Namuona Nape mpya kwenye gwanda

Namuona Nape mpya kwenye gwanda

UVCCM mnasemaje juu ya hili la Makonda kule Clouds? mnasemaje juu ya Kauli ya Rais juu ya Makonda? Mbona mpo kimya?
 
NAPE KAMWE HAWEZI VAA GWANDA HATA SIKU MOJA......na hawezi hama CCM...na hikitokea amehama CCM hawezi kuja CHADEMA maana sioni karba ya NAPE CHADEMA na ukizingatia uwepo wa EL ndio balaa kabsa.....labda aende kujenga CHAMA NA ZITTO hili ndio linaweza tokea
Mkuu umesahau kuwa siasa hainaga adui wala rafiki wa kidunia?
 
Leo unamwagia sifa nape? mkuu kumbuka "kila nabii na watu wake" haya yanayofanywa na bashite kwenye zama hizi ndiyo yaliyofanywa na nape zama zilee. Tofauti kidogo ni kwakuwa nape alitumia zaidi kinywa kuwaumiza wapinzani wa kambi yao na si maguvu kama ya bashite.
 
Leo unamwagia sifa nape? mkuu kumbuka "kila nabii na watu wake" haya yanayofanywa na bashite kwenye zama hizi ndiyo yaliyofanywa na nape zama zilee. Tofauti kidogo ni kwakuwa nape alitumia zaidi kinywa kuwaumiza wapinzani wa kambi yao na si maguvu kama ya bashite.
Hapana sijamsifia asilani hebu nisome tena kwa makini
 
Nape pole sana natamani utabiri wangu huu utimie haraka wakati hakujachwa, wakati jua halijazama wakati post hii ikiwa bado na uhai

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
watu waache kufanya kazi kwa mazoea...wajue utawala wa sasa si wa zamani then wa adjust..kutokuwa happy hakuwasaidii..maana hata LOWASA angekuwa raisi angekuwa na staili zake ambazo watu hawaja zizoea ...so ppl wake up and know ur boss.
 
watu waache kufanya kazi kwa mazoea...wajue utawala wa sasa si wa zamani then wa adjust..kutokuwa happy hakuwasaidii..maana hata LOWASA angekuwa raisi angekuwa na staili zake ambazo watu hawaja zizoea ...so ppl wake up and know ur boss.
A triple standard boss
 
Huu uonevu utaisha lini jamani mtu anatenguliwa ili kuvuruga kosa la mtoto
Mpendwa tujifunze kupitia makosa jamani
 
Back
Top Bottom