kiwa khalid
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 636
- 534
Ni kharam kumtaja jina bashite kwa helufi M kwenye chombo chochote
In politics there is no permanent friends or enemies. Mtu akitubu anasamehewa mara moja Safari inaendelea.NAPE KAMWE HAWEZI VAA GWANDA HATA SIKU MOJA......na hawezi hama CCM...na hikitokea amehama CCM hawezi kuja CHADEMA maana sioni karba ya NAPE CHADEMA na ukizingatia uwepo wa EL ndio balaa kabsa.....labda aende kujenga CHAMA NA ZITTO hili ndio linaweza tokea
Hacha maneno weka mziki
Na hili hata JPM analijua atawatendea yote watanzania Lakini atakuja kutenda jambo 2019 kila mtu atasamehe yote na atampigia kura watanzania wanasamehe sana kama yote aliyoyafanya Nape bifu lake na Makonda tu keshakua shujaa basi Hakuna nchi ambayo mtu anapata ushujaa kiulaini kama TanzaniaIn politics there is no permanent friends or enemies. Mtu akitubu anasamehewa mara moja Safari inaendelea.
Inawezekana pia maana ndiyo siasa.Na hili hata JPM analijua atawatendea yote watanzania Lakini atakuja kutenda jambo 2019 kila mtu atasamehe yote na atampigia kura watanzania wanasamehe sana kama yote aliyoyafanya Nape bifu lake na Makonda tu keshakua shujaa basi Hakuna nchi ambayo mtu anapata ushujaa kiulaini kama Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji40] kaka bado nakipenda sana kifanyio changu ooh sorry kikojoleo changu
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
hongera hadi tweet za ndumilakuwili huyo unazifiatilia
[emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] hako kapicha kama Lemutuzihongera hadi tweet za ndumilakuwili huyo unazifiatilia
[emoji41]
Kumbe huko ni Bar....[emoji15] [emoji15]UKITAKA KUWA MIONGONI MWA WATANZANIA WENYE NIA HALISI YA KUIKOMBOA NCHI YETU KUTOKA MAKUCHA YA UKOLONI UCHWARA NA UFISADI WA HAKI ZA RAIA KISIASA KIUCHUMI NA KIJAMII...TOROKA UJE LEO!