Nikulizwa ni Mbunge gani humpendi kati ya Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania-Jibu ni Mwigulu Nchemba
Nikiulizwa Mwanasiasa gani humpendi Afrika Mashariki jibu ni Mwigulu Nchemba
Nikiulizwa kiongozi gani wa Chama chochote cha siasa hapa Tanzania humpendi Jibu ni Mwigulu Nchemba!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Post gan hii sasa, yan katika speech yake ulichoona ni hiki tu?
Post gan hii sasa, yan katika speech yake ulichoona ni hiki tu?
Ulitaka ahame na bahari nzima?
Yah mwigulu kampa kazi zitto,zitto kamtuma secretary wake kitila kuandaa waraka,mwigamba akafanya publicityNimeshangazwa sana na Kitila kwamba ndiye aliyeandika masengenyo yale.nilichomshangaa zaidi ni kutokujua kuwa yote hayo aliyokuwa anafanya yalikuwa na mkono wa CCM kupitia kwa Mwigulu.Ni ajabu kuwa pamoja na weledi wake ameshindwa kubaini hilo na kushangaa kusifiwa na Mwigulu!
Narudia tena kusema "Maudhui ya waraka yalikuwa sahihi japo uliwasilishwa kwa matusi na dharau sana kwa mwenyekiti wenu ambaye ana shule ya kuungaunga"!Zito huna kosa,huna cha kuomba msamaha!Naona hili linataka kupita,hongereni lakini haitakuwa rahisi!
wasaliti wameshindwa CHADEMA wakashindwe na jimboni ushindi wao hauna tija heri mwingu anajulikana ni adui kuliko wanafiki ni wabaya wakafie mbali kimkakati na kisiasa
Kitila anapaswa kujua kuwa ubavu wa kumvimbia Nchemba anaupata ndani ya CDM. Kama anawaza tofauti, aende huko anakodhani kuna ushindani aone.Hili nalo ni neno, wakati wakihitimisha mkutano wao na waandishi wa habari, aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Dr. Kitila Mkumbo alisema......"kule iramba ninakotoka, kuna mwananchi mmoja anaitwa Mwigulu Nchemba, amekuwa kila siku ananiponda katika kila jambo, nashanga eti sasa hivi ajidai kuwa ana upendo kwangu.....kimbelembele hiki kinatoka wapi......sasa either kupitia CHADEMA au chama kingine chochote, mimi na wewe kwenye ubunge 2015 Iramba" ............haya sasa kaka Mwigulu, kumbe bado ngoma mbichi...........endelea kujipanga na unafiki wako!
Kitila anapaswa kujua kuwa ubavu wa kumvimbia Nchemba anaupata ndani ya CDM. Kama anawaza tofauti, aende huko anakodhani kuna ushindani aone.