosa mlo.
Ni muhimu kujua Zitto si yule mhuni waliyemrubuni kwa vijihela vya EPPA hadi kuwatelekeza watu waliopoteza viungo kwa ajili yake na chama - Dr. Kaburu.
Viva CHADEMA, viva Tanzania. A luta continua!
 
Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema aliyetimuliwa hivi karibuni Dr Kitila Mkumbo amemuonya vikali Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba kwamba akae mbali na yeye.
Dr Kitila amedai kushangazwa na machozi ya mamba ya Mwigulu ambaye kwa unafiki mkubwa eti amemsikitikia kwa yaliyomfika.
Dr Kitila amesema siku zote Mwigulu Nchemba amekuwa akimchafua lakini tangu atimuliwe uongozi Chadema Mwigulu amejifanya kumsifu sana na kumhurumia.

Dr Kitila amemuonya Mwigulu kwamba inyeshe mvua au liwake jua ni lazima atamvaa katika uchaguzi wa Ubunge jimbo la Iramba Magharibi ama kupitia Chadema au kwa njia nyingine yoyote.

Dr Kitila amemtaka Mwigulu kutambua kwamba yeye bado ni mwanachama wa Chadema.
Mudhabidhabina baina dhalika
 
Wote ni ndugu zangu kitila na mchemba lkn kwa sasa ni mwigulu tuu kuhusu iramba, kitila pamoja na Elimu yako hujawaonyesha wana iramba utawafanyia nn na chadema yako.

Wewe munambowa utakuwa mbuwa kweli. Sisi anamunuki, anambala,anishungu,anikyili wote tunasema NO KWA HUYO mwigulu. Tunataka Kitila iramba 2015:
 
magamba wameinama, wameinuka, wameona haya....haooooo!!!
 
Kitila ni muungwana.

Alikiri makosa na kuomba msamaha kwenye CC ya chadema. Nina hakika pia ataomba msamaha katika maelezo yake ya utetezi atakayowasilisha mbele ya CC.

Tamko la Kitila limejaa uungwana. Ni mtu aliyetambua makosa yake na sasa anatubu. Nashauri huyu asamehewe ila abaki kuwa mwanachama tu.

Zitto pia atafanya vivyo hivyo.

Tatizo la zitto ni unafiki, yaani huku uraiani hataki kuonekana amekosa. Akienda huko kwenye vikao anaomba msamaha. Ni mnafiki wa kutupwa.

Alichokifanya leo ni kujitungia tuhuma nyingine tofauti na zile alizopewa kwenye CC. Halafu akaanza kuzijibu mwenyewe ili aonekane hana makosa.

Tamko la Zitto bado limekaa kishari shari na unafiki mwingi.

Nashauri huyu aondolewa tu kwani mtu wa namna hii ni hatari sana.
Na Kitila anayesema kwa kumvua vyeo kamati kuu imekiuka katiba huoni kama amejaa kibri? Yeye ndiye anayeifahamu katiba ya chama kuliko wajumbe wote wa kamati kuu? Hawa watu wasaidiwe kuelekea huko kwenye demokrasia wanayoitaka.
 
"shetani"alirubuni viongozi watatu wa chadema wakaasi mamlaka na kupanga hujuma.mamlaka ikaamua waadhibiwe kwa kutupwa kwenye "jehanamu"ya dunia ili kama wanataka kwenda kuishi na "shetani" (ccm) wawe huru ila nafasi ya kutubu ikatolewa. Leo viongozi hao wakaitisha press conference kusema yaliyo moyoni.
"shetani" kwa kudhani viongozi hao watakamilisha kazi yake aliyowatuma ya kuiharibu chadema kwa kuitusi na kusema maneno ya kugonganisha watu akahakikisha press hiyo inarushwa hewani ili watu wote wasikie na mkakati wake ufaulu.
Bila kujua kuwa wokovu umewashukia viongozi hao wawili na wamejitambua walilotenda na maumivu waliyowa watu waliokuwa wanawapenda, "shetani" akaaibishwa baada ya hao viongozi kusema hawaondoki chadema na kuwa kujikwaa sio kuanguka.
Sasa nawashauri kamati kuu kupokea utetezi wao na kama utakuwa katika hali ya unyenyekevu kama tulioona leo basi wasifukuzwe chamani ila wapewe onyo kali kama taratibu zilivyo. Nafasi ya kurudi uongozini ipo tuu mradi matendo yao yatadhihirika kuwa yako sawa.
Kiukweli ni kuwa "shetani" ameaibika kwa mpango wake wa muda mrefu kubomolewa bila kutegemea.
shetani wa kijani kapigwa mapigo 7 ya aibu kuu na ukweli ni kuwa cdm itavuka ktk mapito haya na kuwa amara mara mbili ya sasa...manyang'au miccm imefeli kabla hakujapambazuka ...say no to global wildlife dentists poarchers...
 
"shetani"alirubuni viongozi watatu wa chadema wakaasi mamlaka na kupanga hujuma.mamlaka ikaamua waadhibiwe kwa kutupwa kwenye "jehanamu"ya dunia ili kama wanataka kwenda kuishi na "shetani" (ccm) wawe huru ila nafasi ya kutubu ikatolewa. Leo viongozi hao wakaitisha press conference kusema yaliyo moyoni.
"shetani" kwa kudhani viongozi hao watakamilisha kazi yake aliyowatuma ya kuiharibu chadema kwa kuitusi na kusema maneno ya kugonganisha watu akahakikisha press hiyo inarushwa hewani ili watu wote wasikie na mkakati wake ufaulu.
Bila kujua kuwa wokovu umewashukia viongozi hao wawili na wamejitambua walilotenda na maumivu waliyowa watu waliokuwa wanawapenda, "shetani" akaaibishwa baada ya hao viongozi kusema hawaondoki chadema na kuwa kujikwaa sio kuanguka.
Sasa nawashauri kamati kuu kupokea utetezi wao na kama utakuwa katika hali ya unyenyekevu kama tulioona leo basi wasifukuzwe chamani ila wapewe onyo kali kama taratibu zilivyo. Nafasi ya kurudi uongozini ipo tuu mradi matendo yao yatadhihirika kuwa yako sawa.
Kiukweli ni kuwa "shetani" ameaibika kwa mpango wake wa muda mrefu kubomolewa bila kutegemea.
shetani wa kijani kapigwa mapigo 7 ya aibu kuu na ukweli ni kuwa cdm itavuka ktk mapito haya na kuwa amara mara mbili ya sasa...manyang'au miccm imefeli kabla hakujapambazuka ...say no to global wildlife dentists poarchers...
 
Huyu aliyeshindwa ubunge na Lyatonga mrema,hilo ndo umeona la maaaana.Dhambi ya ubaguzi inawatafuna
 
Back
Top Bottom